Jichō Kachō (次長課長) is a Japanese comedy unit (kombi) consisting of two comedians (お笑い芸人, owarai geinin), Jun'ichi Kōmoto (河本準一) and Satoshi Inoue (井上聡). Sometimes also known as Jikachō (次課長), they are one of the most popular owarai kombi coming from Yoshimoto Kōgyō in Tokyo. Their name literally means "Vice manager, Section manager", and is a reference to the titles of two visitors at the bar in which they were working part-time before they were discovered by Yoshimoto. They were originally a three-man group with the name Jichō Kachō Shachō (次長課長社長), or "Vice Manager, Section Manager, President", but after the third member of the group left, the name was reduced to its current version.
Kōmoto is the boke of the duo, and the much quieter Inoue is the tsukkomi. Both comedians are natives of Okayama. Inoue has a reputation among owarai geinin for being handsome, and he has scored high on Yoshimoto's "handsomest geinin ranking" for the last five years. Kōmoto is most famous for his strange faces and high-pitched character voices, although he is also a very talented singer, and is well respected by other owarai geinin for his skills. He is often heard squealing the line "From me you get no tanmen!" (お前に食わせるタンメンはねぇ!, Omae ni kuwaseru tanmen wa nee!). In March 2003, Kōmoto married Naomi Shigemoto (former Osaka Performance Doll member), and they now have a son.
Kōmoto appeared in the NTV drama, 14-year-old Mother, playing the uncle of the 14-year-old pregnant girl. He is currently active in the idol group Yoshimotozaka46.
Mimi ni mtoa huduma kwa wakimbizi kutoka katika shirika la madakatari wasio na mipaka la MSF.
Mara nyingi nimeshuhudia wakimbizi wasio na vibali vya kutoka nje ya kambi wakisafiri kutoka kambi la Nduta kwenda Kasulu na baadaye Kigoma manispaa. Njiani Kuna vituo vya ukaguzi lakini wakati...
1. Huyu mwamba achunguzwe vizuri usikute anasajilli watu kwenye vikundi vya uhalifu mitandaoni (Scammers) au mapenzi ya jinsia moja.
2. Mtu haelewek anafanya shughuli gani za kiuchumi ila lifestyle ya juu kwa kuegemea Magari huku akibwata tafuta hela tafuta hela.
3. Hilo jicho la tatu ni...
Kuna vitu vinachekesha.
Kwamba kwenye hilo group mtafundishwa jinsi ya kujiponya magonjwa na kuwa matajiri😁😁.
Na huwezi amini kuna watu wanajaa.
Stori za kitoto kibao, Ama kweli kukosa elimu ni MZIGO.
Wakuu kwema?
Kuna changamoto hapa jicho limetoa kijipu kina takriban miezi mitatu hakiponi wala hakipotei kama kilivyoadiriwa.
Ni dawa gan inatibu hili?
Cc. DR HAYA LAND
TPLB ilihairisha mchezo wa Simba na Yanga Kwa kusema wataupangia tarehe nyingine, cha ajabu kuchelewa kwao kutangaza tarehe yameibuka ya kuibuka!
Nafananisha haya na yanayoendelea CHADEMA na kundi linalojiita G55. Nionavyo Mimi hawa ni VIVURUGE tu!
Nasema ni VIVURUGE Kwa sababu Kwanza ata Hilo...
Nchi kama China walifanikiwa kuliona hili na kulidhibiti mapema kwa jinsi wawezavyo, katika ulimwengu wa sasa tunashuudia mengi sana, zelensky alipogomea kugawa maliasili zake, basi, marekani kwa haraka sana alianzisha vikao na mpinzani wa zelensky wa kisiasa, nchini humo,
Mabeberu wanafahamu...
Serikali ijikite kuangalia na kuchukua hatua kwa kituo cha mkata kwenye suala la Afya .Juzi wakati nasafiri kutokea Tanga tulisimama hapo kupata Chakula nilichukua takeaway wakati nipo kwenye gari nimeanza kula nikahisi nimekula Chakula kilicholala na kimechacha ilibidi nikitupe kwenye...
