Unaponyesha kifua, wakati Corona ulitumika sana...Kuna mtu aliwahi kuniambia mmea huu ni dawa ya maradhi mengi mno naomba mwenye kuufahamu atujuze
Ndulele pia ni dawa..unaitoboa unaivaa...Kumaliza au kusimamisha tatizo hili na pengine ukucha mpya utaanza kutoka chukua vinegar kiasi changanya na bicarbonate katika maji moto na within palipo hathiriwa utakuja kushukuru hapa
Jina la Kiswahili ni nini!?
Elezea na matumiziHaya ni majani yaliyotuzunguka majumbani mwetu ndiyo yanayoitwa # Paragis grass as mentioned in thread aboves
Huu sie kikwetu tunaita Mzughwa, huu unatibu homa, tumbo, na pia inakata nyongo tumboni kwa haraka sanaKuna mtu aliwahi kuniambia mmea huu ni dawa ya maradhi mengi mno naomba mwenye kuufahamu atujuze
Yeah ni dawa ya malazi mengi,degedege,kama umeteguka au maumivu unachukuwa hayo majani unayaweka katika moto then unakanda,Kuna mtu aliwahi kuniambia mmea huu ni dawa ya maradhi mengi mno naomba mwenye kuufahamu atujuze
Acheni mungu aitwe mungu kila mmea una sababu za kuumbwa kwake na siri zake kwa hesabu kamilifu,.Mimea yote Mungu aliyoiweka jirani na makazi ya mwanadamu Ina makusudi yake