Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.6K
Threads
7.6K
Posts
193.6K

JF Prefixes:

Gazeti jipya kabisa la Kiswahili linatarajiwa kuingia katika vibanda, maofisi, na mitaa ya Tanzania kuanzia tarehe 31 Oktoba mwaka huu. Jarida hilo la "Raia Mwema" litakuwa na habari mbalimbali...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Je, Muungwana alichukua bulungutu toka kwa wafanyabiashara hawa katika kinyang'anyiro cha kugombea kuwa mgombea wa CCM? Alichukua kiasi gani na toka kwa akina nani? Na hao walioshindwa nao...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Serikali kitanzini na Mwandishi Wetu Tanzania daima VIGOGO kadhaa waliyatumia maadhimisho ya miaka minane tangu kufariki kwa Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere jana, kuinyooshea kidole...
0 Reactions
152 Replies
21K Views
...Wabunge watatafuna pesa na hakutakuwa na ufuatiliaji wa maana kuhakikisha kama kweli pesa zimetumika jimboni Posted Date::10/16/2007 Miswada mipya saba kusomwa Bunge lijalo Na Tausi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Baada ya kuona hii habari hadi sasa sijaona tamko la watu kushitakiwa wala kukamatwa naingiwa wasi wasi na juu ya mwenye magogo haya . Je huu si mtego kwamba wanataka kuziba issues za Zitto na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa kuwa huwa nascan sana vyombo vya habari ambavyo vinaandika kuhusu TZ lakini hawa jamaa wa INDIAN OCEAN NEWSLETTER wananiacha hoi maana wao wanachaji kwa article badala ya subscription ya mwaka...
0 Reactions
41 Replies
9K Views
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTERIAL TENDER BOARD MINISTRY OF FINANCE TENDER NO. 7 OF 2007/2008 FOR SUPPLY OF INFORMATION TECHNOLOGY HARDWARE AND CONSUMABLES ACCOUNTANT GENERAL'S OFFICE...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
  • Closed
Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni amezindua Tanagazo mjini New York kutangaza vivutio vya Utalii vilivyoko nchini Tanzania jamani kwa wale walio liona tusaidiane ushauri tangazo hilo...
2 Reactions
25 Replies
7K Views
  • Closed
Mbunge Wetu Amina Chifupa Amefariki. Ina Lillah Wainaillah Rajioun.
0 Reactions
428 Replies
97K Views
  • Closed
Kwa: Katibu Mkuu Chama cha Mapinduzi Yah: Uamuzi wa Spika wa Bunge kuhusu suala la Mheshimiwa, Malima (Mb) na Bwana Mengi Mwenyekiti wa IPP Suala lilitajwa hapa juu la husika...
1 Reactions
330 Replies
42K Views
Back
Top Bottom