bahari

Maziar Bahari (Persian: مازیار بهاری‎; born May 25, 1967) is an Iranian Canadian journalist, film maker and human rights activist. He was a reporter for Newsweek from 1998 to 2011. Bahari was incarcerated by the Iranian government from June 21, 2009 to October 17, 2009, and has written a family memoir, Then They Came for Me, a New York Times best seller. His memoir is the basis for Jon Stewart's 2014 film Rosewater. Bahari later founded the IranWire citizen journalism news site, the freedom of expression campaign Journalism Is Not A Crime and the street art and social justice project Paint the Change.

View More On Wikipedia.org
  1. Eli Cohen

    Bahari inaendelea kudhihirisha majaabu yake

    https://youtube.com/shorts/ig8C_5bwqWA?si=cPpkIvrp554X9azE https://youtube.com/shorts/9epXv0gdy9E?si=ot7P6BmlQODc3j9m https://youtube.com/shorts/vZ1t9uzGqgI?si=vW6KolEqlZaTNYhF https://youtube.com/shorts/2m-zXqNGUXI?si=UTsKOULGaq789aZb https://youtube.com/shorts/cat0KsHGKEQ?si=6zhs0tqnnT6la_1u
  2. U

    Maajabu picha bahari ya Galilaya kutokea angani inavyopendeza na kufanana na ramani ya bara la Afrika, Yesu Kristo alitembea juu ya maji yake

    Wadau hamjamboni nyote? Bahari nzuri ya kupendeza ya galilaya imefanana na bara la Afrika Maji yake Yana baraka kubwa sana Mungu ibariki Israel
  3. Ojuolegbha

    MV. Chad Hema: Jahazi Lililokwama kwenye Fukwe za Bahari

    Katika taswira ya kisanii iliyoibua hisia kali mitandaoni, chama cha CHADEMA kimeonyeshwa kama meli kubwa iliyokwama jangwani, ikiwa imebeba mizigo mizito inayotajwa kuwa ajenda za ushoga na ufadhili kutoka kwa mataifa ya Magharibi. Meli hiyo, iliyopewa jina "MV. Chad Hema," inaonekana kugubikwa...
  4. Hypersonic WMD

    Mbudya Island!! Kisiwa kisichojulikana’ Bahari ya Hindi

    Hiki kisiwa kipo underrated sana! Wengi wetu hatukijui kabisa! Tupate kidogo picha za kisiwa hiki. ili safari ijayo ukitaka kusafiri kupumzisha akili usikisahau
  5. Mshana Jr

    Marine time: Mada maalum ya viumbe maji, uoto, mazao kwenye mito, maziwa na bahari

    🌱🌱 Chumvi ya Baharini {Ile ya Mawe) husaidia kuponya Wenye changamoto ya ngozi (eczema) na ukoma Chunusi Psoriasis Inasaidia follicles za nywele kukua Hurudisha Utumbo Uliojikunja Inaua Bakteria Inaua Fangasi aina ya Mould Inaondoa fangasi aitwaye candida yeast Husaidia ktk usagaji chakula...
  6. Yoda

    Trump aanza kwa kutaka kunyakua Greenland na mfereji bahari wa Panama

    Rais mpya wa Marekani Donald Trump ameanza kipindi chake cha pili kwa mpango wa kutaka kunyakua Greenland ambalo ni eneo la nchi ya Denmark na mfereji wa Panama ambao ni eneo la nchi ya Panama. Aliwahi kugusia jambo la US kuinunua Greenland katika kipindi chake cha kwanza cha uongozi watu...
  7. Roving Journalist

    ACT: Tunaitaka Serikali ya JMT, kuacha utowaji wa Leseni kwa eneo la Fungu Mbaraka na Bahari Kuu upande wa Zanzibar

    TAARIFA KWA UMMA TUNAITAKA SERIKALI YA JMT, KUWACHA MARA MOJA UTOWAJI WA LESENI KWA ENEO LA FUNGU MBARAKA NA BAHARI KUU UPANDE WA ZANZIBAR Tokea mwaka (2009) ambapo Baraza la Wawakilishi na Serekali ya awamu ya sita ya Dr. Abedi Amani Karume na aliekua Waziri wa sekta hiyo ndugu Mansour Yussuf...
  8. M

    Vijana wa Dar acheni kulia lia njaa wakati kuna bahari

    Inakuwaje wanajamvi. Vijana wa Dar acheni kulia lia njaa wakati wote wakati kuna bahari karibu yenu. Nendeni mkajishughulishe na shughuli za uvuvi kuliko kushinda vibarazani mkipiga umbea na porojo. Kilimo tu mnakwepa halafu mnaendekeza anasa na kupenda kula kula na kufakamia msosi wakati mkoa...
  9. S

