Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,346
- 159,500
Nipe hela ndio naenda kulala.Likizo inaanza ijumaa...kalale ukue
Nipe hela ndio naenda kulala.Likizo inaanza ijumaa...kalale ukue
huyooo chepukoo huyoooNimegoma silaliiiiiii, hapa najiandaa kuomba hela
Utauzwaaa....!!!Nipe hela ndio naenda kulala.
Hahahaaaaa!! Kweli unamachungu nao, ngoja nikusaidie na mimi HOVYOOOOO!!hovyoooo....!!!
aiseeeehh!!Hahahaaaaa!! Kweli unamachungu nao, ngoja nikusaidie na mimi HOVYOOOOO!!
Pesa ya dhuluma siipendi. Kumpenda mwanaume kwa sababu ya pesa it's not right Ni dhuluma
hahahaaa.... umekuwa mkali jamani! Hii ya kutokuwa na hela inakula kwa wote. Wanaume vitonga nao wanapigwa ...ulimi unakuwa mzito kutamka... wanafunga macho wanatoka na wamama wakubwa wenye hela, hawana uhakika wakipigwa vibuti wataishije. Wanaume wa aina hii kama walivyo wanawake ni mizigo kwa dunia. Hana kipato, anamtegemea mwanamke kwa gari, mafuta ya gari, hela ya saluni, ya bia, kodi....kila kitu. Hivi heshima itatoka wapi? Tofauti ya mnyamana binadamu ni kazi. Na kipimo cha kazi unakijua. Uwe wa kike au wa kiume ukiwa apeche alolo utanyanyasika. Watu tafuteni hela kwa bidii, na kama hamtaki au hamna vipaji vya kutafuta basi ingieni kwenye mashirika ya huduma mkatoe huduma kwa wahitaji duniani walau mpate heshima kama Mama Theresa. Sasa wewe hela huna na hutafuti, basi kaa nyumbani lea watoto na kutunza nyumba; nako hutaki, eti ni mwanaume. Khaaaa!Wanawake wa siku hizi ni tabu tupu...!
Hawafikirii kutafuta hela, bali wanasubiri watafutiwe.... manina zenu, mtapigwa miti na kila mwenye hela, makenge nyie...!
Hahahahahaha...Watu wengine bhana,....sasa unavyosema nitagongewa mi inaniumiza nini?..anaeenda kugongwa ni mimi aua wewe?...we kagongweeee kisha namimi nakuja kukugonga haswa,halaf miaka ikienda utakuja na thread zifuatazo hapa jf:
1.''MIMI NI SINGLE MOTHER NAHITAJI MUME WA KUISHI NAE''..na sisi hatutakubali maana ushagongwa sana.
2.''MCHUMBA WA KIUME MWENYE UKIMWI ANAHITAJIKA''....Hutotupata maana tutakuwa wazima wote humu.
Unaringia kugongwa kweli we pweza.
Hahahaaaaaa!! We jifariji tu.Nimeoa ambaye pesa ni za wazazi wake, yeye kama yeye amekuja kuchuma na mimi, zipo ambazo wanawake kama nyinyi mngezipapatikia mpaka haramu mnaachia na bado yeye hazishobokei... atakayekosea kuoa ni yule atakayeoa mwanamke kama wewe ambaye badala ya kuwa value creator kwa mumeo unakua devaluator... wanawake wapenda pesa wengi hamna sifa za kuwaongezea thamani wanaume zenu, nyinyi ndio mnawafilisi, so atakayekuoa imekula kwake
Sasa umeanza kuelewa notsi.... Vizuri sana.... Hoja yanguKwani wewe ulikuwa unamuongelea mkeo au huyo kimada wako? Mbona huyo kimada wako kakuomba dera tu povu likakutoka? Mke haongwi bali anahudumiwa.
Aiseee kuna sura ya a man of my dreams.penda hela eee kuuna sura ya baba atoto mule??
Aaaah wapiiiiii, mchepuko sio dili.huyooo chepukoo huyooo
wallahii!!!
Hamna wewe, kwa pesa gani labda!!Utauzwaaa....!!!
MWANAMKE WA KICHAGA yeye anachotaka ni pesa tu, kitandani anakuwa gogo...halafu na roho zao tena ni hatari.Mbona bwana ake wa kwanza alikua na mihela lakini ndoa haikudumu?
Natanguliza pole nyingi sana kwa Henry Kilewo.
Kuna a friend of mine nae ana swaga hizi hizi, oooh siombi hela mpaka anipe mwenyewe, kiruuuu!! Oooh tunasaidiana, siku jamaa kaomba amtumie laki maana anashida nayo fasta, akawa hana akanijia na swaga za sijui dogo anadaiwa hela shule na nini.aiseeeehh!!
umenikumbusha mbali sana!
Sasa si ndio tukikwama tunaomba, ila sasa mkiombwa tuuu mbioooo kuanzisha uzi, basi acha tuwaombe tu ili mkitusimanga mtusimange kihalali.
huyo kaka Mungu anamuona.....!!!Kuna a friend of mine nae ana swaga hizi hizi, oooh siombi hela mpaka anipe mwenyewe, kiruuuu!! Oooh tunasaidiana, siku jamaa kaomba amtumie laki maana anashida nayo fasta, akawa hana akanijia na swaga za sijui dogo anadaiwa hela shule na nini.
Nikampa, alipomtumia jamaa hakujibiwa, ikabidi apige simu kuulizia kama jamaa kaipata, si akapokea mwanamke na kumshukuru kwa kuwatumia pesa za kuspend w.end!! Ndio akaja kwangu analia ikabidi anieleze ukweli, nilicheka kimoyo moyo ila nikamjibu tu, independent woman pesa yangu ukumbuke tu kuirejesha.