macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 22,085
- 40,194
Sidhani kama wewe ni lawyer. Na kama wewe ni lawyer basi sina la zaidi.Unajielekeza vibaya, so long as you are not a lawyer, yaani ni LAYMAN kaa kwa kutulia .
Sidhani kama wewe ni lawyer. Na kama wewe ni lawyer basi sina la zaidi.Unajielekeza vibaya, so long as you are not a lawyer, yaani ni LAYMAN kaa kwa kutulia .
Yes, huwezi tena kurudiaNmeelewa Mkuu, point yangu ni kwamba ata kama alifungua kesi kwa ishu ya kuingiliwa bila ridhaa si bado ina mantiki maana alilazimishwa? Au kama mtu alivosema hapo juu ana uwezo wa kurudia tena kufungua kwa usahihi si ndio?
Ila sio uwanja wangu huu kiongozi acha niwe mfatiliaji zaidi wa comment.
Mimi sipo Bench ,am not in a Bar.Sidhani kama wewe ni lawyer. Na kama wewe ni lawyer basi sina la zaidi.
Alikuwa bikra?Yeye ni mgeni, amemaliza kozi ya ushonaji huko charambe Dar na ndio mara ya kwanza anafika Mbeya, hajui lolote.
Stendi kuna sehemu ya kulala abiria.Nawafikiria sana wanaosema alaumiwe binti kisa kaenda kulala kwa mtu asiyemjua.
Mlitaka alale nje?
Wasafiri wangapi wana pesa ya kutosha kiasi gari lingekwama hapo Mbarali wangeweza kulipa lodge walale?
Wangapi wangeenda nyumbani kwa Mapinduzi kwa kukosa pesa?
Mtu anajiona smart kisa kaandika vitu anavyoviona kwenye movie. Acheni hizo tabia.
Mapinduzi labda aseme nilikubaliana ngono na mdada kama malipo ya kuja kulala kwangu.
Ushahidi wenyewe ni upi?.Hakuna kubakwa kwa hivyo.Mambo mengine tukiyaendekeza yatakuja kutufanya ata wake zetu majumbani watushtaki tumewabaka.Wanaume tumekua dhaifu sana na wanawake wameshajua namna yakunufaika kupitia madhaifu yetu.Upo pasi na kuacha shaka, Mawakili wa Serikali wamekosea vifungu kama kawaida yao.
ushahidi uwepo alafu vifungu vikosewe kwenye kesi yenye wanasheria.Ukiona hivyo itakua toka maelezo ya awali ya hiyo kesi yalikua na walakini.Mkuu ushahidi upo wa kutosha kabisa kwenye hiyo kesi,tatizo ni kwamba huo ushahidi uliokuwepo na ambao ulitolewa na muhanga mwenyewe wa hilo tukio haukuendana na kifungu cha sheria ambacho mtuhumiwa alishitakiwa nacho,ushahidi uliotolewa unaangukia kifungu cha 130 (1) (2) (a) lakini kwenye hakti ya mashtaka kifungu kinasomeka 130 (1) (2) (b) ya Kanuni za Adhabu,kwa hiyo maelezo yalipo kwenye hati ya mashtaka hayaendani na ushahidi uliotolewa. Kwa hiyo kulikuwa na makosa kwenye uandaaji wa hati ya Mashtaka.
Hakuna any newsPakoje kwani Uyole?
Ebu tueleze kama una a b c. Na naamini unazo.
Kuna changamoto kubwa kuliko kosa la mawakili. Binti kasafiri toka 22/5, rape imetokea 24/5 usiku. Alikua anafanya Nini kwenye nyumba toka 22 usiku mpaka 25? Hajasema alitekwa Kwa namna yeyote. Hamuoni shida hapo?Upo pasi na kuacha shaka, Mawakili wa Serikali wamekosea vifungu kama kawaida yao.
