interview

An interview is essentially a structured conversation where one participant asks questions, and the other provides answers. In common parlance, the word "interview" refers to a one-on-one conversation between an interviewer and an interviewee. The interviewer asks questions to which the interviewee responds, usually providing information. That information may be used or provided to other audiences immediately or later. This feature is common to many types of interviews – a job interview or interview with a witness to an event may have no other audience present at the time, but the answers will be later provided to others in the employment or investigative process. An interview may also transfer information in both directions.
Interviews usually take place face-to-face and in person but the parties may instead be separated geographically, as in videoconferencing or telephone interviews. Interviews almost always involve spoken conversation between two or more parties. In some instances a "conversation" can happen between two persons who type their questions and answers.
Interviews can be unstructured, free-wheeling and open-ended conversations without predetermined plan or prearranged questions. One form of unstructured interview is a focused interview in which the interviewer consciously and consistently guides the conversation so that the interviewee's responses do not stray from the main research topic or idea. Interviews can also be highly structured conversations in which specific questions occur in a specified order. They can follow diverse formats; for example, in a ladder interview, a respondent's answers typically guide subsequent interviews, with the object being to explore a respondent's subconscious motives. Typically the interviewer has some way of recording the information that is gleaned from the interviewee, often by keeping notes with a pencil and paper, or with a video or audio recorder. Interviews usually have a limited duration, with a beginning and an ending.
The traditional two-person interview format, sometimes called a one-on-one interview, permits direct questions and follow-ups, which enables an interviewer to better gauge the accuracy and relevance of responses. It is a flexible arrangement in the sense that subsequent questions can be tailored to clarify earlier answers. Further, it eliminates possible distortion due to other parties being present.
Face to face interviewing helps both parties to interact and form a connection, and understand the other. Further, face to face interview sessions can be more enjoyable.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    INTERVIEW KADA YA UALIMU BADO SIYO HAKI

    Binafsi sibishani na kuwafanyisha wahitimu usaili, ila nawewe fikiria kwenye angle hii kemia oral 2800 wanahitajika 541 Bailojia oral 2200 wanahitajika 511 Kwa CB aliyepita yote ni 1052 kati ya 5000, hesabu rahisi ni 1 ya watano yani hata ukienda oral uhakika wa kuajiriwa inabaki kuwa kudra za...
  2. G

    INTERVIEW KADA YA UALIMU BADO SIYO HAKI

    Binafsi sibishani na kuwafanyisha wahitimu usaili, ila nawewe fikilia kwenye angle hii kemia oral 2800 wanahitajika 541 Bailojia oral 2200 wanahitajika 511 Kwa CB aliyepita yote ni 1052 kati ya 5000, hesabu rahisi ni 1 ya watano yani hata ukienda oral uhakika wa kuajiriwa inabaki kuwa kudra za...
  3. I

    Matokeo ya usaili Tanzania Aviation Authority

    Hamjambo humu? Imekua mara yangu ya kwanza kufanya written interview za serikali. Nimefanya nafasi ya accounts officer ii, nimepata 78 ila sijawa selected. Nimelichukulia hili jambo very positive na next time nitapambana zaidi.
  4. VINICIOUS JR

    Walimu mwenye PDF ya mtokeo ya written interview ya Kiingereza

    kwema wakuu, kama mada inavojielza mwenye pdf naomba aweke hapa ili tujue tmepata ngap ingawa kwenye account nishakuta NOT SELECTED
  5. The Palm Beach

    One on one Interview: Mch. Godfrey Malisa (anayesemekana kufukuzwa CCM) akifungukuka. Asema wamevunja katiba, hawafai kuwa viongozi tena..!!

    https://youtu.be/-NdDsArLVlU?si=eH35yrxDVCmdL3QM ➡️Huyu mzee anayesemekana kuwa amefukuzwa uanachama CCM, ni wazi kuwa yuko so determined kuhakikisha kuwa mchakato wa kumpitisha Bi Samia Suluhu Hassan na Dr Emmanuel Nchimbi kuwa wagombea urais huko CCM unarudiwa kwa kufuata taratibu na katiba...
  6. L

    Msaada kuhusu interview ya airport operation officer maswali ambayo yanaweza kuulizwa

    Msaada kuusu interview ya airport operation officer kuusu maswali yanayoweza kuulizwa
  7. Ally Abdulrahman

    Msaada maswali ya interview ya nafasi ya Assistant Airport security TAA

    Wakuu. Naomben hint za maswali ya interview ya assistant airport security kw wenye uzoefu nazo. Nimekuw shortlisted Nd maan naomb maswali
  8. A

    Wakuu naomba kujua aina ya maswali ya interview kazi za kuandikisha wapiga kura

    Wakubwa, naomba kufahamu. Nimteuliwa kwenye usaili wa kazi ya kuandikisha wakati wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Naomba mbinu na ufahamu kuhusu aina ya maswali wanayouliza. Nitashukuru.
  9. K

