Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 7,173
- 14,001
JamiiForums siku hizi ni ya mihemuko kinoma!! Anayelianzisha akiwa + wanaofata woote mwendo ni mdundo
Hilo mbona tatizo dogo sana ambalo halikustahili kufika huku. Ungeanzia kwa mkuu wa shule, akishindwa kwa AEK, au mwenyekiti wa bodi ya shule.
Mwalimu MWALUKASA wa Shule ya Sekondari JM KIKWETE, Halmshauri ya Mji Tunduma Mkoani Songwe anayefanyabiashara ya kuuza karanga shuleni analalamikiwa na Wanafunzi kuwalazimisha kununua karanga na kuwachapa viboko wanaoshindwa kufanya hivyo.
Inadaiwa Mwalimu huyo anayefundisha Somo la Kiswahili katika shule hiyo amekuwa akitumia makosa ya Wanafunzi kama mtaji wa Biashara yake.
Inadaiwq kuwa Siku ya Aprili 23, 2024 aliingia katika madarasa ya Kidato cha Kwanza na kuanza kuwaadhibu Wanafunzi wote akidai wamefeli Somo la Kiswahili huku akiwataka kununua karanga ili wapunguziwe adhabu.
Wanafunzi walionunua karanga kuanzia za Sh 300 walisamehewa adhabu na wale walioshindwa walichapwa fimbo kuanzia 10 na kuendelea.
Wakati akitoa adhabu ya viboko kwa ambao walishindwa kununua karanga waliadhibiwa viboko zaidi ya 10 kwani aliwaalika Walimu wenzie wawili akiwemo Mwalimu OBOTE na MALIVA na kutoa adhabu kama ifuatavyo katika madarasa ya Kidato cha Kwanza A na B.
Mwalimu Mwalukasa aliwachapa viboko 7.
Sir Obote 4.
Maliva 3.
Je, ni Sawa Waalimu kufanya biashara Shuleni?
Je, ni sawa Mwanafunzi kuadhibiwa viboko zaidi ya vitatu kwa kosa anauliza Mdau?
Picha kwa msaada wa pronga69.blogspot
Kwa hiyo ulikuwa unanunua biscuit? Pole saanaNimemkumbuka mwl. Haule
Tukiandikwa majina ya wapiga kelele anatuambia "ili nikusamehe nunua biscuit zangu moja 50"
Usiponunua unapigwa fimbo ukinunua unasamehewa kupiga kelele darasani.
Nilikua nanunua, mimi kila list ya wapiga kelele hunikosiKwa hiyo ulikuwa unanunua biscuit? Pole saana
Nilikua nanunua, mimi kila list ya wapiga kelele hunikosi
Wewe ulikuwa kwikwi.....Nilikua nanunua, mimi kila list ya wapiga kelele hunikosi
Walimu wanaoneana wivu kwa vitu vidogo sana. Roho za kimasikini zinawasumbua.Ila walimu kwa majungu, hamjambo. Sasa unadhani hii taarifa yako itafanyiwa kazi..??
Any sane individual anaona kabisa kwamba haya ni majungu tu
Nilikua mtoto muongeaji sanaWewe ulikuwa kwikwi.....
Kwann hasa ulikuwa unapiga kelele????
Ulikuwa kigego saaanaNilikua mtoto muongeaji sana