Hakuna kitu serious kwani unatokea jukwaa gani🤓Kumbe hujawajua members vema🤣🤣 wewe tema hoja tembea watu hawakwaziki kizembe afterall nothing is serious in jf
JidanganyeKwa Mtu Ambaye Amekaa Dar Es Salaam Pekee Hawezi Kuelewa.
Ila Kama Unatoka Na Kurudi Dar Es Salaam Kuna Time Unaona Kabisa Dar Es Salaam Si Mji Wa Kuishi.
Watu Wanaoishi Nje Ya Mji Huu Kiukweli Ndio Wanaishi.
karibu tarime tulime mazao ya kila aina tena misimu miwili kwa mwakaHodi wadau, mimi ni mgeni kiuanachama ila ni mwenyeji kiusomaji. Leo Nina hoja yangu. Kama takuwa nimewakwaza watu samahanini sana, hoja yangu ni hii,
Kuna maisha nje ya Dar, huku mikoani kuna fursa za kutosha kwa mfano ukibahatika kufika Mpanda unaweza kushangaa vijana wadogo wanavyovuna mahindi na mazao engine.
Dar maisha magumu sana hasa kwa wale hali ya chini. Huko hewa yenyewe ya kugombania.
Watu hawalali wanakesha kwenye magari. Yani mtu saa kumi lazima uwe umeamka.
Joto, foleni, kelele yani watu wanastress balaa ukimgusa hata kwa bahati mbaya atawaka balaa.
Kwa leo naishia hapa karibuni Mpanda Kalila tulime mpunga.
ogopaaJidanganye
Jidanganye
Uyole msosi kedeMby Sehemu gani
Unachhoongea ni cha kweli, ila siwezi kukuunga mkono maana sina mpango wa kuondoka Dar japo maisha yangu ni magumu.Hodi wadau, mimi ni mgeni kiuanachama ila ni mwenyeji kiusomaji. Leo Nina hoja yangu. Kama takuwa nimewakwaza watu samahanini sana, hoja yangu ni hii,
Kuna maisha nje ya Dar, huku mikoani kuna fursa za kutosha kwa mfano ukibahatika kufika Mpanda unaweza kushangaa vijana wadogo wanavyovuna mahindi na mazao engine.
Dar maisha magumu sana hasa kwa wale hali ya chini. Huko hewa yenyewe ya kugombania.
Watu hawalali wanakesha kwenye magari. Yani mtu saa kumi lazima uwe umeamka.
Joto, foleni, kelele yani watu wanastress balaa ukimgusa hata kwa bahati mbaya atawaka balaa.
Kwa leo naishia hapa karibuni Mpanda Kalila tulime mpunga.
Aisee sawa kabisa, nipo makasini hapa mda huu.. kumbe kuna mwenyeji wangu kabisa maeneo haya.Uyole msosi kede
Nimeteguka kiunoAisee sawa kabisa, nipo makasini hapa mda huu.. kumbe kuna mwenyeji wangu kabisa maeneo haya.
😃 inahusianaje Sasa.Nimeteguka kiuno
🤣🤣🤣ivoivo😃 inahusianaje Sasa.
😂😂🤣🤣🤣ivoivo
kuna tukio limetokea apa keko kwenye daladala dk 30 zloptawanastress balaa ukimgusa hata kwa bahati mbaya atawaka balaa.
Leo uko MbeyaKaribuni mbeya jamani
Una kapoint bichwaKwa Mtu Ambaye Amekaa Dar Es Salaam Pekee Hawezi Kuelewa.
Ila Kama Unatoka Na Kurudi Dar Es Salaam Kuna Time Unaona Kabisa Dar Es Salaam Si Mji Wa Kuishi.
Watu Wanaoishi Nje Ya Mji Huu Kiukweli Ndio Wanaishi.