kimtazamo naona wapinzani waachane na kumaliza nguvu kwenye kiti ch uraisi badala yake waongeze nguvu kwenye Ubunge.
Naimani kuwa kama hivi vichwa vyote vya Upinzani CUF, NCCR, CHADEMA n.k...
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu kutokana na kashfa ya mradi wa umeme wa Richmond, Edward Lowassa, sasa anaelezwa kufanya mambo ambayo ni dhahiri yanamchimba Rais wake, Jakaya Mrisho Kikwete, kwa...
Hivi sasa ndiyo kwanza nimemaliza kusikiliza tarifa muhimu kwamba ile Tume ya Rais ya EPA ya kuchunguza ubadhirifu wa fedha za malipo ya akaunti ya madeni ya nje pale BoT imeeleza kuwa imefikia...
SERIKALI imekiri kupokea barua ya Umoja wa Waislamu wa Arusha (AMU) iliyoandikwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha, na kuahidi kuwa italijadili kwa kina suala hilo.
Umoja huo juzi...
Na hii ndio hospitali yetu ya rufaa! Nilidhani sehemu nyeti kama hiyo umeme ukizimika tu basi majenereta yanaanza kazi mara moja, kumbe sivyo! Wafungue kesi dhidi ya Muhimbili
Posted...
TAFAKURI JADIDI
Kama vile tumelogwa au kulaaniwa
Johnson Mbwambo
MSHINDI wa Tuzo ya Nobel katika tiba, James Watson, mwishoni mwa mwaka jana alirushiwa makombora ya shutuma...
GARI la Naibu Waziri wa Usalama wa Raia MOHAMED ABOUD Mohamed, lenye alama, NW-UR,aina ya GX, limeibiwa na dereva wake aitwaye Tumaini Mbaga, ametoweka tokea Jumamosi iliyopita.
Well, well,well sasa twaanza kuona ni jinsi gani misheni zilivyoanza andaliwa na hawa jamaa wawili.
NdiyoMorani kaachia ngazi, lakini hilo halitoshi kutamatisha uhujumu uliofanyika. Paper trail...
EPA scam: Jeetu Patel in Dar for questioning
By Mkinga Mkinga
THE CITIZEN
Mr Jeetu Patel, one of the alleged key players in the Central Bank's External Payments Arrears (EPA) account...
Serikali yajiandaa kueleza marejesho fedha za EPA
na Salehe Mohamed
Tanzania Daima~Sauti ya Watu
SERIKALI itaweka hadharani kiwango cha fedha kilichorudishwa na kampuni zilizochota fedha...
Sasa sijui wangapi mliwahi kusikia juu ya maadili ya matangazo ya biashara kwenye vyombo vya habari nchini. Lakini kwa muda sasa kumekuwa na mashauriano ya wadau wa eneo hili nyeti na sasa...
WanaJF,
Tuonyeshe ukomavu kidogo, mbona kila kitu kinacholetwa kwenye Jamvi kinaonekana kama breaking news!!! Wajameni... msiharibu kijiwe wandugu!!! chonde chonde, vihabari vingine pia vya...
Mbunge aswekwa ndani
Waandishi Wetu
Daily News; Tuesday,February 26, 2008 @20:01
MBUNGE wa Magu Mjini ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Fedha, Festus Limbu, jana alishikiliwa kwa saa...
Posted Date::2/28/2008
IMF yataka mafisadi wabanwe
*Yasema walioiba BoT washughulikiwe haraka
* Yaibua machungu ya umeme kwa Watanzania
* Wahoji athari za gharama za umeme nchini
*...
Wapendwa,
Ni siku mpya, siku ya furaha. Hakuna haja ya kuwa na majonzi wala kulaumiana kwa yalioshindwa kufanyika kuzuia sekeseke.
Tumejifunza kutokana na makosa. Naamini umoja na mshikamano...
Wakuu heshima mbele.
Admin sijui hii utaiweka wapi,lakini ninapata maswali mengi kuzidi majibu kutokana na report ya kamati teule ya bunge ambayo pamoja na hoja na mapendekezo yake yaliyojiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.