pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 468
- 666
Mimi ni mhitimu wa elimi ya shahada mwenye umri miaka 25 katika tahasisi kubwa inayojulikana hapa Tanzania.
Ninatafta kazi yoyote ile halali,ingawa fani yangu ni mwalimu wa masomo ya sanaa.
Naomba kwa yoyote yule mwenye kazi au anamfaham anaetafuta mfanyaka anicheki pm kwa mawasiliano zaidi.
Ninatafta kazi yoyote ile halali,ingawa fani yangu ni mwalimu wa masomo ya sanaa.
Naomba kwa yoyote yule mwenye kazi au anamfaham anaetafuta mfanyaka anicheki pm kwa mawasiliano zaidi.