darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,769
- 17,039
ahahah,Wakenya bado mabogas kweli,lazima kwenye ubishani wazungumzie Kiingereza. kiingereza mnachoongea hata hao waingereza wamekisahau. Mnatumia dictionary kuna amaneno hata hao wazungu hayapo vichwani mwao.Mwalimu Nyerere alikosea sana kusisitiza Watanzania kutumia Kiswahili na kuchukia Kingereza maana mnapata tabu sana kwa taarifa ambazo zimeandikwa kwa Kingereza. Yaani hata usome mara ngapi bado haujaelewa kinachosemwa hapa. Na hii ndio mojawapo inayowaponza kiuchumi.
Maneno ya enzi za kale kabisa magumu mno alafu kinakuwa mixed sijui na vilugha vyenu vya kukuyu,luo nk.