Mambo vipi wadau.
Napenda kufahamu kama kuna mdau yoyote aliyeitwa kufanya interview na Helen Keller international katika position yoyote.Njoo tupeane ABC hapa.
Ahsante
Kwa majina naitwa zabron Daniel ni mkazi wa Dodoma ni mhitimu wa kidato cha NNE natafuta kazi yoyote ile ila Mimi ni mzoefu wa kuuza duka, namba yangu ni 0765822914. Asnte Mungu awe nanyi.
Naitwa Njikale Madai, ni kijana wa kiume mkazi wa Mabibo Dar Es Salaam, miaka 23, elimu yangu kidato cha nne na tafuta nafasi ya kazi yoyote ya kujishikiza maeneo ya kazi yawe kati ya Dodoma au...
Mimi ni mhitimu wa elimi ya shahada mwenye umri miaka 25 katika tahasisi kubwa inayojulikana hapa Tanzania.
Ninatafta kazi yoyote ile halali,ingawa fani yangu ni mwalimu wa masomo ya sanaa...
The College of Surgeons of East, Central and Southern Africa (COSECSA) requires a dynamic, experienced Education and Training Officer.Deadline for application 10th August 2018 . More details see...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.