Wauzaji Bora Wanahitajika Haraka, Malipo Laki 3 Mpaka Milioni 3

Makirita Amani

JF-Expert Member
Jun 6, 2012
1,810
3,101
Usiombe nafasi hii kama kweli wewe siyo bora na unaweza kuthibitisha hilo.

Utaingiza kipato cha laki 3 kwa mwezi kama utafanya kazi kawaida, milioni moja kama utajituma na mpaka milioni tatu kama kweli ni bora na utajitoa kweli kweli.

Hizi ni kazi za mauzo ya bidhaa na huduma ambapo unaajiriwa na kampuni kama muuzaji. Siyo biashara ya mtandao (network marketing) au nyingine zinazoendana na hizo. Ni kazi halisi za mauzo zinazofuata utaratibu kamili wa ajira, ila wanaohitajika ni wale walio bora tu.

Sifa pekee ya kupata kazi hizi ni kuwa bora na kuweza kuuza. Elimu, umri haijalishi, kinachoangaliwa ni uwezo mkubwa wa kuuza. Majukumu makubwa ya kazi yanahusisha kukutana na wateja ana kwa ana, kupiga simu na kutuma jumbe za simu, barua pepe na mitandao ya kijamii. Mtu lazima awe na ujasiri na ushawishi wa kuweza kuwafikia wateja walengwa, kuongea nao na kuwageuza kuwa wateja kamili. Pia kuwa na ufuatiliaji endelevu wa wateja wote wa biashara kwa msimamo bila kuacha.

Mshahara wa kazi hizi ni kima cha chini cha Kiserikali kila mwezi, kisha sehemu nyingine ya malipo inatokana na kamisheni inayotegemea kiasi cha mauzo ambacho mtu umefanya. Hivyo hakuna ukomo wa kipato, ukiuza zaidi unatengeneza kipato kikubwa zaidi.

Kazi hizi zinaambatana na programu ya mafunzo ya mauzo, ambayo ni lazima kushiriki, gharama za mafunzo zinalipiwa na mwajiri. Lazima mtu apende kujifunza kupitia kusoma vitabu na kufanyia kazi yale anayojifunza. Pia kunakuwa na mifumo ya kupima ufanisi wa mtu kwenye kazi, kupitia hatua anazochukua na matokeo anayozalisha.

Kama unajiamini wewe ni bora na upo tayari kuonyesha ubora wako huku ukiendelea kujifunza na kuwa bora zaidi, karibu ufanye kazi na sisi. Tuma wasifu wako uliokamilika ukionyesha ushahidi wa ubora wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Maelezo kwa ufupi kuhusu aina hii ya kazi
AMKA CONSULTANTS ni kampuni inayotoa ushauri elekezi na mafunzo kwenye biashara. Kampuni imejikita kuziwezesha biashara ndogo na za kati kujiendesha kwa mfumo na kufanya mauzo makubwa zaidi.

Kampuni inatoa mafunzo bora ya mauzo kwa biashara na wafanyakazi wa biashara ambayo yanapelekea biashara kukuza zaidi mauzo yake.

Kupitia kufanya kazi na wafanyabiashara wengi wadogo na wa kati, changamoto kubwa imeonekana ni kukosekana kwa watu wazuri wa mauzo. Biashara nyingi zimekufa na nyingi kushindwa kukua kwa sababu hazina watu sahihi wa mauzo, wenye msukumo na shauku ya kufanya mauzo makubwa.

Ni kwa sababu hiyo, AMKA CONSULTANTS imechukua hatua ya kutafuta watu wazuri wa mauzo ambao wana kiu, msukumo na shauku kubwa na kuwaunganisha na biashara ambazo zina uhitaji mkubwa wa watu hao.

Kama wewe ni mtu ambaye unajiona ukiweza kufanya vizuri kazi ya mauzo basi kuna nafasi nzuri ya wewe kupata kazi. Chukua hatua ya kutuma wasifu wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Ieleweke wazi kwamba siyo AMKA CONSULTANTS inayoajiri na wala AMKA CONSULTANTS siyo wakala wa kuajiri. Sisi AMKA CONSULTANTS tumeona ombwe la ukosefu wa watu sahihi wa mauzo kwa wateja wetu na tunaamini kuna watu wazuri wa mauzo wapo, ila hawajui kuhusu uwepo wa nafasi zinazopatikana. Hivyo sisi AMKA CONSULTANTS tunachofanya ni kuwaunganisha pamoja wenye uhitaji wa watu wa mauzo na wenye uhitaji wa kazi za mauzo kisha mchakato wa makubaliano ya kazi unaendelea baina yenu.

Kitu pekee ambacho AMKA CONSULTANTS itaendelea kufanya ni kutoa mafunzo endelevu ya MAUZO kwa wale watakaopata kazi za mauzo kwa wateja wetu, gharama ambazo zitalipiwa na biashara husika na siyo mfanyakazi.