    Mkakati wa Blue Ocean (Bahari ya Bluu): Shindana Upya, Fungua Soko Mpya

    Blue Ocean Strategy ni nini? Blue Ocean Strategy (Mkakati wa Bahari ya Bluu), ulioanzishwa na W. Chan Kim na Renée Mauborgne, ni mbinu ya ubunifu wa biashara na ukuaji. Badala ya kushindana kwenye masoko yaliyojaa (red oceans), mkakati huu unalenga kuunda masoko mapya yasiyo na ushindani (blue...
  10. Dalton elijah

    Ndege ya kivita ya Marekani yadunguliwa kwenye Bahari Nyekundu

    Ndege ya kivita ya Marekani imedunguliwa katika Bahari Nyekundu kwenye tukio linaloonekana kuwa "ufyatuaji wa silaha uliotokea upande wao", jeshi la Marekani limesema. Wafanyakazi wote wa Jeshi la Wanamaji la Marekani F/A-18 Hornet walitolewa nje wakiwa salama, huku mmoja akiuguza majeraha...
  11. Donnie Charlie

    TMA yatoa tahadhari uwepo wa kimbunga CHIDO Bahari ya Hindi

    Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya uwepo wa kimbunga ‘CHIDO’ katika Bahari ya Hindi, Kaskazini mwa kisiwa cha Madagascar. Taarifa iliyotolewa na TMA imesema mifumo ya hali ya hewa inaonesha kuwa kimbunga hicho kinatarajiwa kuelekea maeneo ya Kaskazini mwa Msumbiji katika...
  12. Father of All

    Kabla ya kuitwa Bahari ya Hindi, hii kitu iliitwaje?

    Huwa nashangaa na kusikitika bahari yetu kuitwa ya hindi. Je kabla ya hapo ilikuwa inaitwaje wanangu? Je hatuwezi kuiita bahari ya Afrika au Tanzania?
  13. R

    Plots, Apartments for Sale

    Apartments for Sale Nzuri sana ya kisasa, iko Mikocheni Karibu na palm village, barabarani kabisa. Fully furnished, 3 master bedroom, kuna gym na swimming pool. Inauzwa $220,000 ( Dola laki mbili na ishirini) Ina mteja analipa kodi $1500 per month, Kama mtu anataka kuhamia mteja atapewa notice...
  14. Kasri Homes Tz

    House4Rent Bahari Beach: Standalone 4 Bdrm Ensuite House For Rent - Dar

    • Direction: Bahari Beach • Facilities: 4 bedrooms, 5 washrooms, swimming pool • Rent: TZS 1.5 million/month • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ inapangishwa bila samani (unfurnished) ✓ vyumba vinne self, sebule, jiko, dinning, public washroom, stoo ✓ madirisha vioo, viyoyozi, malumalu sakafuni...
  15. M

    Uchafu wa bahari eneo la ferry Kivukoni Dar es salaam

    Hamna hata salamu, Hili eneo ni chafu. Lipo karibu na ikulu na maofisi makubwa. Idara inayohusika na usafi wa mazingira ya bahari na nchi kavu huwa wakienda ofisini kazi yao ni ipi? Na sisi wananchi, hivi ni mpaka kampeninya usafi ifanywe ndio tujue umuhimu wa usafi? Hebu tubadilike. Watu...
  16. The Watchman

    KWELI Kupwa na kujaa kwa maji ya maziwa na mabwawa ni kidogo sana ukilinganisha na baharini

    kwanini maji ya mabwawa na maziwa kupwa na kujaa kwake hakuonekani kama ilivyo baharini?
  17. S

    Miradi inayofunguliwa Zanzibar na kukamilika ni Mingi kuliko Tanganyika kuanzia 2020s

    Kama upo makini na ufatiliaji wa maendeleo ya Tanzania basi utagundua kwa hiki kipindi ni kama kuna uzinduliwaji na ujengwaji wa miradi Mingi kwa kasi upande wa Unguja na Pemba nitainisha kwa kutaja sekta nne katika Mengi yaliyofanywa Na Raisi wetu Mpendwa Dkt. Hussein Mwinyi. Kuna miradi Mingi...
  18. Kasri Homes Tz

    Plot4Sale Kariakoo: 850 sqm Plot For Sale - Dar

    • Direction: Muhoro • Plot Area: 850 sqm • Document: Title deed • Price: TZS 800 million • Viewing charge: TZS 30,000 . ✓ hapa ni mahali pa soko la kibiashara la kimataifa ✓ plot inafaa kwa makazi na biashara . Call/Watsap: +255 767 15 77 88 . In Real Estate We Connect
  19. Kaka yake shetani

    Tanzania japo kuwa na mito, maziwa na sehemu kubwa ya bahari lakini samaki wajawai kuwa kitoweo kikubwa

    Kuna mda inabidi ujiulize sana ili swali sababu ni nchi yangu imepewa kila kitu lakini na hakuna kitu kama tunavoona geita na dhahabu. Kuna nchi wale wasanii waliokwenda kule kutuletea ajenda yao wakitaka bima ya afya zao na mwenyekiti wao utazani samaki mkavu chuchungi. wajajifunza korea...
Back
Top Bottom