Nimesoma tetesi kuwa Marehemu Ballal atachomwa moto na sio kuwa atazikwa. Kwa nini watanzania walioko US wasiwasiliane na mwanasheria mkuu au kuomba mahakama izuie kuchomwa kwa Ballal mpaka mwili...
Mimi nina swali ambalo nimekuwa nikitaka kuuliza watu humu ktk hii foramu, nalo ni kwamba, hivi ni kwanini ktk kila habari ninyosoma watu wanalalamika tuu kuhusu nchi yetu na watu wetu? Hakuna...
Ebu Oneni Picha Kwa Kubwa Japo Si Nzuri ,naona Sasa Kama Tunapelekwa Kwenye Ukabila Pole Pole Na Watu Hawa Walioishiwa Sera Na Mitaji Ya Kisiasa,ebu Angalia Lowasa Alipotemwa Akaenda Jimboni Kwake...
What happened? why did it happen? do you have any idea who did it and why? do you believe it. What next!?
KLHN will air a Live Show on Sunday at 2:00PM EST (1:00PM CST, 9:00PM East African Time)...
Finally, something of substance is being made public....
But what would be the outcome of the review, will it equate to a modern, portable and dynamic 21st Century "AruNzibar Declaration"...
Bw. Karume anatoa taarifa kwa wanahabari kuwa Wapemba hawakumchagua ndio maana hakuwapanga katika wizara na sehemu nyengine nyeti za Serikali ya Zanzibar, Ivi nani anaushahidi kuwa Karume...
Dakika tano zilizopita nimefanikiwa kupata dataz za ukweli 100% kuwa kweli Balali, amefariki napenda kutoa pole kwa ndugu,
According to the dataz amefia DC, nyumbani kwake ghafla Jumapili...
Salma atesa na ndege ya Kikwete
Ni ile ambayo rais anaogopa kuitumia kikazi Ulaya
Aipanda kwenda na kurejea katika ziara binafsi
Aitumia kuendea sherehe za mila za Mswati III
na Mwandishi...
Nimejenga hoja kuwa kama kweli wanataka kukomesha mtandao wa wahalifu katika ngazi mbalimbali za serikali na utumishi wa umma, hususan kuanzia na BoT, wampe kinga aliyekuwa Gavana wa Benki hiyo...
Mkutano mdogo wa siku mbili wa wakuu wa Umoja wa Afrika ulifungwa tarehe 23 Mei huko Arusha, mji ulioko kaskazini mwa Tanzania. Mkutano huo ulipendekeza kutimiza lengo la kuunda Nchi ya shirikisho...
Habari kutoka gazeti la Standard la Kenya tarehe 26 zinasema nchi 5 wanachama wa jumuiya ya Afrika ya Mashariki zimepata dola za kimarekani milioni 230 ili kutumika kwa ajili ya kuhifadhi Ziwa...
Wabongo mliopo Nyumbani umoja ni nguvu utengano ni udhaifu ili kuungana na wenzetu wanaotimuliwa huko South Afrika na hatusikii serikali ya huko ikisema lolote zaidi ya kuwakusanya na kuwaweka...
Uongozi wa chuo cha biashara umefanya ufisadi wa zaidi ya shillingi bill 2.5
ambapo ni jumla ya TUITION FEES za wanachuo 400, kwa miaka mitatu 3 Ambapo kila mmoja alipaswa kulipiwa...
Salum Msabaha jana akiongea na wananchi wa Kigoma amesema kwamba hata kama CHADEMA watakataa kukubali kukabidhi madaraka ya Halmashauri ya Kigoma Ujiji,CCM wataingia ofisi za Halmashauri hiyo...
Amani iwe nanyi wapendwa mnaotembelea jukwaa hili tukufu.
Nimechagua kuanzisha mjadala juu ya nguvu ya CCM kutokana na jinsi ambavyo kwa sasa wanayatumia mamlaka waliyo nayo kuchezea...
Dar may drop probe of late BoT governor
Some suspects intend to file a court injunction to stop the government from pursuing the investigations on the grounds that the first respondent has...
Ni katika kuwakumbusha wale watu wetu wa EPA kwamba hapo juu walipo si mbali sana, ipo siku yatawakuta haya, tena kupitia mahakama zetu wananchi..........wasome hapa chini, kijana na pesa zake...
City Fathers, where are you? Still sleeping:The continuing complacency of Dar es Salaam city authorities is now being usefully exploited by enterprising people like this young man, who was...
Katika nchi za ukanda wa maziwa makuu, inaelekea kuwa nchi ya Tanzania imepoteza kabisa nguvu za kijeshi ilizokuwa nazo miaka ya sabini; inawezekana ni kwa sababu ya ufisadi wa wanasiasa wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.