Sifa kuu zinazohitajika kwenye kazi hizi za mauzo ni tatu;

Sifa ya kwanza ni uwe na tabia njema.
Tunaamini tabia ni kitu ambacho mtu hawezi kufundishwa, ni kitu kilicho ndani ya mtu. Na pia tunaipa tabia uzito mkubwa. Hivyo unapoomba nafasi hizi, hakikisha una tabia njema. Tabia huwa haijifichi na pia haitavumiliwa pale inapoathiri biashara. Sifa kuu ya kazi ya mauzo ni kuwafanya wateja wajisikie vizuri, kama una tabia yoyote inayowafanya wateja wasijisikie vizuri pale wanapojihusisha na wewe hilo litakunyima sifa ya kazi.

Sifa ya pili ni upende kazi na kujituma. Tunaamini sana kwenye kazi na kukaa kwenye mchakato sahihi wa mauzo ambao utafundishwa. Mchakato huo unahusisha kutafuta wateja, kuwashawishi kununua na kuwafuatilia baada ya kununua. Muda wa kufanya kazi utakuwa masaa ya kawaida, lakini ufanisi utapimwa kwa majukumu ambayo mtu anayakamilisha kwenye muda wake wa kazi.

Sifa ya tatu ni kupenda kujifunza endelevu. Tunaamini kwenye kujifunza kila siku kama njia ya kuwa bora na kupiga hatua binafsi na hata kwenye kazi na biashara. Hivyo mtu anayeomba kazi hizi anapaswa kupenda kujifunza endelevu kupitia kusoma vitabu, kujiunga na kozi mbalimbali na njia nyingine za kujifunza ili kuwa bora kwenye mauzo. Pia kutakuwa na programu endelevu ya kujifunza kila siku na kujibu maswali ya quiz. Sehemu hii ya kujifunza kila siku na kujibu quiz ni ya lazima kama utapata kazi ya mauzo.

Sifa kuu ni hizo tatu tu, nyingine kama elimu, umri, kabila, jinsia hazina uzito. Hizo tatu zikiwepo kwa uhakika hizo nyingine zinakuwa za ziada tu.

Kwa watakaopata kazi, mafunzo ya kina ya mauzo yatatolewa mwanzoni na kwa uendelevu ili mtu kuweza kubobea kwenye mauzo.

Mfumo wa malipo
Mfumo wa malipo kwenye kazi hizi za mauzo utakuwa wa fedha ya kujikimu na kamisheni.

Utakapopata kazi ya mauzo kutoka kwa wateja wetu, utalipwa mshahara wa kima cha chini kama sehemu ya kuweza kujikimu kimaisha.

Halafu sehemu kubwa ya malipo itatokana na kamisheni ambayo utaipata kulingana na kiwango cha mauzo unachofanya.

Kwa msingi huu, kiasi cha malipo hakina ukomo, kadiri unavyouza zaidi ndivyo unavyolipwa zaidi. Na kwa kuwa unaendelea kupata mafunzo ya mauzo, unakuwa na fursa ya kuingiza kipato kikubwa utakavyo.

Tuma wasifu wako
Ili kuingia kwenye mchakato wa usaili na kuona kama utafaa kwa kazi ya mauzo kwa nafasi zilizopo, anza kwa kutuma wasifu wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Toa maelezo yenye kuonyesha kwa nini unafaa kwa kazi ya mauzo na ambatanisha ushahidi wa chochote unachoeleza kwenye wasifu wako. Utajibiwa hatua zinazofuata kupitia barua pepe yako.

Hitimisho
AMKA CONSULTANTS tunaamini mauzo ndiyo moyo wa biashara, ambao unasukuma damu kwenye biashara ambayo ni fedha. Bila ya mauzo hakuna fedha na bila ya fedha hakuna biashara.

Tunaamini kila mfanyakazi aliye ndani ya biashara anapaswa kuchangia kwenye mauzo. Hivyo kila mfanyakazi wa biashara anapaswa kuwa na mafunzo sahihi ya mauzo.

Hivyo tunaendelea kufanya kazi kwa karibu na wafanyabiashara wadogo na wa kati ili kuwawezesha kujenga timu bora za mauzo zitakazowezesha biashara kufanya mauzo makubwa na kufanikiwa.

Kama wewe ni mfanyabiashara na ungependa kupata huduma ya mafunzo ya mauzo kwa wafanyakazi wako au ungependa kupata wafanyakazi bora wa mauzo tuwasiliane kwa email; amkaconsultants@gmail.com

Kwa waombaji wa kazi za mauzo tuma wasifu wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Kwa wafanyabiashara tuwasiliane moja kwa moja kwa email; amkaconsultants@gmail.com

Karibuni sana.

Kocha Dr Makirita Amani.

www.amkaconsultants.co.tz
 
Usiombe nafasi hii kama kweli wewe siyo bora na unaweza kuthibitisha hilo.

Utaingiza kipato cha laki 3 kwa mwezi kama utafanya kazi kawaida, milioni moja kama utajituma na mpaka milioni tatu kama kweli ni bora na utajitoa kweli kweli.

Hizi ni kazi za mauzo ya bidhaa na huduma ambapo unaajiriwa na kampuni kama muuzaji. Siyo biashara ya mtandao (network marketing) au nyingine zinazoendana na hizo. Ni kazi halisi za mauzo zinazofuata utaratibu kamili wa ajira, ila wanaohitajika ni wale walio bora tu.

