Hapa ndo natamani kuiamini ile post ya uchebe baada ya kufukuzwaMkuu wa mkoa wa Daressalam Mh Paul Makonda ameteuliwa kuwa mshauri mkuu bodi ya timu ya Simba
Simba mmepatikana. Kati ya watu wote zero brain awe mshauri mkuu?Hapa ndo natamani kuiamini ile post ya uchebe baada ya kufukuzwa
Yani mtu kutoka RSA ashauriwe na bashite???? Qumanina
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku Bashite, kule Ajib. Itakuwa Gundu FCMkuu wa mkoa wa Daressalam Mh Paul Makonda ameteuliwa kuwa mshauri mkuu bodi ya timu ya Simba
Tangu Makonda amsifie Manula mabalaa yamemwandama kijana wa watu.Simba mmepatikana. Kati ya watu wote zero brain awe mshauri mkuu?
Inawezekana.Nahisi uamuzi wa kujiuzuru Mo ulikuwa nia yake thabiti lakini mtekaji aliingilia kati na kumlazimisha mateka wake aendelee ili aingie kwenye bodi
mkuuSimba mmepatikana. Kati ya watu wote zero brain awe mshauri mkuu?