wangu

Wangũ wa Makeri (c. 1856–1915 or 1936) was a Kikuyu tribal chief, known as a headman, during the British Colonial period in Kenya. She was the only female Kikuyu headman during the period, who later resigned following a scandal in which she engaged in a Kibata dance.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    Ukikutana na mwanamke wa kichagga anaitwa MANKA kimbiaaaa mkuu wangu.

    Usioe mwanamke wa kichagga anaitwa MANKA. Usifanye biashara na mwanamke wa kichagga anaitwa MANKA. Usipange nyumba moja na mwanamke wa kichagga anaitwa MANKA. Fanya yoooote na wanawake wa kichagga wa majina mengine, lakini ukisikia tu MANKA, kimbiaaaa mkuu wangu. I'm done..
  2. Tman900

    Ndoto Yake Iko Nje Ya Uwezo Wangu.

    Mi ni mtu wa kipato cha Kati, nimewaza saidia Vijana kadhaa, Mmoja aliosoma DMI. Na alipo maliza Chuo tulipambana kumtafutia kazi. Mambo yakawa Heri akapata kazi Sasa Yuko kijana yeye alimaliza form 4 na Ana Division 3, Toka nimemfahamu kwa siku ya kwanza ktk hizi Familia Zetu za kawaida...
  3. M

    Ya Jana yameshapita, tugange ya tarehe 27 na ushauri wangu kikosi kiwe hivi ili kuiondosha Stellenbosch

    Stellenbosch atakufa kwa kikosi hiki tu na sio vinginevyo 1. Camara 2.Kapombe 3. Nouma 4.Che Malone kama amepona 5.Hamza 6.Kagoma 7.Kibu 8.Okajepha 9.Ateba 10.Mavambo 11. Mpanzu
  4. C

    Kwa uzoefu wangu ni majina ya AMOSI wengi wana uelewa mdogo kiasili ,huwa hawako vizuri kwenye reasoning,ni wazito kiakili, na ni wakurupukaji sana

    Hili ni baada ya kuwafahamu kina amosi wengi sana nilio kutana nao katika maisha yangu ya kawaida , nadhan ndugu msomaji hebu na wewe wakumbuke kina amosi ulio kutana nao kwenye maisha yako kisha toa ushuhuda.
  5. True Man11

    MKE WANGU NAOMBA UJE SASA

    Uwe mrefu flani hivi, shep ya ki model mwenye nyama, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo uwe mkoa wowote ila tutaishi dar, kama umebahatika kupata mtoto naomba isiwe zaidi ya mmoja, miaka kuanzia 22 - 30, muhimu saana uwe ushaamua kuwa mke, ndoa yetu mwaka huu Mungu akijaalia, kama ni wewe...
  6. 4

    Lissu anatakiwa kutoka alipo mara moja na sio ombi la kibinadam bali ni amri kuu kutoka kwa Mungu

    Leo sina salam , ila natambua uwepo wenu wanaJF . Kwenye mada na husika na mada tajwa hapo juu . Mh Lissu anatakiwa kutoka alipo mara moja na sio ombi la kibinadam bali ni amri kuu toka kwake alieumba mbingu na dunia period ,asema Bwana. Haiwezekani ulale kitanda kizuri ila mwana wa Mungu...
  7. Stability

    Naipenda sana hii position, ubongo wangu husamabaratika kabisaaa.

    Hakuna raha itakayofanania kama pale mrembo umemuweka doggy au reverse kow girl alafu ageuke anakuangalia kwa huruma akisikilizia utamu. Aiseee, kongole kwa warembo wote♥️♥️ wanaojituma kwa bed.
  8. M

    Ushauri wangu kwa Rais Samia kuhusu Tundu Lissu kukamatwa na kufunguliwa mashtaka

    Mama, waliokushauri umkamate Tundu Lissu na kumfungulia mashtaka makubwa makubwa hayo hawana nia nzuri na wewe. Yaani, wamekupoteza/ wamekudanganya. Nionavyo mimi ni kwamba, badala ya kudhani unatatua tatizo hapo kwa akili yangu umeongeza tatizo mara 50 zaidi. Faida ya kumfungulia mashtaka...
  9. M

    Mrejesho: Kijana wangu wa miaka 9 kuwa na maumivu ya mgongo

    Habari wakuu, nilileta Uzi humu juu ya kijana wangu kuwa na maumivu ya mgongo kayapata akiwa shule bweni darasa la 4, yamemuanza tarehe 1/4/2025 hakupigwa, hakuanguka, zaidi alikuwa akibebeshwa ndoo ya maji asubuhi na jioni Majibu ya vipimo Imeonekana pigili zake za mgongo zimenyooka kama...
  10. G Sam

    Nakipongeza chama changu CHADEMA kwa msimamo thabiti juu ya UCHAFUZI. Binafsi nitatumia uwezo wangu wote kuhakikisha nakuwa sehemu ya kuuvuruga

    Naapa kwa Mungu lazima niuvuruge Uchafuzi mkuu wa mwaka 2025. Nikiondoka na roho hata moja tu ya mchafuzi nitakuwa na amani kubwa moyoni. Kubwa sana! Nikipongeze Chama changu CHADEMA kwa msimamo thabiti. Sasa huko mitaani kazi yetu itakiwa nyepesi sana maana itakuwa ni kazi moja tu ya...
  11. I

    Mpenzi wangu kaanza kuniita hili jina, ana maana gani?

    Poleni na mihangaiko wakuu. Nina kasichana kangu kapo chuo hapo IFM kameanza kuniita papaa. Hivi hii ina maanisha nini?
  12. M

    Viongozi wangu wa Coastal Union, msipoangalia huyo Joseph Lazaro ataishusha timu daraja

    Joseph Lazaro, beki wa zamani wa kushoto wa Coastal Union akiwa msaidizi wa marehemu Douglas Mhani enzi zile za marehemu Hamis Makene, benchi akiwa Mohamed Mwameja, kulia Saidi Kolongo, kushoto Douglas Mhani, nne Yassin Abuu Napili na sentahafu marehemu Idrisa Ngulungu, sita pale alikuwa...
  13. K

    X wangu kaja hivi baada ya kujua nimepata mpenzi mpya

    Ametoa povu baada ya kuona Nina mpenzi mpya....! Comment ziwe fupi fupi.
  14. Manfried

    Siwezi kuchosha mwiko wangu kwa upishi wa mara moja.

    Wanawake mnahangaika sana sisi Alpha male hatuchovi kila tundu keep this in ur mind. Nimeamua kumkazia huyu Mwanamke mbaya zaidi Ana 30+ Ila anawaza chini tu.
  15. Satirical Yet Awesome

    Wanawake mkitaka kushindana na wanaume zenu, shindana nae kweny kila sekta

    Eti niki cheat na yeye analipiza ana cheat na mwanaume mwingine. Sasa najiuliza kama yeye ni jemedari wa kulipiza visasi, mbona nikilipa bills za nyumbani halipizi? Na yeye akawa analipa bills. Mbona nikilipa ada za watoto halipizi? Nayeye akalipa ada za watoto. Mbona nikifungua biashara kwa...
  16. holoholo

    Ni njia gani nitumie ili mdogo wangu ajiunge na academy au timu yeyote ya Mira wa miguu nchini ??

    Wakuu, Ni mdogo wangu wa damu anaitwa Charles masanja ana umri wa miaka 12 anakiwasha sawa sawa anacheza nafasi zote za mbele namaanisha namba 8,9,10,11 na 7 Anakipaji kikubwa Sana,kipaji chake kimepelekea kuaminiwa ktk timu ya wakubwa na anacheza vizuri Sana Ndiyo zake ni kuwa mchezaji...
  17. K

    Nawezaje kuondokana na haya majeraha yanayo niumiza moyo wangu

    Habari wakuu Nimehangaika sana kukabiliana na hili jambo lakini kwa uwezo wangu wote imeshindikana kabisa nahitaji msaada na ushauri haswa wa kiimani Lakini msaada huu sipendelei munielekeze kwa manabii wala mitume wala dini nyingine tofauti na ukristo Kama una mchungaji unamfahamu ambae ana...
  18. Miss Natafuta

    Msaidizi wangu wa ndani anagawa vitu vyangu kwa wanandoa

    Jamani nina huzuni mwenzenu acheni tu na mvua hizi. Kama nilishawahi kukukosea humu kwanza nisamehe kuwa single parent jamani kila kitu kinakuzoom wewe sio mchezo. Unajitahidi wanao basi wasipate shida. Unajitesa kuweka mambo sawa ila kuna mtu anakuja kumlaghai dada wa kazi ampe vitu na huku...
  19. Mikopo Consultant

    Nahitaji connection ya kumuhamisha wamoyo wangu, yupo huko machakani, nimechoka upweke, dau lipo

    Wakuu wa kazi, upweke utaniua mwenzenu na nimeokoka sitaki kuwa na nyumba ndogo Mwenzangu ni mwalimu huko machakani, elewa neno machakani, ni machakani haswaaa. Sasa nilijipa matumaini atafanikiwa kuhama baada ya tangazo fulani la msawazo mwaka jana, ila tangu ajaze lile tangazo huu ni mwezi...
  20. B

    Nimetokea kuvutiwa na secretary wa moja ya ofisi za Chuo nilichosoma namuingiaje?

    Leo wakuu nilirudi katika Chuo nilichosomea, kuna course nilienda kusoma ya mwezi mmoja Baada ya kumaliza course Leo nimeenda kuchukua cheti changu Dah, mhudumu alikua mwanadada wakuu sio poa mtoto ana shape ya haja sio 😋 Tulikuwa tumekaa kwenye foleni, anaingia mmoja mmoja anapewa cheti...
Back
Top Bottom