Sifa pekee ya kupata kazi hizi ni kuwa bora na kuweza kuuza. Elimu, umri haijalishi, kinachoangaliwa ni uwezo mkubwa wa kuuza. Majukumu makubwa ya kazi yanahusisha kukutana na wateja ana kwa ana, kupiga simu na kutuma jumbe za simu, barua pepe na mitandao ya kijamii. Mtu lazima awe na ujasiri na ushawishi wa kuweza kuwafikia wateja walengwa, kuongea nao na kuwageuza kuwa wateja kamili. Pia kuwa na ufuatiliaji endelevu wa wateja wote wa biashara kwa msimamo bila kuacha.

Mshahara wa kazi hizi ni kima cha chini cha Kiserikali kila mwezi, kisha sehemu nyingine ya malipo inatokana na kamisheni inayotegemea kiasi cha mauzo ambacho mtu umefanya. Hivyo hakuna ukomo wa kipato, ukiuza zaidi unatengeneza kipato kikubwa zaidi.

Kazi hizi zinaambatana na programu ya mafunzo ya mauzo, ambayo ni lazima kushiriki, gharama za mafunzo zinalipiwa na mwajiri. Lazima mtu apende kujifunza kupitia kusoma vitabu na kufanyia kazi yale anayojifunza. Pia kunakuwa na mifumo ya kupima ufanisi wa mtu kwenye kazi, kupitia hatua anazochukua na matokeo anayozalisha.

Kama unajiamini wewe ni bora na upo tayari kuonyesha ubora wako huku ukiendelea kujifunza na kuwa bora zaidi, karibu ufanye kazi na sisi. Tuma wasifu wako uliokamilika ukionyesha ushahidi wa ubora wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Maelezo kwa ufupi kuhusu aina hii ya kazi.

AMKA CONSULTANTS ni kampuni inayotoa ushauri elekezi na mafunzo kwenye biashara. Kampuni imejikita kuziwezesha biashara ndogo na za kati kujiendesha kwa mfumo na kufanya mauzo makubwa zaidi.

Kampuni inatoa mafunzo bora ya mauzo kwa biashara na wafanyakazi wa biashara ambayo yanapelekea biashara kukuza zaidi mauzo yake.

Kupitia kufanya kazi na wafanyabiashara wengi wadogo na wa kati, changamoto kubwa imeonekana ni kukosekana kwa watu wazuri wa mauzo. Biashara nyingi zimekufa na nyingi kushindwa kukua kwa sababu hazina watu sahihi wa mauzo, wenye msukumo na shauku ya kufanya mauzo makubwa.

Ni kwa sababu hiyo, AMKA CONSULTANTS imechukua hatua ya kutafuta watu wazuri wa mauzo ambao wana kiu, msukumo na shauku kubwa na kuwaunganisha na biashara ambazo zina uhitaji mkubwa wa watu hao.

Kama wewe ni mtu ambaye unajiona ukiweza kufanya vizuri kazi ya mauzo basi kuna nafasi nzuri ya wewe kupata kazi. Chukua hatua ya kutuma wasifu wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Ieleweke wazi kwamba siyo AMKA CONSULTANTS inayoajiri na wala AMKA CONSULTANTS siyo wakala wa kuajiri. Sisi AMKA CONSULTANTS tumeona ombwe la ukosefu wa watu sahihi wa mauzo kwa wateja wetu na tunaamini kuna watu wazuri wa mauzo wapo, ila hawajui kuhusu uwepo wa nafasi zinazopatikana. Hivyo sisi AMKA CONSULTANTS tunachofanya ni kuwaunganisha pamoja wenye uhitaji wa watu wa mauzo na wenye uhitaji wa kazi za mauzo kisha mchakato wa makubaliano ya kazi unaendelea baina yenu.

Kitu pekee ambacho AMKA CONSULTANTS itaendelea kufanya ni kutoa mafunzo endelevu ya MAUZO kwa wale watakaopata kazi za mauzo kwa wateja wetu, gharama ambazo zitalipiwa na biashara husika na siyo mfanyakazi.

Sifa kuu zinazohitajika kwenye kazi hizi za mauzo ni tatu;

Sifa ya kwanza ni uwe na tabia njema.
Tunaamini tabia ni kitu ambacho mtu hawezi kufundishwa, ni kitu kilicho ndani ya mtu. Na pia tunaipa tabia uzito mkubwa. Hivyo unapoomba nafasi hizi, hakikisha una tabia njema. Tabia huwa haijifichi na pia haitavumiliwa pale inapoathiri biashara. Sifa kuu ya kazi ya mauzo ni kuwafanya wateja wajisikie vizuri, kama una tabia yoyote inayowafanya wateja wasijisikie vizuri pale wanapojihusisha na wewe hilo litakunyima sifa ya kazi.

Sifa ya pili ni upende kazi na kujituma. Tunaamini sana kwenye kazi na kukaa kwenye mchakato sahihi wa mauzo ambao utafundishwa. Mchakato huo unahusisha kutafuta wateja, kuwashawishi kununua na kuwafuatilia baada ya kununua. Muda wa kufanya kazi utakuwa masaa ya kawaida, lakini ufanisi utapimwa kwa majukumu ambayo mtu anayakamilisha kwenye muda wake wa kazi.

