Wahudumu wa massage wanahitajika DSM

D Vice

Member
Sep 24, 2018
53
30
Sifa za waombaji,

1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.

2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)

3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.

4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.

Mshahara kwa mwezi ni tsh 360,000/=

Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.

Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.

KUOMBA NAFASI HII BONYEZA LINK HAPO CHINI

jobsfacilitators@gmail.com
 
Sifa za waombaji,

1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.

2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)

3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.

4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.

Mshahara kwa mwezi ni tsh 200,000/=

Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.

Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.

KUOMBA NAFASI HII BONYEZA LINK HAPO CHINI

jobsfacilitators@gmail.com
Karibuni
 
Sifa za waombaji,

1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.

2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)

3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.

4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.

Mshahara kwa mwezi ni tsh 200,000/=

Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.

Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.

KUOMBA NAFASI HII BONYEZA LINK HAPO CHINI

jobsfacilitators@gmail.com
Watakuja mkuu

Sasa mpwa, hebu toa ramani, wapi kwenye hiyo parlour ya Massage. Nimestua msuli wa jeki nahitaji kupata huduma ya masaji.

Toa ramani hakika uzao wako utabarikiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom