Wanawake wamegeuza mahusiano kuwa biashara na wanaume mitaji yao

Loading failed

JF-Expert Member
Sep 14, 2023
1,977
5,934
Ndugu zangu

Ukituliza akili na kuyatafakari kwa kina mahusiano ya sasa utagundua wanawake walio wengi wameyageuza ni biashara ya kuuziwa bidhaa ambayo hubakiwi nayo huku sisi wanaume tukifanywa ndiyo mitaji yao

Utagundua kabisa katika hii biashara wanawake hawana cha kupoteza zaidi ya sisi wanaume kupata hasara kubwa sana kwenye maisha yetu

Mbali na yote utagundua kabisa pale unapoulizwa unafanya kazi gani moja kwa moja, lengo la mwanamke wa sasa ni kukupima wewe kama mtaji wake , je, utamuwezesha kufikia malengo yake katika mahusiano au awapange msururu ili ajipatie vya kutosha

Na yote hayo bidhaa tunazo uziwa na wanawake direct and indirect kwa kivuli cha biashara ya mahusiano zimekua na mikosi mingi sana kwenye maisha yetu wanaume, wanaume wengi sana wanalia na wengine kukataa ndoa moja kwa moja kutokana na hasara kubwa wanayoipata kutoka kwa hawa viumbe

Utagundua katika hii biashara wanawake wana watumia wanaume kama source of income pasi na kujali lolote, utagundua wewe ndiye unapaswa kuibrand bidhaa kwa garama kubwa huku ikiendelea kubakia kwa muuzaji , utagundia hela zote unazo ombwa na kugharamika haswa ni income kwa wanawake na siyo vinginevyo

Ili uwe nae atajifanya antaka kukujua kwa wema kumbe anakuchunguza wewe mwanaume kama source of income yake una asset gani na gani na gani, ni vipi unavimiliki vitakavyo mfanya anufaike kwako nasiyo kujipata na hasara yoyote ile na akigundua huna cha maana utaishia kuachwa na anaenda kwa wanaume wengine

Mbaya zaidi ukiburuzwa dawatini utagundua yale madawati yapo kwaajili yao nasiyo kwaajili yako mwanaume, utagundua katika haya mahusiano ya kibiashara anaefaidi zaidi ni wanawake nasiyo wanaume na haijalishi umegharamika kiasi gani hautosikilizwa kabisa ukae ukijua.

Hawa wanawake wameyageuza mahusiano biashara hakika na waambieni
 
Biashara ya miili imekua kwa kasi sana kila mwanamke anajiuza akitegemea apewe pesa ya ziada kutokana na mapenzi ni janga kubwa
 
Hata walio kwenye ndoa nao hawaridhiki na vipato vya waume zao. Unakuta mwanamke kajiunga na vikoba 5 kila kimoja anatoa efu 5 au 10 kwa siku. Sasa ili kuipata hiyo hela K inabidi itembezwe kama bidhaa.
 
Kuna misconception kubwa sana kweny jamii juu ya mwanaume na character yake. Jamii ime propagate fikra kuwa ili uwe mwanaume basi sifa kuu ni kutumika kwa faida ya mwanamke hata kama ikimaanisha wewe kudhurika ili mwanamke afaidike ndio sifa ya kuwa mwanaume. Huu ni upotoshaji na sio sahihi.

Imagine leo wewe ukikutana na mwanamke mzuri aliyekuvutia, je upo entitled kulala nae yaani iwe ni lazima kulala nae kimapenzi? Watu watashangaa ukisema hivyo na kusema huwezi lazimisha mwanamke kulala na wewe kama hajakupenda.

Ila wewe mwanaume ukiwa nadhifu, unanukia marashi ya bei, unapesa una usafiri mzuri, na unavutia mwanamke yoyote, mwanamke akavutiwa na wewe na akakuomba pesa zako ukasema NO jamii nzima wanakuona una roho mbaya na sio mwanaume. Sasa kama pesa ni zangu na sitaki mpa mtu ambae sikumchagua why iwe issue?
 
