Nafasi za kazi

Lumbi9

JF-Expert Member
Oct 12, 2014
8,595
11,878
Location ni kinondoni Morocco kwenye majengo ya Morocco Square, mengineyo yanajieleza hapo kwenye bango.... Kama huelewi unaibuka tu utajieleza hukohuko sio mpaka uitwe
 

Attachments

  • IMG_20240505_143520_733.jpg
    IMG_20240505_143520_733.jpg
    1.9 MB · Views: 7
Location ni kinondoni Morocco kwenye majengo ya Morocco Square, mengineyo yanajieleza hapo kwenye bango.... Kama huelewi unaibuka tu utajieleza hukohuko sio mpaka uitwe
Hizi ndio zile ajira za kuwavalisha watu tai na jua la saa saba mchana msimu wa joto wanazunguka na bidhaa mtaani halafu ndio mnawaita maafisa mauzo?

Wandugu tuwe na huruma.
 
Hizi ndio zile ajira za kuwavalisha watu tai na jua la saa saba mchana msimu wa joto wanazunguka na bidhaa mtaani halafu ndio mnawaita maafisa mauzo?

Wandugu tuwe na huruma.
Hapana sio hizo mkuu, hao ni watu wa kuuza maduka ya nguo kampuni za LC Waikiki, defacto, na nyinginezo ambazo zinasimamiwa na wewe hao hope tanzania
 
Back
Top Bottom