Vijana tusing'ang'anie Dar

Hodi wadau, mimi ni mgeni kiuanachama ila ni mwenyeji kiusomaji. Leo Nina hoja yangu. Kama takuwa nimewakwaza watu samahanini sana, hoja yangu ni hii,

Kuna maisha nje ya Dar, huku mikoani kuna fursa za kutosha kwa mfano ukibahatika kufika Mpanda unaweza kushangaa vijana wadogo wanavyovuna mahindi na mazao engine.

Dar maisha magumu sana hasa kwa wale hali ya chini. Huko hewa yenyewe ya kugombania.

Watu hawalali wanakesha kwenye magari. Yani mtu saa kumi lazima uwe umeamka.

Joto, foleni, kelele yani watu wanastress balaa ukimgusa hata kwa bahati mbaya atawaka balaa.

Kwa leo naishia hapa karibuni Mpanda Kalila tulime mpunga.
Sehemu kubwa ya mada yako umeishia kuponda Dar badala ya kueleza hizo fursa unasema vijana wanavuna mahindi!
 
Ila ki ukweli watu wa dar wanaponda mda tu sasa mtu unakuta anakimbiza miaka 40 anakaa chumba kimoja na ka tv nchi 32 na subwoofa basi anajionaa katoboaaaa bank hana hata mia tigo pesa ama mpesa ana buku 20000.Jamani twendeni vijijini kuna vijana wamepambana na wako njema sana.
 
Hodi wadau, mimi ni mgeni kiuanachama ila ni mwenyeji kiusomaji. Leo Nina hoja yangu. Kama takuwa nimewakwaza watu samahanini sana, hoja yangu ni hii,

Kuna maisha nje ya Dar, huku mikoani kuna fursa za kutosha kwa mfano ukibahatika kufika Mpanda unaweza kushangaa vijana wadogo wanavyovuna mahindi na mazao engine.

Dar maisha magumu sana hasa kwa wale hali ya chini. Huko hewa yenyewe ya kugombania.

Watu hawalali wanakesha kwenye magari. Yani mtu saa kumi lazima uwe umeamka.

Joto, foleni, kelele yani watu wanastress balaa ukimgusa hata kwa bahati mbaya atawaka balaa.

Kwa leo naishia hapa karibuni Mpanda Kalila tulime mpunga.
Mavuno ya mpunga yatakuwa kuanzia lini kwa msimu huu 2024/2025?
 
Sehemu kubwa ya mada yako umeishia kuponda Dar badala ya kueleza hizo fursa unasema vijana wanavuna mahindi!
Cha kushangaza ulienda huko alikosema vijana Wana maisha magumu sana. Naenda off season ndio utajua vijana wanaishije huko
 
Joto, foleni, kelele yani watu wanastress balaa ukimgusa hata kwa bahati mbaya atawaka balaa.

Hapa nilipo bold no kweli kabisa, Vijana was Dark 90% Wana stress mbaya sana, wiki iliyopita nimepita maeneo ya Kkoo Msimbazi Mabinti wanakofanya ishu za express make-up . Kuna Dada aliniparamia Kwa hasira kisa nimeweka chupa ya maji kwenye fuko lake analowekea rasta zake ambazo hata hazitumiki tena. Vipande vipande. Aisee nilinshangaaa sana 🤣🤣🤣🤣
 
Hodi wadau, mimi ni mgeni kiuanachama ila ni mwenyeji kiusomaji. Leo Nina hoja yangu. Kama takuwa nimewakwaza watu samahanini sana, hoja yangu ni hii,

Kuna maisha nje ya Dar, huku mikoani kuna fursa za kutosha kwa mfano ukibahatika kufika Mpanda unaweza kushangaa vijana wadogo wanavyovuna mahindi na mazao engine.

Dar maisha magumu sana hasa kwa wale hali ya chini. Huko hewa yenyewe ya kugombania.

Watu hawalali wanakesha kwenye magari. Yani mtu saa kumi lazima uwe umeamka.

Joto, foleni, kelele yani watu wanastress balaa ukimgusa hata kwa bahati mbaya atawaka balaa.

Kwa leo naishia hapa karibuni Mpanda Kalila tulime mpunga.
Binadamu hatufanani

Mtu mwingine akija mkoani anaona hakuna fursa, hakuna vibe, kumepoa, baridi, nk

Wewe ishi unapopaweza.

Mimi nilikuwa nasema Dsm siwezi kuishi Kwa sababu ya kero ya usafiri na joto


Nikapata ajira Dsm, Kwa sasa sitamani kurudi mkoani.
 
umeongea jambo la maana sana na la msingi mno 🐒

jamaa mwaka wa 14 kang'ag'ana dar kazini mshahara la5 kwanza kabisaa haumtoshi, kodi kachumba kamoja kadogo kichizi, hawez nunua kiwanja wala boda boda akati vijana wadogo tu kijijini kwa kilimo na biashara wana mijumba na mahekalu ya hatari huko kijijini ana watoto wa kuzaa kama wote 🐒

town ni kupigwa jua tu na kujipoaza na kahawa baadae jioni 🐒
Mnadhani watu hatujawahi kuishi huko vijijini?

Acheni uongo hakuna hayo maekalu mnayoyasema, hao hao wa vijijini ndio wanaoongoza kukimbilia Dsm.

Hao watu wa kijijini ndio Kila siku wanatupiga virungu wakiaminj huku tumetoboa

Mafanikio ya vijana wachache usifanye yawe ya vijiji vyote


Hata huku Dsm Kuna vijana Wana maisha mazuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom