Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,920
- 7,942
Hahahahaha....!!La saba asome CPA? Acha utani Mkuu.
La saba mjanja mjanja mwenye uzoefu wa muda mrefu, kipi kitamshinda mkuu?
Hahahahaha....!!La saba asome CPA? Acha utani Mkuu.
CPA-PP kirefu chache ni Certified Public Accountant in Public Practice. Kuipata CPAPP inatakiwa ufanye kazi kwenye audit firm for at least 3 years. Ukiwa CPAPP unapata mhuri wa kuruhusiwa kuwa auditor hivyo unaweza kufungua audit firm yako.Tofauti kati ya CPA na CPA-PP ni nini?
Na pia mitihani na procya CPA-PP iko vipi?
Shukrani sana mkuu kwa maelezo yaliyonyooka.CPA-PP kurefu chache ni Certified Public Accountant in Public Practice. Kuipata CPAPP inatakiwa ufanye kazi kwenye audit firm for at least 3 years. Ukiwa CPAPP unapata mhuri wa kuruhusiwa kuwa auditor hivyo unaweza kufungua audit firm yako. Huwezi kuwa CPAPP bila kwanza kuwa na CPA. Ukishapata CPA ndio unatakiwa kuajiriwa kwenye audit firm for at least 3 years ili uweze kuwa cpapp.
La saba huwezi kuruhusiwa kusoma CPA, hata form four kama hana ufaulu wa hesabu na English hawezi kusoma CPA. Kwa Tanzania CPA wameirahisisha sana vigezo vya kuingia, kwa nchi kama South Africa ambako inaitwa CA (Chartered Accountant) minimum entry requirement ni degree ya uhasibu tu yaani iwe uhasibu pure ambayo ni financial accounting.Hahahahaha....!!
La saba mjanja mjanja mwenye uzoefu wa muda mrefu, kipi kitamshinda mkuu?
Hahahahaha....!!
La saba mjanja mjanja mwenye uzoefu wa muda mrefu, kipi kitamshinda mkuu?
Kwa kuongezeaCPA-PP kurefu chache ni Certified Public Accountant in Public Practice. Kuipata CPAPP inatakiwa ufanye kazi kwenye audit firm for at least 3 years. Ukiwa CPAPP unapata mhuri wa kuruhusiwa kuwa auditor hivyo unaweza kufungua audit firm yako. Huwezi kuwa CPAPP bila kwanza kuwa na CPA. Ukishapata CPA ndio unatakiwa kuajiriwa kwenye audit firm for at least 3 years ili uweze kuwa cpapp.
Haahaa kusoma CPA ndiyo kuwa msomi? Haya ahsante kwa ushauri mkuu vipi wewe ulishasoma na kupata hiyo CPA?Kumbe msomi eh! Hongera sana ila inabidi upige sana kitabu usihofu ukiweka nia na kujituma utaipata tu.
Ahsante kwa madini muhimu Konda, i wish kuwa CPA-PPCPA-PP kurefu chache ni Certified Public Accountant in Public Practice. Kuipata CPAPP inatakiwa ufanye kazi kwenye audit firm for at least 3 years. Ukiwa CPAPP unapata mhuri wa kuruhusiwa kuwa auditor hivyo unaweza kufungua audit firm yako. Huwezi kuwa CPAPP bila kwanza kuwa na CPA. Ukishapata CPA ndio unatakiwa kuajiriwa kwenye audit firm for at least 3 years ili uweze kuwa cpapp.
Haahaa kusoma CPA ndiyo kuwa msomi? Haya ahsante kwa ushauri mkuu vipi wewe ulishasoma na kupata hiyo CPA?
Ni kweli ni levels nyingi tumepita tangu nursery hadi chuo si mchezo. Hongera kwa kuwa CPA-T mkuu, how i wish too😋Umevuka madaraja mangapi hadi ufike level hiyo? Ni msomi ndiyo kwa sababu ukiipata kwa muajiri wako wewe ni KINGUNGE mwenye maslahi mazuri. Hongera sana ninayo ndiyo na ikanifungulia milango mingi. Namshukuru Mwenyezi Mungu 🙏🏾
Ni kweli ni levels nyingi tumepita tangu nursery hadi chuo si mchezo. Hongera kwa kuwa CPA-T mkuu, how i wish too😋
Kwahiyo hiyo CPAPP unapewa tu baada ya kufanya kazi kwenye Audit firm miaka 3 au utatakiwa kuisomea kwanza kama ilivyo kwa CPA ?CPA-PP kurefu chache ni Certified Public Accountant in Public Practice. Kuipata CPAPP inatakiwa ufanye kazi kwenye audit firm for at least 3 years. Ukiwa CPAPP unapata mhuri wa kuruhusiwa kuwa auditor hivyo unaweza kufungua audit firm yako. Huwezi kuwa CPAPP bila kwanza kuwa na CPA. Ukishapata CPA ndio unatakiwa kuajiriwa kwenye audit firm for at least 3 years ili uweze kuwa cpapp.
Thank you mkuu!Kila la heri.
Thank you mkuu, karibu kwa ushauri ama lolote kuhusu CPAGood Content
Thank you kwa swali vizuri, nasubiri jibu piaKwahiyo hiyo CPAPP unapewa tu baada ya kufanya kazi kwenye Audit firm miaka 3 au utatakiwa kuisomea kwanza kama ilivyo kwa CPA ?
Hapana hauisomei tena. Hiyo CPAPP ni kama kupata experience tu kabla hujawa licensed auditor. Kuna form utakayokuwa unaijaza kila mwaka na kuituma NBAA inayo-monitor kama kweli upo kwenye audit firm na unafanya hizo kazi za ukaguzi.Kwahiyo hiyo CPAPP unapewa tu baada ya kufanya kazi kwenye Audit firm miaka 3 au utatakiwa kuisomea kwanza kama ilivyo kwa CPA ?
Ahsante mkuu kwa maelezo mazuri, kuna mtu aliwahi nipotosha kuwa hata darasa la saba anaweza ku enroll kwenye CPALa saba huwezi kuruhusiwa kusoma CPA, hata form four kama hana ufaulu wa hesabu na English hawezi kusoma CPA. Kwa Tanzania CPA wameirahisisha sana vigezo vya kuingia, kwa nchi kama South Africa ambako inaitwa CA (Chartered Accountant) minimum entry requirement ni degree ya uhasibu tu yaani iwe uhasibu pure ambayo ni financial accounting.
Sio rahisi mkuu, ila kwa hii bongo yetu lolote linawezekana ni connection na mkono wako tuAhsante mkuu kwa maelezo mazuri, kuna mtu aliwahi nipotosha kuwa hata darasa la saba anaweza ku enroll kwenye CPA