PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,082
- 1,871
Habari za uzima,
Tukiwa kama wadau wa michezo, naomba tuoneshe fursa mbalimbali ambazo zipo zinazoweza kuwasaidia Vijana kupata ajira au kutengeneza pesa kupitia michezo. Moja ya changamoto wanazozipitia Vijana wengi ni uchaguzi wa nini wafanye katika khari ya kujikwamua ki maisha, pamoja na baadhi Yao kupitia kwenda shuleni, mfano kusoma mpaka elimu ya kidato Cha nne au zaidi, ukimuuliza aseme anapanga kuwa nani baada ya masomo yake, utasikia akitaja fursa zinazoendana na taaluma tu, mfano, kuwa mwalimu, daktari, nesi, injinia, rubani nk nk. Wachache sana wanaoiona michezo kama fursa nje ya taaluma (academic).
Kwenye michezo, Kuna fursa nyingi zaidi na kwasasa ndipo kulipo na pesa zaidi. Kwa kulitambua hili, hebu tuoneshe baadhi ya fursa zilizopo kwenye michezo ili kusaidia Vijana mbalimbali wanaojaribu kujikwamua ki-maisha, fursa hizi watazikuta Kila watakapo google kutafuta habari za fursa za michezo.
1. Referee; hii ni fursa ambayo unaipata hata bila ya kujua kucheza mpira, Vijana waelekezwe ni wapi wanaweza kupata mafunzo ya u-referee.
2. Coaching; unaweza ukajifunza kuwa kocha wa mazoezi tu, goalkeeping, au team yote kwa ujumla, Kuna academy nyingi zinahitaji makocha professional, na hii haihitaji mpaka ujue kucheza mpira kwa asilimia kubwa.
3. Uchambuzi na utangazaji wa michezo, hii pia haihitaji kujua kucheza mpira tu, unaweza kuwa mchambuzi wa michezo mbalimbali ikiwemo ngumi, mpira, riadha nk.
4. Kutengeneza na kuuza bidhaa za michezo
Hizi ni baadhi tu, tuendelee kuonesha fursa nyingi kupitia michezo
You're welcome.
Tukiwa kama wadau wa michezo, naomba tuoneshe fursa mbalimbali ambazo zipo zinazoweza kuwasaidia Vijana kupata ajira au kutengeneza pesa kupitia michezo. Moja ya changamoto wanazozipitia Vijana wengi ni uchaguzi wa nini wafanye katika khari ya kujikwamua ki maisha, pamoja na baadhi Yao kupitia kwenda shuleni, mfano kusoma mpaka elimu ya kidato Cha nne au zaidi, ukimuuliza aseme anapanga kuwa nani baada ya masomo yake, utasikia akitaja fursa zinazoendana na taaluma tu, mfano, kuwa mwalimu, daktari, nesi, injinia, rubani nk nk. Wachache sana wanaoiona michezo kama fursa nje ya taaluma (academic).
Kwenye michezo, Kuna fursa nyingi zaidi na kwasasa ndipo kulipo na pesa zaidi. Kwa kulitambua hili, hebu tuoneshe baadhi ya fursa zilizopo kwenye michezo ili kusaidia Vijana mbalimbali wanaojaribu kujikwamua ki-maisha, fursa hizi watazikuta Kila watakapo google kutafuta habari za fursa za michezo.
1. Referee; hii ni fursa ambayo unaipata hata bila ya kujua kucheza mpira, Vijana waelekezwe ni wapi wanaweza kupata mafunzo ya u-referee.
2. Coaching; unaweza ukajifunza kuwa kocha wa mazoezi tu, goalkeeping, au team yote kwa ujumla, Kuna academy nyingi zinahitaji makocha professional, na hii haihitaji mpaka ujue kucheza mpira kwa asilimia kubwa.
3. Uchambuzi na utangazaji wa michezo, hii pia haihitaji kujua kucheza mpira tu, unaweza kuwa mchambuzi wa michezo mbalimbali ikiwemo ngumi, mpira, riadha nk.
4. Kutengeneza na kuuza bidhaa za michezo
Hizi ni baadhi tu, tuendelee kuonesha fursa nyingi kupitia michezo
You're welcome.