Sifa ya tatu ni kupenda kujifunza endelevu. Tunaamini kwenye kujifunza kila siku kama njia ya kuwa bora na kupiga hatua binafsi na hata kwenye kazi na biashara. Hivyo mtu anayeomba kazi hizi anapaswa kupenda kujifunza endelevu kupitia kusoma vitabu, kujiunga na kozi mbalimbali na njia nyingine za kujifunza ili kuwa bora kwenye mauzo. Pia kutakuwa na programu endelevu ya kujifunza kila siku na kujibu maswali ya quiz. Sehemu hii ya kujifunza kila siku na kujibu quiz ni ya lazima kama utapata kazi ya mauzo.

Sifa kuu ni hizo tatu tu, nyingine kama elimu, umri, kabila, jinsia hazina uzito. Hizo tatu zikiwepo kwa uhakika hizo nyingine zinakuwa za ziada tu.

Kwa watakaopata kazi, mafunzo ya kina ya mauzo yatatolewa mwanzoni na kwa uendelevu ili mtu kuweza kubobea kwenye mauzo.

Mfumo wa malipo.

Mfumo wa malipo kwenye kazi hizi za mauzo utakuwa wa fedha ya kujikimu na kamisheni.

Utakapopata kazi ya mauzo kutoka kwa wateja wetu, utalipwa mshahara wa kima cha chini kama sehemu ya kuweza kujikimu kimaisha.

Halafu sehemu kubwa ya malipo itatokana na kamisheni ambayo utaipata kulingana na kiwango cha mauzo unachofanya.

Kwa msingi huu, kiasi cha malipo hakina ukomo, kadiri unavyouza zaidi ndivyo unavyolipwa zaidi. Na kwa kuwa unaendelea kupata mafunzo ya mauzo, unakuwa na fursa ya kuingiza kipato kikubwa utakavyo.

Tuma wasifu wako.

Ili kuingia kwenye mchakato wa usaili na kuona kama utafaa kwa kazi ya mauzo kwa nafasi zilizopo, anza kwa kutuma wasifu wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Toa maelezo yenye kuonyesha kwa nini unafaa kwa kazi ya mauzo na ambatanisha ushahidi wa chochote unachoeleza kwenye wasifu wako. Utajibiwa hatua zinazofuata kupitia barua pepe yako.

Hitimisho.

AMKA CONSULTANTS tunaamini mauzo ndiyo moyo wa biashara, ambao unasukuma damu kwenye biashara ambayo ni fedha. Bila ya mauzo hakuna fedha na bila ya fedha hakuna biashara.

Tunaamini kila mfanyakazi aliye ndani ya biashara anapaswa kuchangia kwenye mauzo. Hivyo kila mfanyakazi wa biashara anapaswa kuwa na mafunzo sahihi ya mauzo.

Hivyo tunaendelea kufanya kazi kwa karibu na wafanyabiashara wadogo na wa kati ili kuwawezesha kujenga timu bora za mauzo zitakazowezesha biashara kufanya mauzo makubwa na kufanikiwa.

Kama wewe ni mfanyabiashara na ungependa kupata huduma ya mafunzo ya mauzo kwa wafanyakazi wako au ungependa kupata wafanyakazi bora wa mauzo tuwasiliane kwa email; amkaconsultants@gmail.com

Kwa waombaji wa kazi za mauzo tuma wasifu wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Kwa wafanyabiashara tuwasiliane moja kwa moja kwa email; amkaconsultants@gmail.com

Karibuni sana.

Kocha Dr Makirita Amani.

www.amkaconsultants.co.tz

Million tatu then unataka kuajiri Mtu yoyote?
 
Kampuni ya kumlipa mtu million tatu inakosaje e mail yenye domain yake hadi itumie e mail za Gmail?

Ndugu wananchi UKITANGAZIWA FURSA, JUA WEWE NDIO FURSA YENYEWE.
Utatumika kama via vya uzazi vya msichana mzuri asiye na akili ya kutafuta pesa.
Ur right hawa watu wanatumiizia sana vijana wet u wanaotoka chuo na dream kubwa kubwa!!!
 
Usiombe nafasi hii kama kweli wewe siyo bora na unaweza kuthibitisha hilo.

Utaingiza kipato cha laki 3 kwa mwezi kama utafanya kazi kawaida, milioni moja kama utajituma na mpaka milioni tatu kama kweli ni bora na utajitoa kweli kweli.

Hizi ni kazi za mauzo ya bidhaa na huduma ambapo unaajiriwa na kampuni kama muuzaji. Siyo biashara ya mtandao (network marketing) au nyingine zinazoendana na hizo. Ni kazi halisi za mauzo zinazofuata utaratibu kamili wa ajira, ila wanaohitajika ni wale walio bora tu.

Sifa pekee ya kupata kazi hizi ni kuwa bora na kuweza kuuza. Elimu, umri haijalishi, kinachoangaliwa ni uwezo mkubwa wa kuuza. Majukumu makubwa ya kazi yanahusisha kukutana na wateja ana kwa ana, kupiga simu na kutuma jumbe za simu, barua pepe na mitandao ya kijamii. Mtu lazima awe na ujasiri na ushawishi wa kuweza kuwafikia wateja walengwa, kuongea nao na kuwageuza kuwa wateja kamili. Pia kuwa na ufuatiliaji endelevu wa wateja wote wa biashara kwa msimamo bila kuacha.

