Naomba msaada wa kazi yoyote

KINYASHI 1010

Member
Apr 22, 2024
5
4
Habari wana JF,

Nina shida na kazi yoyote. Mimi ni kijana wa miaka 25 nimefanikiwa kufika form six, changamoto ya ada ikanifanya niishie mwaka wa kwanza MBEYA UNIVERSITY (MUST) nataman kuludi shule lakini mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe kwa sasa naombeni kazi yoyote na MUNGU atakubariki zaidi ya hapo
 
Mkuu ungeweka na mahali ulipo

Afu nikushauri tu, ungeweka hata preference za kazi hata kama ni kumi, usiseme kazi yoyote!!! Kuna kazi za kukatia ngombe majani, hizi ukifanya mwezi lazima maji uite mma na ujira wenyewe wa kuunga unga
 
Mkuu ungeweka na mahali ulipo

Afu nikushauri tu, ungeweka hata preference za kazi hata kama ni kumi, usiseme kazi yoyote!!! Kuna kazi za kukatia ngombe majani, hizi ukifanya mwezi lazima maji uite mma na ujira wenyewe wa kuunga unga
napatikana dar es salaam, mbagara kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom