frame

A vehicle frame, also historically known as its chassis, is the main supporting structure of a motor vehicle to which all other components are attached, comparable to the skeleton of an organism.
Until the 1930s, virtually every car had a structural frame separate from its body. This construction design is known as body-on-frame. By the 1960s, unibody construction in passenger cars had become common, and the trend to unibody for passenger cars continued over the ensuing decades.Nearly all trucks, buses, and most pickups continue to use a separate frame as their chassis.

View More On Wikipedia.org
  1. Entim

    Naomba msaada: Nahitaji frame Kariakoo, mtaa wa kuuza pochi za kike

    Wakuu, nawasalimu kwa jina la JMT. Nimeingia Dar, takribani miezi 3 iliopita nikitokea Mtwara baada ya kufunga biashara yangu Mtwara MC Uchumi umeshuka kwa kasi na ninaelekea kupoteza mtaji, hadi natamani kujinyonga. Nimejaribu biashara mtandaoni nimeishia kuchata na watu, eg mtu anauliza bei...
  2. A

    Morogoro: Nina frame ya biashara eneo zuri lakini sina mali. Mwenye mali njoo tufanye kazi

    Habari Wadau, Nina frame mjini Morogoro, eneo la Sabasaba, eneo zuri kabisa kwa biashara ya nguo (nafuu), viatu, jezi, nk, jumla na rejareja. Pia ni eneo lenye mnada siku ya Jumapili. Tatizo sina mtaji wa kutosha kama wanaonizunguka… nakuita wewe mwenye mali, njoo tushirikiane, lete mali...
  3. innocentmark

    Hivi ni kwanini Misikiti mingi inakodisha Frame za biashara na kulaza Magari katika maeneo yao ya msikiti?

    Hivi niseme kutafuta vyanzo vya mapato katika msikiti na kwanini ni wao tu mbona Makanisa katoliki hakunaga utaratibu huu? Na wale wazee wanakuwepo pale Kkoo na bango la msaada wa ujenzi Msikiti huwa ni kweli au imani anakaa juan kuanzia asubuhi hadi jion au ni imani imemtuma?
  4. BLACK MOVEMENT

    KERO CCM na Serikali yake wameharibu sana Miji ya Tanzania, na imebakia kuwa magulio, miji imejaa Frame hadi kwenye makazi ya watu. Miji ni michafu sana

    Miji ya Tanzania kitambo back ilikuwa mizuri sana, kabla hawa wajinga CCM hawajaingia hadi kwenye mipango miji. Angalia mji wa mishi ulivyo kuwa msafi kipindi fulani. Now moshi ni chafu imejaaa wachuuzi kila kona, sehemu za wazi zimegeuzwa kuwa magulio ya wamachinga au stendi za Bajaji. Dar...
  5. BLACK MOVEMENT

    Uhuru Park Nairobi, Kenya nchi yenye uhaba mkubwa wa Ardhi, Vipi sisi Tanzania wenye ardhi tele na miji imejaaa Frame tupu?

    Miji ya Bongo ni aibu tupu na kero, Dar jiji kubwa halina hata Garden ya kusingizia, Jiji limajaa Frame tupu, Aridhi tunayo nini kinashindikana?Kila sehemu ya wazi basi hio ni soko la wamachinga. Nenda Arusha ni full majengo yalio jaa frame, eti Geniva ya Africa, Ardhi zilizo kuwa za wazi kwa...
  6. Pdidy

    Nimechoka kukaa kimya Kariakoo unakuta frame kubwa imejaa Kufuli tupu

    Nimewaza sana hili jambo Kariakoo sijui wanaingizaje faida ama kuna mengineyo Unakuta frame kubwa kalii hatareee Ndani imejaa nguoxa ndani ii tupuuuu Nje kuna BMW...CX5 KAMA ZOTEE V8 JE HAWA WOTE Wanaenda kununua nguoo za ndani ama kuna mengineyoo Kama wanapata faida kila la kheri
  7. Y

    MODERATOR USIFUTE HII TAFADHALI: NAPANGISHA FRAME YANGU YA KARIAKOO

    Wakuu napangisha frame yangu kariakoo iko mtaa wa Masasi jirani na hii barabara kuu ya Msimbazi na jirani na kituo cha mwendokasi cha Msimbazi.Inafaa kwa Simu, Vifaa vya Simu au Ufundi wa Simu. Kama utahitaji tuonane inbox.
  8. Beberu

    Gharama ya kujenga frame moja

    Hello wakuu, kuna mahali nataka kuweka biashara, sasa hakuna frame (chumba) so nataka nijenge mm kwa makubaliano na mwenye eneo, ENeo la frame ni sqm 35 (7*5), hivyo naomba wazoefu wa ujenzi mnisaidie kukadiria gharama za ujenzi wa eneo hilo, nje sitapakarabati sana, nitakarabat kwa mbele tu...
  9. Druggist

    House4Rent Frame zinakodishwa Katoro-Geita

    Nakodisha Frame 3 za biashara Katoro-Geita.Zipo Barabara ya CCM (Mkabala na Kituo Cha Afya Katoro),zinatazamq Rami.Ukubwa:Mbili zina Ujazo wa Meta za Mraba 26.5 na Moja ina Ujazo wa meta za Mraba 32.5. bei ni 2m Kwa Mwaka (kubwa) na 1.5m Kwa Mwaka Kwa zile ndogo.Eneo lipo Meta 150 toka frame za...
  10. Druggist

