Gazeti jipya kabisa la Kiswahili linatarajiwa kuingia katika vibanda, maofisi, na mitaa ya Tanzania kuanzia tarehe 31 Oktoba mwaka huu. Jarida hilo la "Raia Mwema" litakuwa na habari mbalimbali...
Je, Muungwana alichukua bulungutu toka kwa wafanyabiashara hawa katika kinyang'anyiro cha kugombea kuwa mgombea wa CCM? Alichukua kiasi gani na toka kwa akina nani? Na hao walioshindwa nao...
Serikali kitanzini
na Mwandishi Wetu
Tanzania daima
VIGOGO kadhaa waliyatumia maadhimisho ya miaka minane tangu kufariki kwa Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere jana, kuinyooshea kidole...
...Wabunge watatafuna pesa na hakutakuwa na ufuatiliaji wa maana kuhakikisha kama kweli pesa zimetumika jimboni
Posted Date::10/16/2007
Miswada mipya saba kusomwa Bunge lijalo
Na Tausi...
Baada ya kuona hii habari hadi sasa sijaona tamko la watu kushitakiwa wala kukamatwa naingiwa wasi wasi na juu ya mwenye magogo haya . Je huu si mtego kwamba wanataka kuziba issues za Zitto na...
Kwa kuwa huwa nascan sana vyombo vya habari ambavyo vinaandika kuhusu TZ lakini hawa jamaa wa INDIAN OCEAN NEWSLETTER wananiacha hoi maana wao wanachaji kwa article badala ya subscription ya mwaka...
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTERIAL TENDER BOARD MINISTRY OF FINANCE
TENDER NO. 7 OF 2007/2008 FOR SUPPLY OF INFORMATION TECHNOLOGY HARDWARE AND CONSUMABLES ACCOUNTANT GENERAL'S OFFICE...
Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni amezindua Tanagazo mjini New York kutangaza vivutio vya Utalii vilivyoko nchini Tanzania jamani kwa wale walio liona tusaidiane ushauri tangazo hilo...
Kwa: Katibu Mkuu
Chama cha Mapinduzi
Yah: Uamuzi wa Spika wa Bunge kuhusu suala la
Mheshimiwa, Malima (Mb) na Bwana Mengi Mwenyekiti wa
IPP
Suala lilitajwa hapa juu la husika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.