Mshahara wa kazi hizi ni kima cha chini cha Kiserikali kila mwezi, kisha sehemu nyingine ya malipo inatokana na kamisheni inayotegemea kiasi cha mauzo ambacho mtu umefanya. Hivyo hakuna ukomo wa kipato, ukiuza zaidi unatengeneza kipato kikubwa zaidi.

Kazi hizi zinaambatana na programu ya mafunzo ya mauzo, ambayo ni lazima kushiriki, gharama za mafunzo zinalipiwa na mwajiri. Lazima mtu apende kujifunza kupitia kusoma vitabu na kufanyia kazi yale anayojifunza. Pia kunakuwa na mifumo ya kupima ufanisi wa mtu kwenye kazi, kupitia hatua anazochukua na matokeo anayozalisha.

Kama unajiamini wewe ni bora na upo tayari kuonyesha ubora wako huku ukiendelea kujifunza na kuwa bora zaidi, karibu ufanye kazi na sisi. Tuma wasifu wako uliokamilika ukionyesha ushahidi wa ubora wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Maelezo kwa ufupi kuhusu aina hii ya kazi.

AMKA CONSULTANTS ni kampuni inayotoa ushauri elekezi na mafunzo kwenye biashara. Kampuni imejikita kuziwezesha biashara ndogo na za kati kujiendesha kwa mfumo na kufanya mauzo makubwa zaidi.

Kampuni inatoa mafunzo bora ya mauzo kwa biashara na wafanyakazi wa biashara ambayo yanapelekea biashara kukuza zaidi mauzo yake.

Kupitia kufanya kazi na wafanyabiashara wengi wadogo na wa kati, changamoto kubwa imeonekana ni kukosekana kwa watu wazuri wa mauzo. Biashara nyingi zimekufa na nyingi kushindwa kukua kwa sababu hazina watu sahihi wa mauzo, wenye msukumo na shauku ya kufanya mauzo makubwa.

Ni kwa sababu hiyo, AMKA CONSULTANTS imechukua hatua ya kutafuta watu wazuri wa mauzo ambao wana kiu, msukumo na shauku kubwa na kuwaunganisha na biashara ambazo zina uhitaji mkubwa wa watu hao.

Kama wewe ni mtu ambaye unajiona ukiweza kufanya vizuri kazi ya mauzo basi kuna nafasi nzuri ya wewe kupata kazi. Chukua hatua ya kutuma wasifu wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Ieleweke wazi kwamba siyo AMKA CONSULTANTS inayoajiri na wala AMKA CONSULTANTS siyo wakala wa kuajiri. Sisi AMKA CONSULTANTS tumeona ombwe la ukosefu wa watu sahihi wa mauzo kwa wateja wetu na tunaamini kuna watu wazuri wa mauzo wapo, ila hawajui kuhusu uwepo wa nafasi zinazopatikana. Hivyo sisi AMKA CONSULTANTS tunachofanya ni kuwaunganisha pamoja wenye uhitaji wa watu wa mauzo na wenye uhitaji wa kazi za mauzo kisha mchakato wa makubaliano ya kazi unaendelea baina yenu.

Kitu pekee ambacho AMKA CONSULTANTS itaendelea kufanya ni kutoa mafunzo endelevu ya MAUZO kwa wale watakaopata kazi za mauzo kwa wateja wetu, gharama ambazo zitalipiwa na biashara husika na siyo mfanyakazi.

Sifa kuu zinazohitajika kwenye kazi hizi za mauzo ni tatu;

Sifa ya kwanza ni uwe na tabia njema.
Tunaamini tabia ni kitu ambacho mtu hawezi kufundishwa, ni kitu kilicho ndani ya mtu. Na pia tunaipa tabia uzito mkubwa. Hivyo unapoomba nafasi hizi, hakikisha una tabia njema. Tabia huwa haijifichi na pia haitavumiliwa pale inapoathiri biashara. Sifa kuu ya kazi ya mauzo ni kuwafanya wateja wajisikie vizuri, kama una tabia yoyote inayowafanya wateja wasijisikie vizuri pale wanapojihusisha na wewe hilo litakunyima sifa ya kazi.

Sifa ya pili ni upende kazi na kujituma. Tunaamini sana kwenye kazi na kukaa kwenye mchakato sahihi wa mauzo ambao utafundishwa. Mchakato huo unahusisha kutafuta wateja, kuwashawishi kununua na kuwafuatilia baada ya kununua. Muda wa kufanya kazi utakuwa masaa ya kawaida, lakini ufanisi utapimwa kwa majukumu ambayo mtu anayakamilisha kwenye muda wake wa kazi.

Sifa ya tatu ni kupenda kujifunza endelevu. Tunaamini kwenye kujifunza kila siku kama njia ya kuwa bora na kupiga hatua binafsi na hata kwenye kazi na biashara. Hivyo mtu anayeomba kazi hizi anapaswa kupenda kujifunza endelevu kupitia kusoma vitabu, kujiunga na kozi mbalimbali na njia nyingine za kujifunza ili kuwa bora kwenye mauzo. Pia kutakuwa na programu endelevu ya kujifunza kila siku na kujibu maswali ya quiz. Sehemu hii ya kujifunza kila siku na kujibu quiz ni ya lazima kama utapata kazi ya mauzo.

