Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

  • Sticky
Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje... ============== July 2014...
114 Reactions
2K Replies
1M Views
  • Sticky
Salaam! Ni muda sasa humu Jukwaani kumekuwa na mabandiko ya watu mbalimbali wakiomba kazi, zile za ujuzi mahususi na zile za jumla. Baadhi ya wanaoandika wamekuwa wakitaja sifa zao, wengine...
87 Reactions
210 Replies
148K Views
  • Sticky
Wewe ni mfanyakazi wa Serikali, Kada ya Kilimo (Afisa Mifugo, Afisa Kilimo, Bwana Nyuki n.k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi? Kutokana na wengi kuweka maombi ya watu wa...
3 Reactions
144 Replies
95K Views
  • Sticky
Habari zenu wana-JF? Naomba msaada wa jinsi ya kuandaa CV yangu.. Mie ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho Computer science, nataka kuandaa CV yangu vizuri. Shukrani! Namna ya kuandika CV...
41 Reactions
296 Replies
254K Views
Tuliomaliza vyuo majuzi alafu tukawa na presha ya kusubiri ajira za afya zitangazwe may mosi njooni tupeane mrejesho
0 Reactions
2 Replies
89 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
42 Reactions
51K Replies
3M Views
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania anatangaza nafasi za ajira kwa vijana wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha sita na Kidato cha nne. 1. Sifa za Muombaji a) Awe raia wa...
5 Reactions
106 Replies
30K Views
Hivi mfumo wa kutuma maombi ya ajira jeshi la polisi ni kwangu tuu unasumbua ama na wengine mmekutana na changamoto hii?
1 Reactions
136 Replies
8K Views
Jamani ivi kijana mwenye 33 hawezi ajiriwa kama Askari?
2 Reactions
10 Replies
586 Views
Job Reporting To: Manager; Cybersecurity Governance & Compliance Department: Cybersecurity Location: HQ Job Summary. Responsible for the creation, maintenance and management of cybersecurity...
0 Reactions
0 Replies
22 Views
Relationship Manager; Commercial (1 Position(s)) Job Location : Head Office, Hq Job Purpose: Responsible for driving sales of assets and liabilities for commercial businesses; as well as...
0 Reactions
0 Replies
25 Views
FTTX Proejct Manager at TiGO May, 2024 Tigo is a telecommunication company in Tanzania. With over 13.5 million registered subscribers to their network, Tigo, directly and indirectly, employs over...
0 Reactions
0 Replies
16 Views
Job Summary Position: Loan Officer Working Station: Dar es Salaam Company: ELM Enterprises co. ltd Main Business: Microfinance and Insurance KEY RESPONSIBILITIES: i. Marketing loans products...
0 Reactions
0 Replies
22 Views
The successful candidate can be posted to work anywhere within Tanzania Main Land This manager leads a team of Partnership Facilitators that serve the church partners by strengthening local...
0 Reactions
0 Replies
19 Views
Vijana mlioomba kuingia TAKUKURU Majina ya kuitwa kwenye Usaili yametoka kwenye Website Sasa mkajaze Aziz Ki na Pacome kwenye Usaili
8 Reactions
83 Replies
9K Views
Heshima yenu wakuu. Ninaorodhesha credentials zangu hapo chini kwa lengo la kuomba kazi ya muda mfupi ama mrefu yenye malipo yasiyopungua 15,000/= kwa siku. 1. Ninaishi Kigamboni 2. Umri wangu...
33 Reactions
504 Replies
33K Views
Habari! Sisi ni chuo tupo Arusha tunatoa kozi mbalimbali zikiwemo za utalii Katika kuhakikisha tunawafikia wanafunzi wengi tumeona ni vyema tuongeze team katika idara yetu ya marketing Kama upo...
0 Reactions
0 Replies
25 Views
Habari Naitaji sales person ( Mzoefu au mwenye uwezo wa kutafuta masoko ) Mashara : 300k ~ 400k kwa mwez kutokana na uwezo na uzoefu wako. Piga : 0678650509
2 Reactions
10 Replies
259 Views
Wadau ni kipindi gani ajira za jeshi la polisi zinategemea kutangazwa?
1 Reactions
114 Replies
4K Views
Jamani ninaomba maoni yenu na mchango wenu kuhusu Udereva wa serikalini kama unalipa na kama ajira zake zinaweza kupatikana Asante
3 Reactions
26 Replies
6K Views
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake 1. TPDC 2. TCRA 4. Ngorongoro 3. Ewura 4. WCF 5. TBS 5. TANAPA 5. Tume ya madini 6...
92 Reactions
2K Replies
533K Views
Habar za muda huu Asalem aleykum. Ndugu jama na marafiki nipo hapo leo kuelezea changamoto yangu kwenu nipo hapa kuomba Kazi za udereva wa kumuendesha mtu, taasisi yoyote pia Nina uzowefu wa...
0 Reactions
2 Replies
73 Views
Habari za mchana wana JF, ninatumai wazima na kwa wale wagonjwa Mungu awape afya njema kwa uwezo wake. Nipo hapa kutangaza nafasi za vijana wa kunisaidia kuuza juice mtaani. Ninataka wasichana...
3 Reactions
7 Replies
211 Views
Habari, Naitaji wafanyakazi 5 (wadada na wakaka) kwa ajili ya kunisaidia kupika katika bakery. Eneo: Kibaha Maili Moja Piga: 0678650509
1 Reactions
4 Replies
143 Views
Back
Top Bottom