Noma sana yaani mnazidi kututisha vijana ambao tumefika umri wa kuoa.. Usemayo ni ya kweli aisee tunayashuhudia me nadhani bora kuoa mtoto wa kishua yaani una uhakika hata urithi wake utauonja onja kidogo kuliko mtoto wa kimaskini. Sorry Kwa neno kimaskini sikutaka kulitumia ila imebidi
 
Ndugu zangu

Ukituliza akili na kuyatafakari kwa kina mahusiano ya sasa utagundua wanawake walio wengi wameyageuza ni biashara ya kuuziwa bidhaa ambayo hubakiwi nayo huku sisi wanaume tukifanywa ndiyo mitaji yao

Utagundua kabisa katika hii biashara wanawake hawana cha kupoteza zaidi ya sisi wanaume kupata hasara kubwa sana kwenye maisha yetu

Mbali na yote utagundua kabisa pale unapoulizwa unafanya kazi gani moja kwa moja, lengo la mwanamke wa sasa ni kukupima wewe kama mtaji wake , je, utamuwezesha kufikia malengo yake katika mahusiano au awapange msururu ili ajipatie vya kutosha

Na yote hayo bidhaa tunazo uziwa na wanawake direct and indirect kwa kivuli cha biashara ya mahusiano zimekua na mikosi mingi sana kwenye maisha yetu wanaume, wanaume wengi sana wanalia na wengine kukataa ndoa moja kwa moja kutokana na hasara kubwa wanayoipata kutoka kwa hawa viumbe

Utagundua katika hii biashara wanawake wana watumia wanaume kama source of income pasi na kujali lolote, utagundua wewe ndiye unapaswa kuibrand bidhaa kwa garama kubwa huku ikiendelea kubakia kwa muuzaji , utagundia hela zote unazo ombwa na kugharamika haswa ni income kwa wanawake na siyo vinginevyo

Ili uwe nae atajifanya antaka kukujua kwa wema kumbe anakuchunguza wewe mwanaume kama source of income yake una asset gani na gani na gani, ni vipi unavimiliki vitakavyo mfanya anufaike kwako nasiyo kujipata na hasara yoyote ile na akigundua huna cha maana utaishia kuachwa na anaenda kwa wanaume wengine

Mbaya zaidi ukiburuzwa dawatini utagundua yale madawati yapo kwaajili yao nasiyo kwaajili yako mwanaume, utagundua katika haya mahusiano ya kibiashara anaefaidi zaidi ni wanawake nasiyo wanaume na haijalishi umegharamika kiasi gani hautosikilizwa kabisa ukae ukijua.

Hawa wanawake wameyageuza mahusiano biashara hakika na waambieni
mwanamke moja kwa daladala siku zingine huko nyuma, alitoa ushuhuda kwamba yeye ana wanaume wa5, na hao ni wale tu analala nao kwa siku na nyakati tofauti. Wao hawajuani ila yeye anawajua vizuri sana mpaka hali zao kiuchumi ...

halafu anaendelea kueleza kuna wale ambao wanamfuata na kumtongoza nae akiwapiga danadana siku miezi na miaka. nao vile vile anawajua hali zao kiuchumi. Kiujumla anadai wote kwa pamoja wanao mtaka hawawez kupungua10..

hivyo basi kwa yule mwenyewe uchumi mdogo akiomba elfu5 hakosi kutumiwa elfu 3, na kwa yule mwingine akiomba elfu10 hakosi kutumiwa elfu 5, kule pengine akiomba 15 hakosi 10, na pale chini kabisaa akiomba ya vocha hakosi buku au buku2....

so,
Huenda kwa mtindo huo na kwa wiki anadai kukusanya hadi laki2, na akiwapelekea mbususu huko magetoni pao anadai anaweza kuchomoka hata na 50 kwa mtu moja 🐒

So,
Hii business imeanza kitambo na inasonga ikikua na kuimarika zaidi,

lakini sasa pisi mpaka inakuja kuolewa unakuta imechoka sana mbususu imesinyaa , imenyauka imekenua tu na hata hujaigusa lakini imepoa sana 🐒
 
Back
Top Bottom