sonjames
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 289
- 385
Hii ndiyo yenyewe ukiongezea na k vant ndogo lazima mtu akimbie. Niko vzr sana
Mkuu umenikumbusha kwa bibi.hasa huo mlenda.
wewe sio kabisa. Hebu tuwekee mchemsho wa nziPicha itakayofuata baada ya hii nitakuonesheni Mapishi mengine ya Chavi Chavi.
Inapatikana wapi hiyo mkuu tupate kuionja............Karibuni Mishikaki ya Nyoka.
Karibu sana Kiongozi.Mkuu yani huwa nikiaona Id yako hii ya HARUFU na yule jamaa anajiita washawasha mie huwa ni kicheko hata kama sikucheka wiki nzima huwa nasitukia nimecheka
.Inapatikana wapi hiyo mkuu tupate kuionja............
Kati ya vyote hiki ndo kimenitoa udenda...
Karibuni cha usiku !