sgr

The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    Naibu Waziri Uchukuzi, Kihenzile: Mzigo chini ya kilo 20 hutakiwi kulipia nauli kwenye SGR

    Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amesema sheria na kanuni ya Leseni ya Usafiri wa Umma inamruhusu abiria kupakia mzigo ambao upo chini ya kilo 20 bila kulipia kwenye basi la abiria. Akijibu swali la Mbunge wa viti maalumu, Anatropia Theonest aliyetaka kufahamu ni kwa kiwango gani...
  2. T

    Nilicho-experience katika safari za treni za SGR hadi sasa

    Nimesafiri na aina zote za train tokea ile ya enzi za mkoloni aka gari moshi hadi hii SGR ile express na Ordinary. Wastani wa safar zangu kwa sasa ni kama mara 24 nikipanda madaraja ya uchumi (economy) na biashara (Business). Royal class ipo njian pia. Naipongeza serikali kwa huu mradi, hakika...
  3. A

    Kwa nini tusiwe na safari za ziada za SGR kwa siku zenye abiria wengi?

    Wanajukwaa, Sote tunafahamu kwa nchi yetu na maeneo mengi haoa ulimwenguni, ikifikia kipindi cha sikukuu au likizo za wanafunzi abiria wanakuwa wengi kupita kiasi. Lengo la uwepo wa usafiri wa uhakika umma ni kuhakikisha watanzania wanawahi ratiba zao mbalimbali huko waendako bila kulazimika...
  4. Waufukweni

    Mbunge ashauri bei ya VIP SGR ipunguzwe

    Mbunge wa Kyerwa, Innocent Bilakwate ameiomba Serikali ipunguze nauli ya daraja la VIP katika treni ya kisasa (SGR) kutoka TSh 150,000 hadi TSh 70,000 ili kuongeza mapato. Amesema bei ya juu inachangia idadi ndogo ya abiria, akitoa mfano wa behewa linalobeba abiria 40 wakati mwingine husafiri...
  5. Waufukweni

    Waziri Mkuu, Majaliwa: SGR Dar - Dodoma yakusanya TSh. Bilioni 54.9

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema kwa kipindi cha Agosti Mosi 2024 mpaka Februari 2025, Jumla ya shilingi Bilioni 54.9 zimekusanywa kwenye huduma ya usafiri wa reli kati ya Dar Es salaam - Morogoro - Dodoma. Waziri Mkuu Majaliwa amebainisha hayo leo...
  6. K

    Serikali iondoe SGR toka TRC

    SGR inaonesha kufanya vizuri na ikisimamiwa vizuri itafanya vizuri zaidi. TRC ni dude kubwa sana na hawajawahi kuendesha kwa faida. Serikali iiondoe SGR kutoka shirika la reli hili iwe rahisi kufuatilia uendeshaji wake la sivyo pesa inayopatika SGR itaenda kutengeneza miundombinu...
  7. Mkalukungone mwamba

    Mambo 7 kuhusu TRC na mradi wa SGR uliogharimu trilioni 29.5

    Ili kuwa mwandishi mzuri wa habari, ni lazima uwepo eneo la tukio. (To be a good journalist, you have to be there.) Ryszard Kapuściński Ni ngumu sana kulizungumzia jambo kiundani kama aukuwepo eneo la tukio. Mazingira yanaweza kuzungumza na kukupa picha kubwa au ndogo ya jambo umelisikia au...
  8. Sheffer95

    Hivi kipande cha SGR kutoka Dodoma mpaka Singida kina kamilika lini?

    Nimebaki najiuliza ni kama watanzania tumepumbazwa au tumeridhika na kukamilika kwa kipande cha kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma Mimi ningependa kujua hivi kipande cha sgr kutoka dodoma mpaka singida ujenzi wake umefikia asilimia ngapi?,lini kina kamilika? Na kwanini unakuta muda mwingi...
  9. J

    VIDEO: Sasa kama wanayajua haya kwanini ATCL, TTCL na SGR zinaendelea kutia hasara kila ripoti ya CAG?

    Nimesikiliza hii clip kwa zaidi ya mara tano hiki kitu kinachoitwa Ubia naona kama kinaelekea elekea hivi kwa mbali, Mimi nashauri badala ya kila siku CAG kutangaza namba kubwa kubwa za hasara toka kwa baadhi ya Mashirika yetu ya Umma nadhani ni wakati Sasa Mashirika haya yawekwe chini ya...
  10. Hismastersvoice

    TAKUKURU itendeeni haki nchi kwa kuchunguza ubora na gharama za injini na mabehewa ya treni ya SGR

    Tangu treni za DGR zianze kufanya kazi baadhi yetu tuliowahi kuingia ndani ya mabehewa hayo tumekuwa na mashaka ya upya wake, muonekano wa ndani si wa mabehewa mapya ni wa mabehewa ya miaka iliyopita yakizidiwa usasa na mabasi ya safari za mikoani kwa ubora wa viti na sehemu za kuchaji simu!
  11. Pascal Mayalla