Sifa kuu ni hizo tatu tu, nyingine kama elimu, umri, kabila, jinsia hazina uzito. Hizo tatu zikiwepo kwa uhakika hizo nyingine zinakuwa za ziada tu.

Kwa watakaopata kazi, mafunzo ya kina ya mauzo yatatolewa mwanzoni na kwa uendelevu ili mtu kuweza kubobea kwenye mauzo.

Mfumo wa malipo.

Mfumo wa malipo kwenye kazi hizi za mauzo utakuwa wa fedha ya kujikimu na kamisheni.

Utakapopata kazi ya mauzo kutoka kwa wateja wetu, utalipwa mshahara wa kima cha chini kama sehemu ya kuweza kujikimu kimaisha.

Halafu sehemu kubwa ya malipo itatokana na kamisheni ambayo utaipata kulingana na kiwango cha mauzo unachofanya.

Kwa msingi huu, kiasi cha malipo hakina ukomo, kadiri unavyouza zaidi ndivyo unavyolipwa zaidi. Na kwa kuwa unaendelea kupata mafunzo ya mauzo, unakuwa na fursa ya kuingiza kipato kikubwa utakavyo.

Tuma wasifu wako.

Ili kuingia kwenye mchakato wa usaili na kuona kama utafaa kwa kazi ya mauzo kwa nafasi zilizopo, anza kwa kutuma wasifu wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Toa maelezo yenye kuonyesha kwa nini unafaa kwa kazi ya mauzo na ambatanisha ushahidi wa chochote unachoeleza kwenye wasifu wako. Utajibiwa hatua zinazofuata kupitia barua pepe yako.

Hitimisho.

AMKA CONSULTANTS tunaamini mauzo ndiyo moyo wa biashara, ambao unasukuma damu kwenye biashara ambayo ni fedha. Bila ya mauzo hakuna fedha na bila ya fedha hakuna biashara.

Tunaamini kila mfanyakazi aliye ndani ya biashara anapaswa kuchangia kwenye mauzo. Hivyo kila mfanyakazi wa biashara anapaswa kuwa na mafunzo sahihi ya mauzo.

Hivyo tunaendelea kufanya kazi kwa karibu na wafanyabiashara wadogo na wa kati ili kuwawezesha kujenga timu bora za mauzo zitakazowezesha biashara kufanya mauzo makubwa na kufanikiwa.

Kama wewe ni mfanyabiashara na ungependa kupata huduma ya mafunzo ya mauzo kwa wafanyakazi wako au ungependa kupata wafanyakazi bora wa mauzo tuwasiliane kwa email; amkaconsultants@gmail.com

Kwa waombaji wa kazi za mauzo tuma wasifu wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Kwa wafanyabiashara tuwasiliane moja kwa moja kwa email; amkaconsultants@gmail.com

Karibuni sana.

Kocha Dr Makirita Amani.

www.amkaconsultants.co.tz
Bro madogo wana akili siku hizi wanakuchora tu unavyotaka kuwafanya vitendea kazi
 
Kampuni ya kumlipa mtu million tatu inakosaje e mail yenye domain yake hadi itumie e mail za Gmail?

Ndugu wananchi UKITANGAZIWA FURSA, JUA WEWE NDIO FURSA YENYEWE.
Utatumika kama via vya uzazi vya msichana mzuri asiye na akili ya kutafuta pesa.

images (33).jpeg
 
Usiombe nafasi hii kama kweli wewe siyo bora na unaweza kuthibitisha hilo.

Utaingiza kipato cha laki 3 kwa mwezi kama utafanya kazi kawaida, milioni moja kama utajituma na mpaka milioni tatu kama kweli ni bora na utajitoa kweli kweli.

Hizi ni kazi za mauzo ya bidhaa na huduma ambapo unaajiriwa na kampuni kama muuzaji. Siyo biashara ya mtandao (network marketing) au nyingine zinazoendana na hizo. Ni kazi halisi za mauzo zinazofuata utaratibu kamili wa ajira, ila wanaohitajika ni wale walio bora tu.

Sifa pekee ya kupata kazi hizi ni kuwa bora na kuweza kuuza. Elimu, umri haijalishi, kinachoangaliwa ni uwezo mkubwa wa kuuza. Majukumu makubwa ya kazi yanahusisha kukutana na wateja ana kwa ana, kupiga simu na kutuma jumbe za simu, barua pepe na mitandao ya kijamii. Mtu lazima awe na ujasiri na ushawishi wa kuweza kuwafikia wateja walengwa, kuongea nao na kuwageuza kuwa wateja kamili. Pia kuwa na ufuatiliaji endelevu wa wateja wote wa biashara kwa msimamo bila kuacha.

Mshahara wa kazi hizi ni kima cha chini cha Kiserikali kila mwezi, kisha sehemu nyingine ya malipo inatokana na kamisheni inayotegemea kiasi cha mauzo ambacho mtu umefanya. Hivyo hakuna ukomo wa kipato, ukiuza zaidi unatengeneza kipato kikubwa zaidi.

