Mimi naomba nitofautiane kidogo na wadau wengi wa jukwaa hili hasa hasa wana YANGA wenzangu na mashabiki wa simba SC wanaodai Fredy Koublan ni garasa.
Huyu mchezaji namfananisha na the great...
DONE DEAL ✅
Tumefikia makubaliano na klabu ya Stade Malien (Mali) ya kumsajili kiungo mshambuliaji wao, Franck Tiesse.
Nyota huyo Muivory Coast, amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili...
Match day 24.
Kuna timu zina mechi 23 na mechi 22 katika game 30 za ligi kuu ili kukamilisha msimu wa mwaka 2023-2024
Vinara wa magoli.
1. Ki Azizi - 15
2. Fei Toto - 14
3. Shentembo - 11
Bodies of jamii forum
I salute you..!
Hii team inayoitwa simba kwa kweli inasikitisha.!
Wana matatizo mengi sana lakini kwa uchache tunayajua na wao hawataki kuyakabili ili wasonge mbele...
Mashabiki wasimba wakubali kuwa nao ni tatizo tena kubwa sana kuliko hata mabenchi ya ufundi yote yaliyopita kwani tangu msimu uliopita tulikuwa tunawaambia hii Simba ni mbovu wakawa wabishi huku...
Wadau nawasalimu.Najua kulikubali hili mpaka uwe na akili kubwa.
Mwekezaji Mo Ana asilimia 49 ya Hisa na Wanachama wana asilimia 51
Swali la Msingi
1.Je thamani ya Asilimia 49 za Mo zina Thamani...
Wewe ndio kocha kwenye timu yako, unatakiwa uchague mmoja kati ya Musiala au Bellingham kwenye kikosi cha kwanza unaenda na nani?
Jamal Musiala
Jude Bellingham
OM 🇩🇿
Club de Agosti 🇦🇴
Ayema Sports Academy 🇧🇯
Eding Sport de La Lekie 🇨🇲
DC White Heart 🇨🇩
Saint Lupopo 🇨🇩
TP mazembe 🇨🇩
Eastern Company Sc 🇪🇬
Haras The Hodod 🇪🇬
Misri Makassa 🇪🇬
Zamalek SC 🇪🇬...
Wakuu kwema?
Ukitizima kwa jicho la kiufundi hii timu yetu ya Simba ni timu dhaifu, kweli tutasema tumefuzu hatua ya makundi Klabu Bingwa Africa lakini tumekutana na timu gani? Huwezi kujisifu...
Hili limzee bwana
Sote tunatambua kuwa urais wa CAF kuupata sio rahisi rahisi lazima uwe na pesa plus ushawishi mkubwa ..
Kwanza waarabu ndiyo wanakupitisha,
Yaani wakisema huyu hatumtaki basi...
Kama utakumbuka, miaka ya 2018 kurudi nyuma, refa alizingatiwa kama mchezaji wa ziada na ilipotokea akahusika kwa namna moja au nyingine, matokeo yoyote yalikuwa yanahesabika bila tatizo lolote...
Match Day!
Simba SC Vs Namungo FC
⌚ 04:00pm
🏟️ Uhuru Stadium.
Namungo anakutana na mnyama aliyejeruhiwa.
Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Namungo
Kikosi cha Namungo Kinachoanza
All...
Kama utakumbuka, miaka ya 2018 kurudi nyuma, refa alizingatiwa kama mchezaji wa ziada na ilipotokea akahusika kwa namna moja au nyingine, matokeo yoyote yalikuwa yanahesabika bila tatizo lolote...
Nilitarajia tangu awali kusikia hatua za kufungiwa kwa Yanga zikienda pamoja na TFF kutamka kuipoka Yanga pointi katika michezo yote waliyomchezesha Pacomme kinyume na kanuni.
Hata hivyo...
Ramani hii inaonesha jinsi Mchezaji wa Real Madrid alivyofunga goli la ushindi katika Fainali ya Copa del Rey 2014 dhidi ya Barcelona, mechi hiyo inayofahamika kwa jina la El Clásico ilimalizika...
Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.