Miyayusho huyo 😂Hapo DC anazinguaaa🤓!
Nawasamilia sana Samalekooo!!
Huyo nyie mnaelewana sana!Miyayusho huyo 😂
🤣🤣🤣 anapenda swanglish yakoHuyo nyie mnaelewana sana!
Hebu mlete akuje nimpe Englee kozi shem ake mi🤠!🤣🤣🤣 anapenda swanglish yako
Atakuja ila usimkalie mipaja wazi 😂😂😂Hebu mlete akuje nimpe Englee kozi shem ake mi🤠!
Hata usikasirike, we run this world kumbuka!!Kwakweli tunaonewa sana kila kitu sisi tuuu khaa too much kila uzi ni sisi tu
SawaHata usikasirike, we run this world kumbuka!!
Kwa mengine nakuheshimu mkuu ila kwa hapa umezingua......wasipojua wao kupika nani apike sasa....ni kweli wanawake wengi hawajui kupika na lazima waelezwe hilo sio wakifanya mambo ya hovyo wafumbiwe macho.Ndio maana wanazidi kuwa wajinga klla sikuMada za kuwadhalilisha mama na dada zetu ifike mahali zikomeshwe .. Si kila kitu akiweze vingine ni kusaidiana.. Swala la mapishi hata mwanaume anaweza kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora nibaki single kuliko kuoa halafu nipike, na pesa natoa za matumiziMada za kuwadhalilisha mama na dada zetu ifike mahali zikomeshwe .. Si kila kitu akiweze vingine ni kusaidiana.. Swala la mapishi hata mwanaume anaweza kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
AtariNdiyo uite “jitu lenyewe”🤔
Umesema ukweli sana.Kwa mengine nakuheshimu mkuu ila kwa hapa umezingua......wasipojua wao kupika nani apike sasa....ni kweli wanawake wengi hawajui kupika na lazima waelezwe hilo sio wakifanya mambo ya hovyo wafumbiwe macho.Ndio maana wanazidi kuwa wajinga klla siku
Nini izo zimepinda🙄