Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pavement gani uchafu mtupu 😂😂😂😂

Wewe hujiskii aibu
Ebu linanisha na hizi za bongolala CBD. 🤣 🤣 🤣
IMG_3119.JPG

G+Kariakoo+Congo+street+clean+2.jpg
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Ona huyu.
Tangu lini Bongolala wakatumia bushstone? Nionyeshe nyumba kama hizo bongolala.
This is the signature Kenya archicture. Vitenge architecture yenu hukaa hivi na hapa nimepost nyumba ya upper middle class. Za maskini ni vicheko. 🤣🤣🤣

f358f4061eebde895e384d389aa987c1b41ac034.jpeg
No wonder kimbilio la wakenya now ni mafundi kutoka Tanzania hata ulie huo ndiyo ukweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
No wonder kimbilio la wakenya now ni mafundi kutoka Tanzania hata ulie huo ndiyo ukweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa mafundi mnaoongelea mbona mimi sijawai waona? 🤣 🤣
Alafu umbo la nyumba ni msanifu yani Architect, sio mafundi. Fundi atafanya kazi kama alivyoelezwa na Msanifu na Mhandisi. Ninachojua majengo yenu mazuri zaidi yamebuniwa na Wasanifu kutoka Kenya.
 
List of Kenyan Presidents and their Tribes 🤣🤣🤣👇👇👇

Jomo Kenyatta (1964–78) - Kikuyu
Daniel arap Moi (1978–2002) - Kalenjin
Mwai Kibaki (2002–13) - Kikuyu
Uhuru Kenyatta (2013–22) - Kikuyu
William Ruto (2022– ) - Kalenjin
1718786062042.png
 
List of Tanzaian Presidents and their Tribes

  1. Julius Kambarage Nyerere - Zanaki
  2. Ali Hassan Mwinyi - Zaramo
  3. Benjamin William Mkapa - Ndendeule
  4. Jakaya Mrisho Kikwete - Kwere
  5. John Pombe Joseph Magufuli - Sukuma
  6. Samia Suluhu Hassan - Shiraz
Mtuambie nyie wakenya ni nchi gani inayofuata demokrasia? 🤣 🤣 🤣
Mbwa za CCM.., lugha moja; CCM, dini moja; CCM.., chama cha mafala hehehehehe.., singular ideology., ujinga mzigo
 
Nionyeshe Estate moja tu hapo Dar yenye barabara nzuri kuliko Kilimani.


View: https://www.youtube.com/watch?v=pO3IIcC6xAE

Acha ubishi. Ukitaka nitakuumbua sana. Huniambii chochote kuhusu hio Nairobi na kenya yenu

Hio Kilimani, hurlingam, kileleshwa, lavington mpaka kule kwenye slum ya kawangware inayonuka horizontal landscaping na developments ni aibu tupu.
Tukianzia YaYa centre pale, sewage za pale hazijawahi kauka Barabarani ni mwaka sasa kila nikienda Nairobi sewage zimekuwa mto kabisa, Barabara nyingi za Kilimani zina open sewage gutters, uchafu haukusanywi.

Anyway subiri next month nitakuwa huko nitaleta picha
 
Acha ubishi. Ukitaka nitakuumbua sana. Huniambii chochote kuhusu hio Nairobi na kenya yenu

Hio Kilimani, hurlingam, kileleshwa, lavington mpaka kule kwenye slum ya kawangware inayonuka horizontal landscaping na developments ni aibu tupu.
Tukianzia YaYa centre pale, sewage za pale hazijawahi kauka Barabarani ni mwaka sasa kila nikienda Nairobi sewage zimekuwa mto kabisa, Barabara nyingi za Kilimani zina open sewage gutters, uchafu haukusanywi.

Anyway subiri next month nitakuwa huko nitaleta picha
YAYA yenyewe hii hapa 😂😂😂



IMG_8343.jpeg

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom