KINYASHI 1010
Member
- Apr 22, 2024
- 5
- 4
Habari wana JF,
Nina shida na kazi yoyote. Mimi ni kijana wa miaka 25 nimefanikiwa kufika form six, changamoto ya ada ikanifanya niishie mwaka wa kwanza MBEYA UNIVERSITY (MUST) nataman kuludi shule lakini mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe kwa sasa naombeni kazi yoyote na MUNGU atakubariki zaidi ya hapo
Nina shida na kazi yoyote. Mimi ni kijana wa miaka 25 nimefanikiwa kufika form six, changamoto ya ada ikanifanya niishie mwaka wa kwanza MBEYA UNIVERSITY (MUST) nataman kuludi shule lakini mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe kwa sasa naombeni kazi yoyote na MUNGU atakubariki zaidi ya hapo