kamwendo
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 882
- 1,855
Dada financial services Kwanza niseme nakupenda. Nakuona humu ndani ni muda sasa.
Napenda tu the way ulivyo.
Tukirudi kwenye mada CPA (T) naweza kusema kwasasa ina soko. Sasa hivi huwezi kuwa mhasibu kama hauna CPA.
Hata kama una Degree ya uhasibu bado huwezi kuwa mhasibu, ukiajiriwa Serikalini utatambulika kama afisa hesabu sio mhasibu.
Mimi nilianza kuisotea tangu 2016 bahati mbaya bado sijaipata ila nipo hatua za mwishoni kuhitimu.
Session huwa mbili kwa mwaka, Ni May na November. Pia kuna mid session ukitaka March na August Ada za Mid Session zimechangamka Pepa moja unalipia hadi laki 3. Kama upo Dar ni vizuri mimi nimesoma CPA kwa muda wote huo nikiwa mkoa wa Rukwa. Mitihani nilikuwa nafanyia Mbeya Pale Sokomatola Mkapa Hall.
Nilishawishika kusoma hii kitu baada ya boss wangu aliyenipokea mwanzo alikuwa Mhasibu Mkuu now baada ya waraka ni Afisa hesabu.
Faida za kuwa na CPA ni nyingi sana, Mosi ukiwa nayo mshahara wa kuanzia kazi TGS F then unakuwa certified in Public Muajiri ansearch jina NBAA anapata data zako kiusahihi no longolongo.
Wahasibu ni kama wanasheria now huwezi kuwa mwanasheria bila kupitia Law School.
Mungu anisaidie nipate na ACCA
Napenda tu the way ulivyo.
Tukirudi kwenye mada CPA (T) naweza kusema kwasasa ina soko. Sasa hivi huwezi kuwa mhasibu kama hauna CPA.
Hata kama una Degree ya uhasibu bado huwezi kuwa mhasibu, ukiajiriwa Serikalini utatambulika kama afisa hesabu sio mhasibu.
Mimi nilianza kuisotea tangu 2016 bahati mbaya bado sijaipata ila nipo hatua za mwishoni kuhitimu.
Session huwa mbili kwa mwaka, Ni May na November. Pia kuna mid session ukitaka March na August Ada za Mid Session zimechangamka Pepa moja unalipia hadi laki 3. Kama upo Dar ni vizuri mimi nimesoma CPA kwa muda wote huo nikiwa mkoa wa Rukwa. Mitihani nilikuwa nafanyia Mbeya Pale Sokomatola Mkapa Hall.
Nilishawishika kusoma hii kitu baada ya boss wangu aliyenipokea mwanzo alikuwa Mhasibu Mkuu now baada ya waraka ni Afisa hesabu.
Faida za kuwa na CPA ni nyingi sana, Mosi ukiwa nayo mshahara wa kuanzia kazi TGS F then unakuwa certified in Public Muajiri ansearch jina NBAA anapata data zako kiusahihi no longolongo.
Wahasibu ni kama wanasheria now huwezi kuwa mwanasheria bila kupitia Law School.
Mungu anisaidie nipate na ACCA