Kazi hizi zinaambatana na programu ya mafunzo ya mauzo, ambayo ni lazima kushiriki, gharama za mafunzo zinalipiwa na mwajiri. Lazima mtu apende kujifunza kupitia kusoma vitabu na kufanyia kazi yale anayojifunza. Pia kunakuwa na mifumo ya kupima ufanisi wa mtu kwenye kazi, kupitia hatua anazochukua na matokeo anayozalisha.

Kama unajiamini wewe ni bora na upo tayari kuonyesha ubora wako huku ukiendelea kujifunza na kuwa bora zaidi, karibu ufanye kazi na sisi. Tuma wasifu wako uliokamilika ukionyesha ushahidi wa ubora wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Maelezo kwa ufupi kuhusu aina hii ya kazi.

AMKA CONSULTANTS ni kampuni inayotoa ushauri elekezi na mafunzo kwenye biashara. Kampuni imejikita kuziwezesha biashara ndogo na za kati kujiendesha kwa mfumo na kufanya mauzo makubwa zaidi.

Kampuni inatoa mafunzo bora ya mauzo kwa biashara na wafanyakazi wa biashara ambayo yanapelekea biashara kukuza zaidi mauzo yake.

Kupitia kufanya kazi na wafanyabiashara wengi wadogo na wa kati, changamoto kubwa imeonekana ni kukosekana kwa watu wazuri wa mauzo. Biashara nyingi zimekufa na nyingi kushindwa kukua kwa sababu hazina watu sahihi wa mauzo, wenye msukumo na shauku ya kufanya mauzo makubwa.

Ni kwa sababu hiyo, AMKA CONSULTANTS imechukua hatua ya kutafuta watu wazuri wa mauzo ambao wana kiu, msukumo na shauku kubwa na kuwaunganisha na biashara ambazo zina uhitaji mkubwa wa watu hao.

Kama wewe ni mtu ambaye unajiona ukiweza kufanya vizuri kazi ya mauzo basi kuna nafasi nzuri ya wewe kupata kazi. Chukua hatua ya kutuma wasifu wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Ieleweke wazi kwamba siyo AMKA CONSULTANTS inayoajiri na wala AMKA CONSULTANTS siyo wakala wa kuajiri. Sisi AMKA CONSULTANTS tumeona ombwe la ukosefu wa watu sahihi wa mauzo kwa wateja wetu na tunaamini kuna watu wazuri wa mauzo wapo, ila hawajui kuhusu uwepo wa nafasi zinazopatikana. Hivyo sisi AMKA CONSULTANTS tunachofanya ni kuwaunganisha pamoja wenye uhitaji wa watu wa mauzo na wenye uhitaji wa kazi za mauzo kisha mchakato wa makubaliano ya kazi unaendelea baina yenu.

Kitu pekee ambacho AMKA CONSULTANTS itaendelea kufanya ni kutoa mafunzo endelevu ya MAUZO kwa wale watakaopata kazi za mauzo kwa wateja wetu, gharama ambazo zitalipiwa na biashara husika na siyo mfanyakazi.

Sifa kuu zinazohitajika kwenye kazi hizi za mauzo ni tatu;

Sifa ya kwanza ni uwe na tabia njema.
Tunaamini tabia ni kitu ambacho mtu hawezi kufundishwa, ni kitu kilicho ndani ya mtu. Na pia tunaipa tabia uzito mkubwa. Hivyo unapoomba nafasi hizi, hakikisha una tabia njema. Tabia huwa haijifichi na pia haitavumiliwa pale inapoathiri biashara. Sifa kuu ya kazi ya mauzo ni kuwafanya wateja wajisikie vizuri, kama una tabia yoyote inayowafanya wateja wasijisikie vizuri pale wanapojihusisha na wewe hilo litakunyima sifa ya kazi.

Sifa ya pili ni upende kazi na kujituma. Tunaamini sana kwenye kazi na kukaa kwenye mchakato sahihi wa mauzo ambao utafundishwa. Mchakato huo unahusisha kutafuta wateja, kuwashawishi kununua na kuwafuatilia baada ya kununua. Muda wa kufanya kazi utakuwa masaa ya kawaida, lakini ufanisi utapimwa kwa majukumu ambayo mtu anayakamilisha kwenye muda wake wa kazi.

Sifa ya tatu ni kupenda kujifunza endelevu. Tunaamini kwenye kujifunza kila siku kama njia ya kuwa bora na kupiga hatua binafsi na hata kwenye kazi na biashara. Hivyo mtu anayeomba kazi hizi anapaswa kupenda kujifunza endelevu kupitia kusoma vitabu, kujiunga na kozi mbalimbali na njia nyingine za kujifunza ili kuwa bora kwenye mauzo. Pia kutakuwa na programu endelevu ya kujifunza kila siku na kujibu maswali ya quiz. Sehemu hii ya kujifunza kila siku na kujibu quiz ni ya lazima kama utapata kazi ya mauzo.

Sifa kuu ni hizo tatu tu, nyingine kama elimu, umri, kabila, jinsia hazina uzito. Hizo tatu zikiwepo kwa uhakika hizo nyingine zinakuwa za ziada tu.

Kwa watakaopata kazi, mafunzo ya kina ya mauzo yatatolewa mwanzoni na kwa uendelevu ili mtu kuweza kubobea kwenye mauzo.

