Vijana tusing'ang'anie Dar

Mkoanii labda uwende kwa plan maalum ila usipo enda kwa plan maalum utaganda kama mimi nilivyo ganda nipo mbeya now kwa ba mdog nimekuja kumsalimia lakinii sina inshu yoyote fursa zimekuwa ngumu kinom?
 
umeongea jambo la maana sana na la msingi mno

jamaa mwaka wa 14 kang'ag'ana dar kazini mshahara la5 kwanza kabisaa haumtoshi, kodi kachumba kamoja kadogo kichizi, hawez nunua kiwanja wala boda boda akati vijana wadogo tu kijijini kwa kilimo na biashara wana mijumba na mahekalu ya hatari huko kijijini ana watoto wa kuzaa kama wote

town ni kupigwa jua tu na kujipoaza na kahawa baadae jioni
Maisha ni mipango ya mtu binafsi, anaetobolea shamba haimanishi na kwa mwingine hivohivo
 
Ila ki ukweli watu wa dar wanaponda mda tu sasa mtu unakuta anakimbiza miaka 40 anakaa chumba kimoja na ka tv nchi 32 na subwoofa basi anajionaa katoboaaaa bank hana hata mia tigo pesa ama mpesa ana buku 20000.Jamani twendeni vijijini kuna vijana wamepambana na wako njema sana.
Wanafurahia wakienda Mkoa msibani kuambiwa WATU WA DAR INGIENI HUMO MLE CHAKULA basi yanafurahii

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Ila ki ukweli watu wa dar wanaponda mda tu sasa mtu unakuta anakimbiza miaka 40 anakaa chumba kimoja na ka tv nchi 32 na subwoofa basi anajionaa katoboaaaa bank hana hata mia tigo pesa ama mpesa ana buku 20000.Jamani twendeni vijijini kuna vijana wamepambana na wako njema sana.
Kweli mkuu Vijana wengi wa dar wanamaisha magumu mno, kuna kipindi nilienda kigogo dampo nilishangaa Vijana Wenye nguvu wakiokota Chakula majalalani na kula. Niliumia sanaa.

Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom