uwezo

  1. kilio

    Je tasnia ya habari imejiandaa na Program za Akili Bandia (Generative Artificial Intelligence) zenye uwezo wa kutengeneza Fake News and Misinformation

    Tumeshuhudia siku za karibu waziri Dorothy Gwajima akitoa tamko juu ya maudhui ya mwanadada anayeishi na nyoka. Huu ni mwanzo tu, mengi yanakuja kupitia programu za akili bandia. Program hizi zina uwezo wa kutengeneza fake picha, fake video and fake sauti ili mradi kuleta utata na upotoshaji...
  2. P

    Nahitaji Msanifu majengo mwenye uwezo wa kufika site kwangu

    Wakuu habari zenu. Nahitaji ramani Kwa ajili ya Apartment za kupangisha. But kabla ya kupewa ramani nahitaji mhusika afike site ili aone namna ya eneo lilivo. Site ipo Kiabakari - Musoma, ni vema pia kama mhusika atakuwa mkazi wa maeneo hayo. PM Iko wazi tufanye kazi Kwa Msanifu majengo...
  3. I

    SoC04 Taifa lina kipi cha kutoa katika majukwaa ya kimataifa na umiliki wa Mali asilia iwe kiteknolojia, kisiasa na kideolojia

    Kwa asilimia kubwa Sana taifa limekua liki tafuta na kuwepo katika jukwa la kimataifa kuzungumzia utajiri hasiria ambao Umekua kua ukichangia Sana katika pato la taifa pamoja na watu binafsi. Uwepo wa utajiri huo Bado ahutoshi kua kitambulisho cha taifa leo hii uki uliza watu waliopo Nje ya nchi...
  4. Comrade Ally Maftah

    BEDROOM PACK ONGEZA HAMU NA UWEZO WA KUMUDU TENDO LA NDOA

    FOREVER BEDROOM PACK ( KIFURUSHI ) 1. ARGI + 2. MULTI MACA 3. VITOLIZE FOR MEN Na Comrade Ally Maftah JITU LA MIRABA. ARGI +. (FOREVER ARGI PLUS ) 🫴🏾Kirutubisho hiki kipo kwenye mfumo wa unga, unaweza kuchanganya kwenye maji, maziwa mtindi, sharubati Kazi kubwa ya Argi Plus ni kuhakikisha...
  5. Melki the Storyteller

    Ni kweli mchekeshaji Leornardo ana huu uwezo mkubwa wa kufikiri au kuna mtu nyuma ya kamera?

    Nimetafakari sana nikajikuta nacheka tu bila sababu. Hivi huyu Leonardo ana huu uwezo mkubwa wa kudadavua hesabu za kuzidisha namna hii? Ama ni vile Clouds wameamua ku-create content kwa lengo la kuteka attention za watu?
  6. G

    Nasikitika kusema mfumo wa CHADEMA bado hauna uwezo wa kupewa uongozi wa nchi, labda waufanyie marekebisho au tuwape muda zaidi miaka 10 au 15 ijayo

    Habari wakuu Nikiri Mimi ni muumini wa demokrasia ya vyama vingi na siasa za hoja za ushindani kwani naamini ushindani wowote huletea wananchi maendeleo Ni moja ya watu tunatamani kuona tunakuwa na vyama vya siasa imara vinavyoweza kubadilishana madaraka Kila wakati pale kilichopo...
  7. Zakaria Maseke

    Nani ana uwezo wa kushtaki na kushtakiwa kisheria?

    Jambo la kwanza kabla ya kuamua kushtaki au kufungua kesi Mahakamani hakikisha una miguu ya kusimamia Mahakamani, kisheria tunaita LOCUS STANDI. Locus standi ni neno la kisheria lenye asili ya kilatini ikimaanisha maslahi au haki uliyo nayo au iliyovunjwa na mtu au taasisi na hivyo kukupa haki...
  8. 1

    Simba iwaongeze wazawa hawa msimu ujao, wana uwezo mkubwa

    Kuna wachezaji wazawa wazuri sana nimewaona ambao Simba ikiwasajili watawasaidia mno, wa kwanza ni beki wa kulia wa zamani wa KMC na ss Singida, Kevin Kijiri, huyu hana tofauti na yule beki wa kulia wa Mamelodi, Kijiri ana nguvu, spidi halafu mrefu, Israel Mwenda anafanya sana makosa na jana...
  9. Selemani Sele

    Kama ungekua na uwezo wa kurudisha nyuma muda manzi mmoja uliepiga na unajutia. Angekua anaitwaje?