    Rafiki yangu babake ni shekhe wa mkoa ameajiriwa taasisi kubwa serikalini bila interview

    Wakuu, Rafiki yangu, ambaye baba yake ni Shekhe wa mkoa, ameajiriwa katika taasisi kubwa ya serikali bila kufanyiwa usaili.
  10. L

    Interview airport operation officer

    Msaada wa past paper au namna ya maswali yanayoweza kutoka kwenye interview ya airport operation officer
  11. Kanye2016

    TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

    Habarini Wakuu!!!!!! Kama mlivyoona kwenye mitandao ya kijamii. Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania wametoa fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania. Fursa ni nyingi kweli na wamegusa fani nyingi tu. Jumla ya nafasi walizotangaza ni 1596. Kwa hiyo Wakuu kama kuna mtu ana link ya Group ambao wana...
  12. realMamy

    Ni kitu gani kilikusababishia ufeli interview ya kazi?

    Tunajifunza kutokana na makosa. Tunaomba uzoefu wako katika hili. Asante.
  13. kante mp2025

    Hivi utumishi wanatumia utaratibu gani kwenye oral interview

    Habarini wakuu wa kazi naombeni kujuzwa utumishi (sekretarieti ya ajira wanatumia utaratibu gani kumpata mshindi wa baada ya oral interview? Kuna post moja ya kazi ilitangazwa waombaji waliofanya kwa usahili wa kuandika walikuwa kama 128 hivi baada ya mchujo wa kuandika wakabaki wasahili wa...
  14. Career Mastery Hub

    TELL ME ABOUT YOURSELF IN TEACHING INTERVIEW

    TELL ME ABOUT YOURSELF - Introduction Formula Haya, kama kawaida yangu, sitaki ujiingize kwenye njia ya kujikokota na kujitambusha. Badala yake, nitakupa njia itakayokusaidia kutoa majibu sahihi kwa swali hili na kuwa na uhakika na kile unachosema. Kama unataka kujitambulisha katika usaili...
  15. nipo online

    Kazini kwangu mwalimu wa sayansi alietegemewa kapigwa chini sababu alienda interview bila ruhusa

    Wakuu ikumbukwe juzi nimeleta uzi hapa juu ya ndugu kuniona sina akili kupuuzia ajira za serikalini,kwa kua hazina uhakika,. Na pia pale job ukiomba tayarii umeandaa uadui na boss. Juzi kuna mwalimu alienda kimya kimya na jamaa alikua anategemewa kazini. kiukweli alichofanyiwa nimewaza sana...
  16. nipo online

    Familia imenijia juu kisa sijaomba ajira za ualimu serikalini ambazo kuna interview kuanzia Leo

    nimeitwa mzembe, nisiejitambua, wanadai nimesomeshwa kwa shida lakini naleta ujuaji kisa nimekua. Ni hivi wakuu, kwa sasa nipo sekta binafsi, hapa mjini, mwaka jana nilipewa connection na mkuu wangu ya kusimamia mtihani wa form 4 ndipo nikapata mtaji wa kufungua goli la salon. Kwa nini...
  17. Mmea Jr

    Wazo : utumishi walimu tulikuwa tunaomba mtuwekee Mic kwenye oral interview kama itawezekana

    Hayawi hayawi sasa yamekuwa ,,, "" hamna zipo ,,hamna zipo " hatimaye majibu yamepatika Bila shaka utumishi wameprove kile wanachokisimamia,,, kuwa hamna mtu atakaye pata kazi kwa kupitia utumishi bila kufanya interview Sasa basi kesho zoezi la kuendesha sahili za walimu nchi zima...
  18. Zingzingzing

    Kesho naingia kwenye oral interview lakini hili limenitokea

    Wakuu habari, kesho naingia kwenye usaili wa oral mwalimu wa HISABATI ngazi ya degree. ila transcript ya matokeo sijafanikiwa kuipata orijino,nimepata kopi tu ila vyeti vingine vyote ni og, daa nmechanganyikiwa. Mrejesho: Wakuu asante sana kwa ushauri, nilienda kwenye eneo la usaili, mara ya...
  19. Career Mastery Hub

    Your Complete Guide to Excelling in the Utimishi Teaching Interview Exam(Oral Interview and Aptitude Test)

    Habari Wana JF! Je, wewe ni mmoja wa walimu unaejiandaa kwa usaili wa mchujo (Written Aptitude Test) au Oral Interview sekretarate Ya AJIRA na umekuwa ukijiuliza uanzie wapi au material gani ya kusoma na kufanyia mazoezi? Hapa ndiyo ulipo! Hapa tunakuletea vifaa bora na maswali ya mazoezi...
  20. uhurumoja

    Nilikuwa na ham ya kusikiliza interview ya Aisha Masaka

    Iko crown namna anaongea nimeishia kati Ila ndio mchezaji wa kike nae mkubali sana na namtakia Kila la kheri kwenye mpira
Back
Top Bottom