Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,167
- 1,405
- Thread starter
- #21
nimefanikiwa kupga mkeka wa game 5 so am waiting nipay via mpesa
umeweka gem zipi?
nimefanikiwa kupga mkeka wa game 5 so am waiting nipay via mpesa
umeweka gem zipi?
hii kitu mnaitaga sijui kubeti sijui kunini,sipendi hii.
derby,fenerbance,leiceste city,qpr na benificab. Hzo ndo nimezipa win ya kawaida.
Ngoja nisepe manake hapa hata sijui kinazungumziwa kitu gani.
hii kitu mnaitaga sijui kubeti sijui kunini,sipendi hii.
hahahah mkuu big matches umeziogopa?
m bet ya voda wanachelewesha mafao some times mpaka wiki. Leo kuna kigogo atachana mikeka msiamini
M bet ya voda wanachelewesha mafao some times mpaka wiki. leo kuna kigogo atachana mikeka msiamini
wiyogopa kyani kadoda!!
Liver ovyo kabisa hela ya mwaka mpya imepotea hivi hivi! Niliwapa dro kwengine mambo yalikuwa saf
Bet timu 3 mpaka 5 and then weka dau kubwa, mkeka sio dili, kila siku utakua unasema "ayaaa timu moja tu imeniangusha"
kweli kabisa mkuu! Hata mie ndo zangu hizo kuchukua timu 2 au 3 na kuweka mpunga mwingi. Jana nimechukua leicester city, parlemo na avellino nikaweka dau kubwa na ki2 kimetiki.