Wakuu habari,
Chama cha Umokhonto We Sizwe (MK) chini ya kiongozi wake na aliye kuwa raisi wa zamani Jacob Zuma wamejizolea asilimia 13 ya wabunge wote mpaka sasa wamesha hesabu 80% ya wilaya zote, na MK imeshika nafasi ya 3. Hata hivyo ina tegemewa kuongezeka kufika mpaka asilimia 17 zoezi la...
Position: English Language Teacher.
Reports to: Academy Manager.
Location: Mbarali-Mbeya, Mulungu Village.
Start date: Immediately.
OVERVIEW
Six Rivers Africa (SRA) is a non-profit organization with a mission to protect, restore, and
preserve wilderness areas, and increase the wildlife...
The legacy of colonialism in Africa is a well-documented narrative of exploitation, oppression, and plunder. European powers carved up the continent, extracted its wealth, and subjugated its people. Yet, as Africa moves further from the shadow of colonial rule, a disheartening reality emerges...
Hawa wajomba wawili, wana sifa moja common ya kutokuwa na simile na mabwanyenye wa magharibi..
Laiti enzi za uongozi wao zingekutana kwa pamoja, naamini East Africa haingekuwa kama ilivyo sasa.
Shida kubwa waliyokumbana nayo wote wakati wanaongoza ni walikuwa hawakubaliki na nchi jirani wakati...
Tunathibitisha dhamire yetu ya dhati ye kuimarisha
amani, usalama na ustawi wa Afrika
Ni dhamira ya Tanzania kukuza
amani na usalama barani Afrika ili
kuweka mazingira stahiki ya
kujenga ustawi wa kijamiina
kiuchumi kwa watu wetu.
Tangukuanzishwa kwake, Baraza
la Amani na Usalama la Umoja wa...
Mpaka sasa Mimi ni Mchezaji wa Yanga na nafasi kubwa zaidi nawapa Yanga, namwamini Rais wa Yanga @caamil_88 yeye ndie amenileta hapa, tuna makubaliano yetu mimi na yeye kuwa Yanga inapaswa kucheza fainali ya Afrika na tutwae kikombe, hiyo ndio ndoto yangu na ikitokea tumecheza fainali na kubeba...
Wakuu nisiwachoshe.. habari ndiyo hiyo...
Kufuatia ziara ya Ruto huko USA, Google wametangaza kujenga mkonga wa Internet toka Kenya kupitia Uganda, Rwanda, DRC, Zambia, Zimbabwe na South Africa hadi Australia huku Tanzania ikiwekwa kando.
---
Today, Google announced new investments in digital...
Mjadala ambao umechukua hisia za mashabiki katika viunga mbalimbali Africa ya mashariki ni kuhusu hoja iliyoletwa na watangazaji vijana mavhachari wa East Africa radio kuwa Diamond Platinumz ni mkubwa kuliko Jay Z kwenye mtandao wa YouTube.
Mjadal huo uliendeshwa na vijana wenye vipaji na...
Many people are thinking wrong that Africa has no history However, historical and archeological studies have proven that Africa has a richer and greater history than ancient historians have tried to have us believe.
1. The human race is African descent. The oldest known skeletal remains of...
Jeshi la Africa kusini linategemea kufunga virago msumbiji ambako vikosi vya SADC vikiongozwa na South Africa vilikua vikipambana na Kundi la kigaidi la kiislam Msumbiji.
Hii ni kutokana na siasa za Africa kusini zinazoshinikiza Africa kusini kutoa majeshi DRC pia kwene nchi nyingine kama...
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya CRDB Insurance, Wilson Mnzava akibadilishana hati ya makubaliano na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya ACRE Africa, Ewan Wheeler, katika hafla ya kusaini makubaliano ya kutoa huduma ya bima ya kilimo na mifugo, ambapo kwa kuanzia watanaanza na bima ya mifugo kwa...
Africa Ni bara tajiri MUNGU amelipa Mali nyingi but still bado Ni maskini. Tuliosoma darasani sababu za bara hili kua maskini kwa mtazamo wangu sio kweli .Tujiulize yafuatayo.
Nikweli Africa haina miundo mbinu, nikweli Africa haina raslimali watu, hivi nikweli hatuna viongozi sahihi n.k...
WELCOME TO KENYA WHERE:-
1. Girls handbags carry everything necessary for sleepover except their fare back home
2. When you are served little chips in a restaurant, you drink their Tomato Sauce like Pepsi
3. Youths don't pray before eating but take pictures of the meal first then post it on...
Kwa mujibu wa mtandao wa Score 90 wametoa kikosi chao bora cha muda wote katika soka. Unakubaliana nao, kama hukubalianai nao nani anatakiwa awepo kikosini?
Senior Manager; Credit Risk (Wholesale & Business Banking) (1 Position(s))
Job Location:
Head Office, Hq
Job Purpose:
Responsible for wholesale and Business Banking portfolio in safeguarding compliance in lending practice and assist to limit credit risk exposure within acceptable parameters...
Kuna wimbi la vijana wa hovyo panya road typical hatimaye wametinga kwa Kaburu.
Kuna wimbi la vijana panya road type sasa wamevuka mipaka wameanza kuwakaba mpaka Watanzania wenzao na wengine wakishavuta bangi zao hujiona ni Wamarekani na kujipost wakiwa na silaha za moto.
Sasa azimio ni moja...
Wiki hii kampuni ya simu ya Safaricom ya Kenya imefikisha mapato ya dollar bilioni 1.07 kwa mwaka na kuifanya kampuni ya kwanza katika ukanda wa Africa Mashariki kufikisha na kupita kiwango cha mapato ya dollar bilioni kwa mwaka.
Tanzania has nominated Dr. Faustine Ndugulile as its candidate for the Regional Director for Africa position at the World Health Organization (WHO). The country has received an endorsement for Ndugulile from 16 countries in the Southern African Development Community (SADC) and seven others...
Dar es Salaam
Tobacco use, the leading cause of preventable deaths worldwide, continues to pose a significant public health challenge, claiming the lives of 8 million individuals annually, according to the World Health Organization (WHO).
In response to this crisis, the WHO Framework...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.