Mfumo wa malipo.

Mfumo wa malipo kwenye kazi hizi za mauzo utakuwa wa fedha ya kujikimu na kamisheni.

Utakapopata kazi ya mauzo kutoka kwa wateja wetu, utalipwa mshahara wa kima cha chini kama sehemu ya kuweza kujikimu kimaisha.

Halafu sehemu kubwa ya malipo itatokana na kamisheni ambayo utaipata kulingana na kiwango cha mauzo unachofanya.

Kwa msingi huu, kiasi cha malipo hakina ukomo, kadiri unavyouza zaidi ndivyo unavyolipwa zaidi. Na kwa kuwa unaendelea kupata mafunzo ya mauzo, unakuwa na fursa ya kuingiza kipato kikubwa utakavyo.

Tuma wasifu wako.

Ili kuingia kwenye mchakato wa usaili na kuona kama utafaa kwa kazi ya mauzo kwa nafasi zilizopo, anza kwa kutuma wasifu wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Toa maelezo yenye kuonyesha kwa nini unafaa kwa kazi ya mauzo na ambatanisha ushahidi wa chochote unachoeleza kwenye wasifu wako. Utajibiwa hatua zinazofuata kupitia barua pepe yako.

Hitimisho.

AMKA CONSULTANTS tunaamini mauzo ndiyo moyo wa biashara, ambao unasukuma damu kwenye biashara ambayo ni fedha. Bila ya mauzo hakuna fedha na bila ya fedha hakuna biashara.

Tunaamini kila mfanyakazi aliye ndani ya biashara anapaswa kuchangia kwenye mauzo. Hivyo kila mfanyakazi wa biashara anapaswa kuwa na mafunzo sahihi ya mauzo.

Hivyo tunaendelea kufanya kazi kwa karibu na wafanyabiashara wadogo na wa kati ili kuwawezesha kujenga timu bora za mauzo zitakazowezesha biashara kufanya mauzo makubwa na kufanikiwa.

Kama wewe ni mfanyabiashara na ungependa kupata huduma ya mafunzo ya mauzo kwa wafanyakazi wako au ungependa kupata wafanyakazi bora wa mauzo tuwasiliane kwa email; amkaconsultants@gmail.com

Kwa waombaji wa kazi za mauzo tuma wasifu wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com

Kwa wafanyabiashara tuwasiliane moja kwa moja kwa email; amkaconsultants@gmail.com

Karibuni sana.

Kocha Dr Makirita Amani.

www.amkaconsultants.co.tz
Kwa nini hujawa wazi kuhusu gharama za kupata hiyo ajira? Waeleze ukweli kuwa Kabla ya kuajiriwa kuna gharama zifuatazo:
1. Pesa ya kujiunga: 30,000
2. Pesa ya dhamana: 250,000
3. Pesa ya mafunzo: 500,000
4. Usafiri, malazi, chakula na matibabu wakati mafunzo ni juu ya mtafuta ajira
5. Hakuna quarantee utapata kazi
7. Hawa ni wale waliowabwaga wale vijana kule moshi ila sasa wamekuja kivingine
 
Kampuni ya kumlipa mtu million tatu inakosaje e mail yenye domain yake hadi itumie e mail za Gmail?

Ndugu wananchi UKITANGAZIWA FURSA, JUA WEWE NDIO FURSA YENYEWE.
Utatumika kama via vya uzazi vya msichana mzuri asiye na akili ya kutafuta pesa.
Exactly I thought the same thing, kingine kama naweza kuuza why would i wanna work for you
 
Naanza kuamini kuwa great thinkers wanaelekea kuisha hapa jf.
Thread imeeleza vizuri sana nini kinatakiwa na watu wanaotakiwa.
Wapumbavu wanalipuka kuwa huyu ni tapeli bila hata kutaka kujua wasifu wake.
Dr Makirita ana makumi ya vitabu vinavyofundisha ujasiriamali na nidhamu ya fedha.
Soma kitabu chake cha chuo cha mauzo, elimu ya msingi ya fedha,
upate kujifunza na kumjua kabla hujahukumu.Pia anatoa Semina maeneo mengi nchini zihusuzo masuala ya fedha na biashara.
Ninyi wasomi watukufu wa humu jf jaribuni kutafuta maarifa kabla hamjatoa hukumu mbovu
 
Sifa pekee ya kupata kazi hizi ni kuwa bora na kuweza kuuza. Elimu, umri haijalishi, kinachoangaliwa ni uwezo mkubwa wa kuuza.
Kuna contradiction kidogo hapa mkuu, hii line na hii line vinagongana
Kama wewe ni mtu ambaye unajiona ukiweza kufanya vizuri kazi ya mauzo basi kuna nafasi nzuri ya wewe kupata kazi. Chukua hatua ya kutuma wasifu wako kwenda kwenye barua pepe; chuochamauzo@gmail.com
Sasa swali kwako; km sifa pekee ya kupata kazi ni kuwa bora na kuweza kuuza, km kinachoangaliwa ni uwezo mkubwa wa kuuza wasifu wa nini?! Si mtu aje tu aonyeshe kipaji chake cha kuwaletea wateja na uwezo wake wa kuuza ili muone je anakidhi vigezo?! Au mimi sijaelewa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom