Wanaume wenzangu naona Joyce Kiria Kileo katupa mchambo wa Karne

Ooooh!! So there is alot of ways right?? Basi usiishangae hiyo njia yake, ndio alioiona ni rahisi kwake, angalia hata humu kuna men hookers ambao nao wameiona hiyo ndio njia sahihi kwao.
Everyone likes money, you don't have to justify why you like it. Go and sponge them, but don't say it is because you don't love them. You love money more than your man. That is what inspired whoring.
 
Ameadhirika kisaikolojia huyo anaongea upupu tu...yes nalelewa, naning'iniza my two balls...n i love t modafyaka anatufundishia wake zetu udangaji
Ameathirika siyo ameadhirika. Halafu kama unalelewa,unaning'iniza your two balls huwezi kusema umeoa. Kiafrika kuoa na kuolewa vina-depict power relations. Anayelelewa ndiye aliyeolewa. Haijalishi jinsi. Kuoa na kuolewa ni majukumu na si jinsi ya kiume au ya kike.
 
Keep it up Joyce. You said it all. Wanaume chikaputula a.k.a Marios a.k.a miteremko ya mlima kitonga. Nduyo maana wanathubutu hata dating ya wamama ili wapate hela. Wanaume wamesahau role yao aliyowapa Mingu ya kichwa cha Nyumba na kuwa mkeo ni msaidizi and not otherwise. Heshima ya mwanaume ni kutunza familia na Mungu amesema hivyo. Mke atakusaidia pale ulipokwama.
 
Hujajibu swali lara 1 zaidi ya kuandika maneno meeeengi.

Ya Kwako unauza shilingi ngapi?
Baba tafuta hea maswali na majibu ndo mwanzo WA KUKOPA MAKU. Hahahaaa. Shule zenu huko huko kama alivosema Joyce kaluli mbio MKOPO HAKUNAAA, HUNA PESA PIGA PUNYETO.
 
Bora nimezaliwa nzi kuliko kuzaliwa mwanamke usiyejitambua
hapo kwenye u- weka ni-[/QUOTE]
Hongera... Sina muda wa kufanya AKILI yako inavyohitaji...... Haya mimi ni mwanamke.... Umetosheka.... Una lingine labda jipya....
 
Nenda ka google tena Bill Gates alirudi shule kumalizia Degree yake ya Law Harvard.

BAADA YA KUPATA PESA. So na nyie wasomi wa bongo msipokufa masikini mrudi kumalizia PHD! HAHAHAAAAAAAAAA! SMH! If you will even AFFORD IT.
 
hapo kwenye u- weka ni-
Hongera... Sina muda wa kufanya AKILI yako inavyohitaji...... Haya mimi ni mwanamke.... Umetosheka.... Una lingine labda jipya....[/QUOTE]Asante...Tayari umeshafanya akili yangu inavyohitaji..... Nimetosheka..... Sina lingine jipya. Nakutakia usiku mwema.
 
Ndio ni uzembe, we kwani unaonaje?
Mimi siamini kwamba hawakupata pesa kwasababu ya uzembe, kuna sababu nyingi sana zinazochangia mzazi/mlezi kutokuwa na pesa nyingi hasa jamii za kiafrika.

U better talk/type based on research ya uhalisia ya sababu haswa za kuwafanya wawe hivyo.

All in All, mimi naona kuandika hivyo kuwa "ni uzembe wao kukosa pesa" ni kuwadhalilisha wazazi wako.
 
Wale malaya wenyewe sasa ndio wameamka kwenda vituo vya kazi.... Ishakuwa ni matusi na dhihaka....
 
Back
Top Bottom