wiyogopa kyani kadoda!!

dadi wee acha tuu..nee mbwitu.nimejikuta tuu naichukia hii trend inayoshika kasi miongoni mwa vijana hasa wa Dar.nahis ni kama inafanya baadhi yao wawe both mentally and phyisically lazy.emagine napita mitaa ya kinondoni/ilala nakuta vijana wamejazana ktk kibanda cha wakala wa mpesa/tigopesa. ukiuliza hawa nao wamefata huduma ya mobile money transfer,unaambiwa hapana eti wamekuja kucheki msimo wa ligi ya bla bla bla ili wa BET.nkt.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom