Wanawake wa Kiha hupenda wanaume wanaopenda kamseleleko

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,820
10,019
Unaambiwa tembea uone. Wanawake wa Kigoma ni wapambanaji kupita maelezo, hujishughulisha na biashara za hapa na pale ilimradi kupata ahueni ya maisha, ukitelekeza familia ya hata watoto kumi ambao mama yao ni mha, jua tu wanao wako mahala sahihi. Wale ni wapambanaji sana na watunzaji wazuri wa familia, wanawake hawa ni waaminifu sana kwa waume zao, pia wavumilivu sana

Tatizo la wanawake hawa hupenda wanaume ambao hawajimudu kabisa kimaisha, ule msemo wa natafuta mwanaume asiye na mali tuanze kuchuma wote ulianzia kwao. Wanawake hawa hupenda sana kuishi na wanaume ambao hawana muelekeo kabisa almaarufu kama Marioo, hao huwavisha na kuwalisha, kibaya zaidi huwatumikisha majukumu ya kimama mama kama kuwaagiza sokoni, kuwapakulisha vyakula, kunawishia mikono wageni pia kama kifaa cha kubezwa mbele ya watu kama kigezo cha kuonesha umwamba mbele za watu

Tatizo la hawa wanawake ni wabishi sana kupita maelezo, hawako tayari kukili kosa ama kukubali kushindwa

Hivyo basi, popote ulipo ukiwa kama mwanaume unatakiwa kudamka hapo kitandani ulipo bila kujali ni sikukuu ama ni siku ya serikali, uende ukatafute pesa ili kuepuka kuitwa Mwanaume Jalala

N.B: Usikubali kuendeshwa
 
IMG-20240409-WA0006.jpg
 
Mwanaume kuwa na mahusiano na mwanamke ambaye anayaendesha mahusiano yenu kiuchumi, ni kujitafutia kurogwa, kuuawa au kukosa uhuru wa uanaume. Mwanamke akikuhudumia atataka akutawale, ukizingua kidogo tu, reaction yake ni zaidi ya Mtaliban. Ukichelewa hata kurudi nyumbani, ni mzozo. Atawaza hela zake unatumia na wanawake wengine.

Muha pia ni mshirikina sana. Wanaamini sana kwenye madawa kumdhibiti mwanaume wanayemuhudumia.
 
Unaambiwa tembea uone. Wanawake wa Kigoma ni wapambanaji kupita maelezo, hujishughulisha na biashara za hapa na pale ilimradi kupata ahueni ya maisha, ukitelekeza familia ya hata watoto kumi ambao mama yao ni mha, jua tu wanao wako mahala sahihi. Wale ni wapambanaji sana na watunzaji wazuri wa familia, wanawake hawa ni waaminifu sana kwa waume zao, pia wavumilivu sana

Tatizo la wanawake hawa hupenda wanaume ambao hawajimudu kabisa kimaisha, ule msemo wa natafuta mwanaume asiye na mali tuanze kuchuma wote ulianzia kwao. Wanawake hawa hupenda sana kuishi na wanaume ambao hawana muelekeo kabisa almaarufu kama Marioo, hao huwavisha na kuwalisha, kibaya zaidi huwatumikisha majukumu ya kimama mama kama kuwaagiza sokoni, kuwapakulisha vyakula, kunawishia mikono wageni pia kama kifaa cha kubezwa mbele ya watu kama kigezo cha kuonesha umwamba mbele za watu

Tatizo la hawa wanawake ni wabishi sana kupita maelezo, hawako tayari kukili kosa ama kukubali kushindwa

Hivyo basi, popote ulipo ukiwa kama mwanaume unatakiwa kudamka hapo kitandani ulipo bila kujali ni sikukuu ama ni siku ya serikali, uende ukatafute pesa ili kuepuka kuitwa Mwanaume Jalala

N.B: Usikubali kuendeshwa
Pole sana mkuu kwa unayoyapitia
 
Unaambiwa tembea uone. Wanawake wa Kigoma ni wapambanaji kupita maelezo, hujishughulisha na biashara za hapa na pale ilimradi kupata ahueni ya maisha, ukitelekeza familia ya hata watoto kumi ambao mama yao ni mha, jua tu wanao wako mahala sahihi. Wale ni wapambanaji sana na watunzaji wazuri wa familia, wanawake hawa ni waaminifu sana kwa waume zao, pia wavumilivu sana

Tatizo la wanawake hawa hupenda wanaume ambao hawajimudu kabisa kimaisha, ule msemo wa natafuta mwanaume asiye na mali tuanze kuchuma wote ulianzia kwao. Wanawake hawa hupenda sana kuishi na wanaume ambao hawana muelekeo kabisa almaarufu kama Marioo, hao huwavisha na kuwalisha, kibaya zaidi huwatumikisha majukumu ya kimama mama kama kuwaagiza sokoni, kuwapakulisha vyakula, kunawishia mikono wageni pia kama kifaa cha kubezwa mbele ya watu kama kigezo cha kuonesha umwamba mbele za watu

Tatizo la hawa wanawake ni wabishi sana kupita maelezo, hawako tayari kukili kosa ama kukubali kushindwa

Hivyo basi, popote ulipo ukiwa kama mwanaume unatakiwa kudamka hapo kitandani ulipo bila kujali ni sikukuu ama ni siku ya serikali, uende ukatafute pesa ili kuepuka kuitwa Mwanaume Jalala

N.B: Usikubali kuendeshwa
Hao ni Wakongo(Bazairwaa).Mwanaume huwa Marioo.Nimemaliza.
 
Back
Top Bottom