bet

  1. Hermanx

    Wazo la Biashara

    Wadau nimekua na idea ya biashara ila naombeni, niwashirikishe mlitafakari kwangu naona linaweza kulipa sana!!. Wazo lenyewe bila kupoteza mda ni: HUDUMA YA WI-FI YA UNLIMITED KULIPIA KWA MWEZI Tufanye hivi kama upo maeneo ya biashara, chuo, maofisini au popote ambapo kuna watu wenye matumizi...
  2. M

    Kampuni ya Premier Bet ni Wezi, Matapeli na Wenye huduma mbovu kwa Wateja. Kuweni Makini

    Mimi ni miongoni mwa wateja wakubwa wa kampuni ya Premier Bet mpaka kufikia hadhi ya VIP customer. Nimekuwa nikibet zaidi ya milioni moja kwa siku lakini kuna trend moja nimeishuhudia siku za karibuni kwa kampuni hiyo kufuta baadhi ya mechi sense odds kubwa baada ya kula. Pia kumekuwa na trend...
  3. A

    Achaa tamaa weka timu chache ushinde bet

    Watu wengi wakisikia neno bet, moja kwa moja wanahuisha na mpira wa miguu, ni kweli wapo sawa ila betting siyo kwenye mpira wa miguu tu hata kwenye michezo kama cricket, basketball, ngumi na michezo mengine, Embu tungalie kwa upande wa mpira wa miguu ambo unaongoza kwakua na mashibiki wengi...
  4. City Of Lies

    Hatimaye GO BET waomba radhi kwa kutumia lugha ya kuudhi

    Baada ya kutumia neno la kuudhi wameamua kuomba radhi ingiwa wametumia maneno ya kijanjajanja
  5. Malaika wa Misukosuko

    Hawa GO BET wanapata wapi ujasiri wa Kutukana Watu Kisa tu hatujajiunga kwenye Hiyo mitandao yao Ya Kubet

    Ivi hawa Go Bet wanatuchukuliaje WaTanzania ivi Hii nchi Mbona Ngumu sana jamni yan Mtu unakaa zako unahangaika na Matatizo ya hii nchi ghafla Na Mitandao ya Kipuuzi kam hii nayo itutukane, Waziri husika Hebu mkalitazame hilo maan huku ni Kuingilia Privacy za Watu sasa, haiwezekan Watu...
  6. BARD AI

    BETAwards2023: Burna Boy ashinda tuzo ya Best International Act ya BET, Busta Rhymes apewa ya LifeTime Achievement

    Nyota huyo kutoka Nigeria ameibuka mshindi na kuwabwaga mastaa wengine ambao Aya Nakamura, Ayra Starr, Central Cee, Ella Mai, K.O, L7nnon, Stormzy, Tiakola na DJ Uncle Waffles. Beyonce ameshinda 'Viewers Choice', Drake na 21 Savage (Kundi Bora), Future na Tems (Wimbo Bora wa Ushirikiano)...
  7. Kommando muuza madafu

    Tuwataje Madereva wa Mabasi wanaobet kwa kuendesha magari ovyo ili wawahi kufika Stendi wapewe 100,000

    Na declare interest mimi ni mdau wa usafirishaji Tanzania. Lengo la kuanzisha huu uzi sio kuharibu biashara au maisha/ajira za watu ila ni kuokoa maisha ya watanzania wanaokufa kila siku kama panzi kwa uzembe na ujinga wa hawa madereva. Mimi ni mkazi wa Mkoa wa Mbeya na huwa nafanya kazi za...
  8. BARD AI

    Full List: Wanaowania Tuzo ya BET 2023 hawa hapa, Afrika ni wawili tu

    Best International Act Aya Nakamura (France) Ayra Starr (Nigeria) Burna Boy (Nigeria) Central Cee (UK) Ella Mai (UK) K.O (South Africa) L7nnon (Brazil) Stormzy (UK) Tiakola (France) Uncle Waffles (Swaziland) Album of the Year “Anyways, Life’s Great” - GloRilla “Breezy” - Chris Brown...
  9. The Supreme Conqueror

    I Bet Msimu huu 2022/23 Yanga atakuwa Bingwa makombe yote 4

    Wakuu nimeona mpira wa Yanga hakika nawaambieni Yanga anaenda kubeba mataji yote 4 aliyoshiriki msimu huu.
  10. bahati93