    House4Rent Frame zinakodishwa Katoro-Geita

    Nakodisha Frame 3 za biashara Katoro-Geita.Zipo Barabara ya CCM (Mkabala na Kituo Cha Afya Katoro),zinatazamq Rami.Ukubwa:Mbili zina Ujazo wa Meta za Mraba 26.5 na Moja ina Ujazo wa meta za Mraba 32.5. bei ni 2m Kwa Mwaka (kubwa) na 1.5m Kwa Mwaka Kwa zile ndogo.Eneo lipo Meta 150 toka frame za...
  11. PRO 90

    " A Frame house" Nyumba zenye umbo A

    Hello wajuzi. Ktk tafiti zangu, nimekuwa ninawaza kujenga Get away houses, Airbnb, na ki sehemu kwa ajili ya watu wanaotaka kuishi ktk mazingira ya nature, around sehemu fulani hivi Pwani. Mwanzo nilikuwa nataka kujenga kama zile za Safari bandaz, Morden Mud houses, ila katk mizunguko yangu...
  12. O

    Nahitaji frame ndogo mjini mwanza

    Kama Una frame ndogo mjini sehemu iliyochangamka nicheki pm
  13. Kv-london

    Ushauri wenu: Nataka kujenga frame ya biashara kwa mkataba

    Habar wakuu huku ndani, Hapa kijijini kwetu Moshi kuna eneo zuri potential kwa ajili ya biashara hasa ya duka la reja reja, hardware au site ya tofali za block wamiliki wa hili eneo ni chama cha ushirika wa kahawa KNCU. Changamoto iliyopo ni kuwa hamna frame yeyote ya kufanya hiyo biashara ni...
  14. T

    Kwanini maeneo ya jeshi kama Lugalo na External kumejengwa bar na frame nyingi sana?

    Wakuu ikipita barabara ya external kwenda maji chumvi unapita eneo la jeshi, limejaa bar na frame. Hali iko hivyo ukipita Lugalo, kumefunguliwa frames nyingi sana kwenye eneo la jeshi. Swali, je, jeshi letu limeona uwekezaji pekee wanaweza kufanya kwenye maeneo yao ni kufungua bar na frame tu...
  15. Mowwo

    Natafuta Dalali wa Frame Arusha Mjini

    Habari wakuu, Natafuta dalali yeyote wa kunitaftia frame Arusha, maeneo ya mjini kama Standkuu, kkoo, chini ya mti, jogoo, stand ndogo, Mnazi Mmoja...nk. Kwa yeyote mwenye connection tuchekiane DM au share namba hapa. Natanguliza shukrani
  16. Lexus SUV

    Fremu ya biashara, ina pangishwa-KCMC Mapipa road, Moshi-Kilimanjaro

    Habari , ✨✨✨✨✨ Nawaleteeeni fremu ya kupangisha mahususi kwa biashara yoyote ile mfano saluni ya kike , mgahawa wa chakula , duka , mini-market au any designed business Fremu ni kubwa kindani na ipo karibu na chuo cha KCMC yaani geti dogo unaliona ilo hapo , mida kama hii vyuo...
  17. Prakatatumba abaabaabaa

    Kwanini frame za Sinza Kodi ipo juu Lakini sioni muingiliano wa watu madukani?

    Kuna dogo mmoja yupo Hapo sinza kwa remmy dukani kwake Kuna t-shirt kama 12 Lakini analipa Kodi laki 3 kwa mwezi, kiukweli mjini ingia na yanayokuhusu yasiyokuhusu achana nayo. Hapa frame ni laki saba kwa mwezi kwa mwaka ni million 8 na laki 4. Maeneo kama kariakoo unaweza shawishika kulipa...
  18. K

    Milango ya mbao na frame Mwanza

    Natafuta mafundi wazuri wa kutengeza milango ya mbao na frame zake MWANZA wanajamvi kwa yoyote anayejua wanakopatikana anielekeze. Asanteni.
  19. BLACK MOVEMENT

    Uchumi wa Frame Tanzania

    Uchumi wa Frame unashika kasi sana Tanzania, ni Frame juu ya Frame, ni frame ukikata kona ni frame ukinyosha ni frame. Hii nchi na hisi uwezo wa wetu wa kufikiria nahisi usha fikia tamati yake, nchi kwa sasa iko kwenye uchumia wa frame, si Jeshi la Police, Si Jeshi la Wananchi, Si makanisa...
  20. Going Concern

    Kipi ni sahihi? Kuanza na plasta ndio uweke frame za milango au uanze kuweka frame then plasta?

    Kipi kinafaa kuanza kati ya plasta au kuweka frame za Milango kwanza? Lengo ni kupata frame ambayo itajaa kwenye kuta vizuri. Naogopa nikianza kuweka frame ataweka ukubwa Sawa na kuta za Milango hivyo wakipiga plasta haitokua imejaa! Wakipiga plasta then Uje uweke Milango haitokua imeshika...
Back
Top Bottom