Wanaume wenzangu naona Joyce Kiria Kileo katupa mchambo wa Karne

Asante dear ila nadhani nina bahati zaidi kutambua haya mapema japo
nilijifunza via the hardway.

Nashindwa kuelewa vijana wanaoupinga ukweli huu. Siwaelewi kwa kweli.
Ngumu kuwaelewa,vijana wasasa wanajitahidi kukwepa majukumu. Ila kula mzigo wanataka
 
Sikumshangaaa kuomba Madera nilimshangaa kila weekend ni yeye na harusi sijui sendoff sijui nn.... Ndio maana nikasema "umeenda kusoma au kuhudhuria sherehe".... Soma between lines vizuri na uwe open minded
Yeye kila w.end anahudhuria sherehe, hiyo ndio furaha yake, wewe unahangaika na vimada, sioni tofauti yenu.

Mfuate umshauri, 'kimada wangu, hizi pesa unazoniomba kila siku naona bora nikufungulie biashara then upigane upate zako', huo ndio uanaume.
 
Lame excuse! Even a hooker will tell you that she is only doing it because of poverty-as if there is only one way to fight poverty.
Ooooh!! So there is alot of ways right?? Basi usiishangae hiyo njia yake, ndio alioiona ni rahisi kwake, angalia hata humu kuna men hookers ambao nao wameiona hiyo ndio njia sahihi kwao.
 
wadada Wauza k * utawajua tyuu yaan huu uzi wameufurahia kweli,,yaan badala mmplan ni jinsi gani mta make za kwenu mnabaki kugeuza miili yenu kama mtaji,,,,ndo maana mnaishiwaga kupigwa tyuu waolewaji wanakuwa wengine,
Ndio tunaplan jinsi ya kuwaomba, hata hizo ni zetu mjue, you do work for us.
 
Ameadhirika kisaikolojia huyo anaongea upupu tu...yes nalelewa, naning'iniza my two balls...n i love t modafyaka anatufundishia wake zetu udangaji
Halafu eti anatishia wanaume kwamba tutagongewa....

Hajui pia tunaweza nasisi kuwagonga wazuri kumzidi yeye.

Kuna mwanaume anatishiwa kugongewa sikuhizi?
 
Yeye kila w.end anahudhuria sherehe, hiyo ndio furaha yake, wewe unahangaika na vimada, sioni tofauti yenu.

Mfuate umshauri, 'kimada wangu, hizi pesa unazoniomba kila siku naona bora nikufungulie biashara then upigane upate zako', huo ndio uanaume.

:p:p:ppyeeeeee...... Sikufanikiwa kubadili maji kuwa divai.....
 
Amesahau kuna kichalii fulani wa Kinondoni Apeche alolo kama mimi alikua demu wake kabla mchezo haujaamia kwa maproduza wa vipindi na ma meneja wa tv stations ?
Anakumbuka ndo maana anajua tofauti ya apeche alolo na hao maprodyuza na mameneja.
 
Back
Top Bottom