    Treni ya SGR Yanitoa UshambaYasafiri Kinyumenyume Badala ya Kimbelembele!。Yote Tisa, Kumi Asikwambie Mtu, Kusafiri na SGR, Raha, Uroda! Big Up TRC

    Wanabodi Mazoea yana taabu,kwanza utaratibu wangu wa safari za kikazi,kama kuna pipa,hiyo ndio my choice No 1,ndipo nije nije nyingine, tugemeana na umbali, hali ya barabara na hali ya mfuko. Kwa safari za Dar Dodoma, huwa ni kwea tuu, na ikibidi, nina vuta mashine!. Tangu ujio wa Treni ya...
  12. R

    Hivi ujenzi wa stesheni ya SGR ya Dar haujakamilika?

    Mwanzoni TRC walisema stesheni itaonekana hivi. Hilo jengo refu la ofisi pembeni silioni.
  13. Cute Wife

    TRC sehemu ya kununua tiketi za SGR online haifanyi kazi, shughulikieni

    Wakuu, Nataka nikaionje SGR lakini naona TRC Railway wanataka kunihujumu. Website yao inafunguka vizuri tu lakini ukifika sehemu ya kukata tiketi za SGR inakwama. Kuna nini? Au wametoa taarifa huko kuwa sight yao kwenye kipengele hiko ipo down? Ujumbe uwafikie waheshimiwa TRC, fanyeni mambo...
  14. The Watchman

    Pre GE2025 Serikali imetoa trilioni moja kutekeleza mradi wa SGR LOT NO 6 ya kutoka Tabora - Kigoma mpaka Msongati nchini Burundi

    Zaidi ya shilingi trilioni moja imetolewa na Serikali kutekeleza mradi wa reli ya kisasa SGR LOT NO 6 ya kutoka Tabora kwenda mkoani Kigoma mpaka Msongati nchini Burundi mradi ambao kwa sasa uko katika hatua za awali ukiwa umefika asilimia 7. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani kigoma...
  15. Mudawote

    SGR wanaibia wateja kwenye uzito wa mabegi

    GTs, Naona kuna wizi unaendelea kwenye mizigo kwenye SGR. Kwenye ticket haioneshi kiwango cha uzito kinachoruhusiwa ila wapimaji ndiyo wanakadiria. Kibaya kabisa inaonekana ukila kilo inayozidi ni TZS 4000. Pamoja na kuwa wanatoa receipts za EFD na control number ila naona wizi upo tu maana...
  16. Waufukweni

    Pre GE2025 CHADEMA wajipanga kuanika madudu ya SGR, wanusa harufu ya wizi na ufisadi

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Bara John Heche amesema chama hicho kina kila hoja za kushindana na chama cha mapinduzi na watazitumia pindi wakianza kufanya ziara na kuzungumza na wananchi. Heche amesema hayo leo akiwa jijini Arusha na kueleza kuwa miongoni mwa hoja...
  17. Sun Zu

    Eneo linauzwa, jirani na stand ya SGR DODOMA

    Eneo lina ukubwa wa 1200 Sq Meter Huduma zote muhimu zipo, ni jirani kabisa na stand ya SGR DODOMA. Eneo ni la kwangu binafsi, sio dalali. 15,000,000 (Milion kumi na tano), maongezi yapo. 0719928661
  18. The Watchman

    Pre GE2025 Ujenzi wa SGR Mwanza - Isaka wafikia 63%

    Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amelishauri Shirika la Reli Tanzania (TRC) kushughulikia changamoto zilizojitokeza katika ujenzi wa kipande cha Dar es Salaam–Dodoma ili zisijirudie katika ujenzi wa kipande cha Mwanza–Isaka. Prof. Mbarawa ametoa ushauri huo alipokuwa Malampaka, mkoani...
  19. The Watchman

    Mbunge Aida Khenan apendekeza SGR kuwekwa matangazo mengine na si royal tour pekee

    Mbunge wa Nkasi Kaskazini Aida Khenan ameishauri serikali pamoja na uwekezaji ilioufanya kutakiwa kufanya maboresho katika utoaji wa huduma ndani ya Treni ya Mwendokasi (SGR) kwa kutumia treni hiyo kupata fedha kupitia kutangaza matangazo ya biashara. Khenani ameshauri Serikali kuboresha...
  20. Waufukweni

    Musukuma: SGR inawahudumu kama Ndege, tutapata hasara waondolewe

    Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Kasheku Musukuma amesema haina haja ya kuweka wahudumu wanaotoa huduma za ndani ya treni ya Mwendokasi (SGR) ili kuepuka shirika kupata hasara kwakuwa ndio kwanza mradi huo umeaanza hivyo haina haja ya kuweka gharama kubwa za uendeshaji. "Hakuna haja ya kuwa na...
Back
Top Bottom