😄😄😄😄😃Leo nacheka sana kwa comment alizozielekeza mtoa hoja ili wadau wachague.Katoka mjini kaenda kubakwa kijijini, enewei wa kulaumiwa ni Mungu kashindwa kufanya jamaa asidindishe
Mi naangalia sababu kuu ya kumuachia mbakaji, experts opinion unaipuuzaje kisa tu kuna mapungufu kwenye charge sheet!?Kwamba kukuta mbegu ndo kithibitisho kikubwa cha mwanamke kubakwa? Vipi nikielewana na binti baada ya muda akaenda mahakamani baada ya kuhitilafiana,napo ni ubakaji kisa wamekuta mbegu?
ushahidi uwepo alafu vifungu vikosewe kwenye kesi yenye wanasheria.Ukiona hivyo itakua toka maelezo ya awali ya hiyo kesi yalikua na walakini.
Sasa Victim yeye anahusikaje na hivyo vifungu vya sheria!? Yeye ndiyo anaanda hayo mashitaka kupeleka huko Mahakamani!? Inamaana haki ya binti imepotea kisa tu kuna mtaalamu kakosea kazi yake!? Je huyo mtaalamu aliyekosea kazi yake ya kuaanda hayo mashitaka yeye anachukuliwa hatua gani!? Labda hiyo ndiyo chocho iliachwa wazi kwa makusudi kabisa ili mbakaji aje atoke kwenye Mahakama ya rufaa,pia hilo linawezekana!!Man Rody soma sababu ya kuachiwa ni kukosea kwa vifungu vya sheria.
Hujaelewa?
Unataka mahakama ya Juu kabisa imfunge mtu aliyeshitakiwa kwa kosa tofauti?
U
Kwa kifupi sasa, hapa nani alaumiwe?Sasa Victim yeye anahusikaje na hivyo vifungu vya sheria!? Yeye ndiyo anaanda hayo mashitaka kupeleka huko Mahakamani!? Inamaana haki ya binti imepotea kisa tu kuna mtaalamu kakosea kazi yake!? Je huyo mtaalamu aliyekosea kazi yake ya kuaanda hayo mashitaka yeye anachukuliwa hatua gani!? Labda hiyo ndiyo chocho iliachwa wazi kwa makusudi kabisa ili mbakaji aje atoke kwenye Mahakama ya rufaa,pia hilo linawezekana!!
Ndio, jamaa alikata uzi siku ya kwanza, siku ya pili akaendeleza, siku ya tatu binti akatoroka gheto baada ya jama kusahau kufunga mlango.Alikuwa bikra?
Kjijini, nyumba zipo mbali mbali, jamaa kamfungia chumba cha wageni , ana,la alafu naenda kupiga vumbi la kongo anarudi anamla tena.Kuna changamoto kubwa kuliko kosa la mawakili. Binti kasafiri toka 22/5, rape imetokea 24/5 usiku. Alikua anafanya Nini kwenye nyumba toka 22 usiku mpaka 25? Hajasema alitekwa Kwa namna yeyote. Hamuoni shida hapo?
Binti akiwa kakosa msaada safarini aombe msaada kwa Konda wa basi au Dereva wa Basi. Kama keshashuka Basi aombe msaada kwa Mwanamke mwenziye kwanza.
Ili ampeleke Kituo cha Polisi au Serikali ya Mtaa au Kituo cha msaada kama Kanisani, Msikitini
Kwamba hakubakwa toka 22/5 ameenda kubakwa 24? Mwanaume rijali yupo na kigoli ndani siku mbili anamtazama tu? Kuna walakini hapo bro. Halafu siijui mbeya ila siamini kama ipo tofauti na Kilimanjaro. Eneo ni dogo hivyo nyumba zimesongamana. Kwa Nini hakupiga kelele? Kwa Nini hakupigana? Angekutwa hata na alama za kubamizwa wakati wa kubakwa. K kuwa na michubuko ni kawaida kama watu wamejifungia ndani wakitombana siku mbili mfululizo. Hapo Binti alikosea Cha kujitetea Kwa kutokufika Kwa shangazi. Or else alificha vingine.Kjijini, nyumba zipo mbali mbali, jamaa kamfungia chumba cha wageni , ana,la alafu naenda kupiga vumbi la kongo anarudi anamla tena.
CHumba hakikua na komeo au kitasa kusema ajifungie?Nyumba za vijijini zipo mbali mbali.
Jamaa alikwenda chumbani kwake usiku saa saba akaanza kuomba mchezo, kunyimwa akamvua chupi maana dada alikuwa maevaa kanga moja pekee.
Jamaa kiona tunda akapenya.