    Kuna ule.muda unakaa peke yako unasema najuta kufanya ngono na yule demu natamani muda urudi nyuma ili lisitokee. Kwa mimi ni Aneth mshenzi alinipa gono na uti sugu Nilikuwa nalia kama mtoto kudadeki. Wewe je ni yupi huyo unajutia .
  10. Comrade Ally Maftah

    Sabaya ni kiongozi imara mwenye uwezo wa kipekee

    SABAYA NI MOJA YA VIONGOZI WENYE UWEZO MKUBWA SANA KUSIMAMIA SERA NA ILANI YA CHAMA Na Comrade Ally Maftah JITU LA MIRABA Mimi ni kati ya watu wanaoamini kwamba "MAPUNGUFU YA BINADAMU NDIO UKAMILIFU WAKE" Ninavutiwa sana na aina za siasa anazofanya kaka yangu Sabaya, na nilipata tabu kiasi...
  11. Newbies

    Nafasi za uteuzi zipewe watu wenye uwezo kiuchumi

    Ipo haha ya kizingatia zaidi watu wenye nguvu kiuchumi kushika nafasi kubwa kubwa kwenye vyama serikali na Taasisi ambao kwa nafasi kubwa tunaweza kupunguza, Rushwa, wizi, na kuongeza mentality ya maendeleo. Watu Hawa wanaweza kuwa Bora kwenye ufanizi kuliko wale wasio jiweza kiuchumi ambao...
  12. Mkalukungone mwamba

    KWELI Juhabahari (Clownfish) wana uwezo wa kujibadilisha jinsia kutokea dume na kuwa jike

    Nimekutana na hii mtandaoni kwamba Clownfish wana uwezo wa kujibadilisha jinsia kutokea dume na kuwa jike. Tusaidieni kuihakiki.
  13. Suley2019

    Muuza Madafu akionesha Uwezo wake wa kugawa Wastani kwa idadi

    Yule ndugu yetu muuza Madafu ambaye ameonekana kufananishwa na Kamanda aliyeonekana siku ya Muungano leo Ayo TV wamepita naye na amewaonesha Uwezo wake. Kama Jamaa sio Mtu wa kitengo kweli basi napendekeza Jeshi liangalie namna ya kumpa mafunzo maana mwamba anaonekana yupo fit kinoma...
  14. Yuh003

    Kwanini baadhi ya binaadamu wanakuwa na uwezo wa kufanya mambo mengi?

    Kwanini baadhi ya watu wanakuwa na uwezo wa kufanya mambo mengi yani unaweza kukutana na mtu ana vipaji vingi ukastaajabu na uwezo wake aliojaaliwa?
  15. PAZIA 3

    Hizi ni baadhi ya fursa za ajira upande wa Soka ukiachana na uwezo wa kucheza mpira

    Habari za uzima, Tukiwa kama wadau wa michezo, naomba tuoneshe fursa mbalimbali ambazo zipo zinazoweza kuwasaidia Vijana kupata ajira au kutengeneza pesa kupitia michezo. Moja ya changamoto wanazozipitia Vijana wengi ni uchaguzi wa nini wafanye katika khari ya kujikwamua ki maisha, pamoja na...
  16. mwehu ndama

    Itawachukuwa Simba SC miaka 4 kufikia uwezo wa Yanga SC ya sasa

    Nimewatazama makolo kwa jicho la kiufundi zaidi na nimegundua bado wana safari ndefu isiyopungua miaka 4 ili kufikia walau nusu ya ubora wasasa wa Yanga SC. Kila nikiwasikiliza na kuwatazama wanachama na mashabiki wa Mbumbumbu fc wakitokwa na mapavu, nazidi kuelewa ni kwa nini aden rage...
  17. SteveMollel

    Sio kila mimba isiyo na baba basi ni kwa uwezo wa roho mtakatifu.

    Baada ya kuponea maisha kwa kuzama ndani ya ziwa la barafu, kipindi akiwa msichana mdogo, Cecilia alikata shauri la kumtumikia Mungu kwa kipindi chake chote alichobakiza duniani. Kwahiyo anapofikia umri, anajiunga na 'convent' ya hapa Italia ili apate kuwa sister kwa kiapo na matendo. Hivyo...
  18. Chizi Maarifa

    Ni ngumu sana kukuta wenye akili au uwezo mzuri ni mashabiki wa Simba na Yanga

    Nilipogundua hili nikawa sasa naangalia faida zaidi katika kuzishabikia hizi teams. Hakuna mwenye akili anashabikia hizi teams. Au mwenye uwezo mzuri kiuchumi Ukiona hawa wenyewe uwezo wapo hizi teams ujue wapo kimaslah either kiuchumi au kisiasa. Sasa wewe bwege unaweza kaa hapo unakazana na...
  19. 6 Pack

    Angalia jinsi Kagame anavyoionesha duniani kuwa nchi yake ina watu wenye akili, elimu na uwezo mkubwa wa kufikiri kushinda waisrael

    Niaje waungwana, Leo nimeamua nije na ukweli ambao baadhi ya ndugu zetu wayahudi wa bonyokwa, tangibovu, kiembe mbuzi na buza hawaujui. Hii ni kwa sababu wale wachache wenye kuujua huu ukweli hawataki kuusikia popote, u kuuzungumzia kwa mtu yoyote. Kwanza naomba nianze na Rwanda ya leo...
Back
Top Bottom