Jicho la tatu ni chakra ya sita kati ya chakra saba katika mwili wa binadamu
Ukiweza kufika kituo hiki cha Nishati basi utakuwa na uwezo mkubwa wa kiroho na kupata maono na utambuzi wa mambo mbalimbali
Kujifunza zaidi namna ya kufungua vituo hivi vya Nishati basi kalibu sana.
Kuna vijana ambao tayari wamepigwa za uso na kukosa imani na kijana wa mizimu Bw. Chief, lakini pia kuna ambao hawajui ukweli kuhusu kujiunga nao.
Hii yote ni vijana kutaka mafanikio makubwa ya haraka. Ila ukosefu wa akili ya kujiuliza maswali ndo unachangia 🤦🏾
Mfano:
1. Mtu anakuambia njoo...
Kwanini ni Wasira tena? Nadhani mnajuwa maana yakuchaguliwa mtu alie kula chumvi mingi kati kati ya familia yenye kila aina ya vipawa.....
CCM patachimbika ila kuna mzee wakuwapooza na kuwaelekeza wakati akitafuta msaidizi....
Kuna siri kubwa sana sana 😞 yakuwa wapo walio itwa ila hawakuitika na...
Utasikia watu husema kuna watu wana jicho la tatu au macho ya rohoni; hawa huwa ni watu ambao wanaweza kumuangalia mtu na kupata hisia fulani, ikiwemo kama huyo mtu anaweza kuwa na nia mbaya au ni mtu mbaya.
Hii kitu kweli ipo? Kuna watu wa dizaini hiyo?
Miezi mitatu na ushee pale Raisi Samia alipokuwa akitoa hotuba ,kati ya maneno aliyosema ni kuhusu wanasiasa haswa lissu kuropoka sana kuhusu CCM na Serikali .
Alisema huko ndani Chadema kunawaka moto wengi walichukulia labda ni kauli za vijembe vya kawaida katika siasa kumbe Raisi Samia ana...
Huyu jamaa huwa nilianza kumtilia mashaka na uwezo wake juu ya uandishi wa vitabu vyake, hasa pale baada ya kushindwa kuchochechea mijadala ya uchaguzi ndani ya CHADEMA, yeye
Kama ni miongoni mwa mwandishi wa vitabu Afrika na kuchukua tunzo mara mbili.
Alishindwa kutumia kalamu vizuri...
Haya mambo yalianza muda mrefu sana. Hapa chini ni sehemu ya taarifa kutoka waraka uliowahi kuandikwa na Makamu Mwenyekiti aliyewahi kuhudumu ndani ya CHADEMA baada ya kuonja sumu. Taarifa hii inasema kuwa,
"Kati ya Januari 1 na Juni, 30, 2008, Tshs. 350,000,000/= zilitumika Makao Makuu ya...
Kabla ya kuasi kusudi lake mwaka 2015 Chama cha Deomkrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilianza kupoteza mvuto kwa watanzania na wapenda mabadiliko waliokuwa wana imani kubwa sana chama hiki ikiwa ni pamoja kuvutiwa na kusudi lake kiasi cha kuaminiwa kuwa mbadala wa CCM.
Kama ni mgonjwa naweza...
Vijana nawaomba mje hapa msome na mfungue macho yenu ya Tatu tupunguze haya madhila.
Ktk dunia ilio staarabika kuna mambo tunayaona na kuna mambo hatuyaoni. Ila nivyema tuambiane ukweli tupone sote.
Epuka kulisaliti taifa lako na kulihujumu ni hatari kwako binafsi na uzao wako. Kuwa Raia...
imeandikwa kurudi kwa yesu hakutakuwa kwa siri yeye atarudi kila jicho litamwona na mtu akikwambia yupo mahali flani msisadiki wala msimsikilize yesu atarudi na ufalme wote wa mbinguni atakuja kama bwana wamabwana, mfalme wa wafalme, mungu wa miungu na jeshi kubwa sana na nguvu nyingi sana na...
Tundu Lissu, wewe kwa sasa ndio tishio kubwa sana kwa watu wa chama fulani na mgombea wao mtatajiwa wa uchaguzi mkuu wa mwakani.
Hivyo, nakushauri uwe makini sana katika mienendo yake yote kwani wanaweza kukufanyia jambo lolote baya na wakasingia chama chako ndio kimehusika kwa hoja ya vuguvugu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.