sioni shidaAje kujifunza kupika umeshamuoa?π
Sawa mfalme njozi.Kaa chini kwanza utulie uandike polepole
Jifunzeni kupika, iyo ni sunnah kwa mwanamke.!!
π π πMtuache tupumue uku, mjifunze kupika, kwingine muache kuomba hela, kule muoshe papuchi TUMECHOKAAAAA
usijali, hela zikiwepo naamini haya mambo madogo hayaleti stressMtuache tupumue uku, mjifunze kupika, kwingine muache kuomba hela, kule muoshe papuchi TUMECHOKAAAAA
Hawa wamezid kilakitu kutoa kasor Wana gubu hatari, kupika sio kitu Cha ajabu mtu akijifunza tu anawezaKwanza: Kama hujamuoa usimpe majukumu ya mke, kupika ikiwemo si ndivyo tulivyojadili katika nyuzi kibao humu?
Pili: Kama ni mke na umemuoa umegundua hajui kupika mrudishe kwao akajifunze.
Tatu: Wanawake wote wa JF tunajua kupika, kwa reference zaidi kaangalie uzi wa vyakula. Hivyo hii mada haituhusu na kwa heshima na taadhima tunaomba muwaambie watu wenu huko huko.
Nne, wanaume wa JF wengi wenu mnafanya Online gender based violence (OGBV) as if hao wanawake zenu hawana jema hata moja.
Mwisho siku nikigundua shemeji yenu yupo humu, ntampa likizo ya miezi 6, agghr wanaume humu mna gubu bwana!
Mwanamke kujua kupika ni muhimu sana kwa ustawi wa afya ya mwili na akili za watoto.sioni shida
ππMapumziko muhimu aisee watatutoa roho ππMtuache tupumue uku, mjifunze kupika, kwingine muache kuomba hela, kule muoshe papuchi TUMECHOKAAAAA
As a man, lazima ujue umuhimu wa masaptasapta na maanjumati.!! Sio kila siku unakula vyakula vya ajabu uko kwa mama ntilie unarudi nyumbani unasingizia hujisikii kula kisa mkeo kwenye mapishi ni 0mbona ni kitu kidogo sana atajifunza tu....
mambo mengine mnayapa sana umuhimu
siamini hivyoMwanamke kujua kupika ni muhimu sana kwa ustawi wa afya ya mwili na akili za watoto.
Asipojua kupika kashapoteza sifa ya kuwa mama bora wa watoto wako
sema labda ni mimi tu, sipendi vyakula vyenye manjonjo sanaAs a man, lazima ujue umuhimu wa masaptasapta na maanjumati.!! Sio kila siku unakula vyakula vya ajabu uko kwa mama ntilie unarudi nyumbani unasingizia hujisikii kula kisa mkeo kwenye mapishi ni 0
ππ¨Mwanamke asiyejua kupika hana sifa ya kuwa mke
Hakuna kitu wanaume tunafurahia kama kula mapishi ya mkeo anayejua kupika
ππKaa chini kwanza utulie uandike polepole
Jifunzeni kupika, iyo ni sunnah kwa mwanamke.!!
Huu mwaka wamewakalia sana kooni
Ukija kuoa utanielewasiamini hivyo
Yupo vizuri sana huyo jikoni amini nakuambia. Mm mwemyewe nimemnyooshea mikono