    Kusema kweli nikishinda bet sitapokea simu

    Jamani sijui mimi nipoje, sina mpango kabisa wa kupokea simu ikinipongeza eti nimeshinda. Yaani kucheza nicheze mimi alafu watanzania wajulishwe eti nimeshinda. So, habari ndo hiyo! Kama leo utasikia simu ya mshindi ikiita pasipo kupokelewa, jua ni mimi.
  11. Harrykany

    Tunao bet, kama ulisha wai cheza hii option naomba maelezo nimeipenda,

    Nataka nichezee nife hata. Na mchezaji mmoja, Sasa kizungu changamoto hapo sijaelewa Ili mkeka uende inatakiwa mchezaji achezeje huo mpira, apige short golini au mradi kapiga tu shot!? Msaada
  12. ninosi

    M-BET: Mdhamini pekee wa timu katika NBC PL mwenye furaha kuliko wote

    Kwa hali ilivyo sasa kama mdhamini katika NBCPL anataka kupata return ya haraka kwa hela aliyowekeza, Simba SC ni sehemu sahihi. Hili limejidhihirisha msimu huu (2022/23) ambapo M-BET anapata marejesho lukuki. Katika msimu huu (2022/23); 1. M-BET imemwaga bilioni 1 Simba Queen. Kwa sasa Simba...
  13. Artifact Collector

    Mabilioni ya M- Bet yameshindwa kumzuia Zoran Maki

    Mwez wa nane Simba iliingia mkataba mnono kweli kweli na m bet Sasa inakuaje aliyekua kocha wao zoran mak anavunja mkataba na kwenda ittahadalexsc. Inamaana club tajiri Tanzania na level moja na Al Ahly au mamelod sundown wananyanganywa kocha na ittahadalexsc timu ndogo kuliko Simba yaani kocha...
  14. Infantry Soldier

    Ninaomba kumshauri msanii Diamond Platnumz (Naseeb Abdul) ili aweze kuitangaza vema Wasafi Bet

    Habari za wakati huu ndugu zangu wa jamiiforums. Ninaomba mwenye mawasiliano ya msanii Diamond Platnumz au anayeweza kunikutanisha naye ili niweze kumshauri juu ya namna njema ya kuitangaza Wasafi Bet. Smartphone yangu iliibwa mwezi May ila sasa ninatumia Whatsapp ya mjomba wangu number...
  15. Ethan Cruz

    weka bet yako sasa linki iyo hapo mazee

    https://pmbet.co.tz/en/auth/signup/A360 haya wazee waku =AZVhCAkhYGr-G7Gq3EJwE2cfggfi3Tv14lxVtg3JkipZDSBJVqaRl15hFBoNU29oZepGUxnTu6qCET0b9Uocn2FII0IAvqmL08CJUIC0oIH2bTCTD7mYkAvjm6Jc5i0jCXUc9OBItxcdyPEImB9H9WL_AdwWcXI4VJXu45YSXok16w&tn=*NK-R']#BETI /...
  16. ommytk

    Hivi msg za mitandao sijui offer gani mara sijui bet ganj kina mo GSM kina SSB wanatumiwa kweli

    Mie nachukia sana hizi msg mara sijui kuna offer gani mara sijui bet ganj mara sijui shinda nini mara sijui simubima sijui mara sijui chagua mwito sijui unapigiwa simu imesimama kwa daladala mara sijui simu bima sijui nachukiaga sasa nikawaza hivi kina moo au GSM au ssb au boss unga azania au...
  17. B

    Kampuni ya PIGA BET ni wezi wakubwa mmeamua kuniibia pesa yangu

    habari wakuu, kampuni tajwa hapo juu ni kampuni ya kubett ijulikanayo kama piga bet ambayo inajihusisha na michezo ya kubahatisha, jana jioni nikapata pesa yangu sehemu ,nikasema ngoja niizalishe basi nikaweka kwenye acc,nikabett live matches match zikaisha zimetoa kasoro moja tu. nikasubiri...
  18. U

    Za chinichini wasaf BET ni ya wakenya, anakula kamisheni

    Ndo ukweli, I kwamba ni yake kwa asilimia 100, sema hawasemagi ukweli, c angesema ameingia ubia na kampuni ya Kenya kwani Nini mbaya. Hongera kwa platinum, Ila natafuta karanga zako na pafyum mtaani sizioni. Imperial Kenya karibuni muwekeze Rais kashafungua njia, muue kabisa na makampuni...
  19. Mwalimu wa tuisheni

    Mkeka Bet

    Tangu jioni nimejaribu ku access website yao haifanyi kazi, kwa mnaojua nini tatizo...?
Back
Top Bottom