Asante kwa ushauri wako Mr.Mbeki nitaufanyia kazi. Na vipi kuhusu Ford (focus) na hiyo Peugeot (307)? spea?Polo au VW sioni kama ni gari nzuri kwa nchi kama Tanzania,naona nyingi zinaungua ukisafiri long distance, nimewahi kuwa na Suzuki Escudo nafikiri ni nzuri, Toyota the best, Subaru Forester not sure lakini ni gari nzuri vilevile, ila kama unataka ukaishi Dar usinunue gari mzee, sidhani kama Dar ni mahali pazuri pa kuendesha gari yako kwa sababu ya traffic.
Asante kwa ushauri wako Mr.Mbeki nitaufanyia kazi. Na vipi kuhusu Ford (focus) na hiyo Peugeot (307)? spea?
Ngoja nisubiri na maoni ya wadau wengine. Huwa ninaishi Dar, ila kwa jinsi mizunguko yangu ilivyo mingi kutokana na kazi zangu kwa kweli suala la gari halikwepeki.
Mkuu hiyo gari USIPIME, ni moto.Polo au VW sioni kama ni gari nzuri kwa nchi kama Tanzania,naona nyingi zinaungua ukisafiri long distance, nimewahi kuwa na Suzuki Escudo nafikiri ni nzuri, Toyota the best, Subaru Forester not sure lakini ni gari nzuri vilevile, ila kama unataka ukaishi Dar usinunue gari mzee, sidhani kama Dar ni mahali pazuri pa kuendesha gari yako kwa sababu ya traffic.
Thanks mkuu. Ila kuna watu wamenitisha kwamba eti jamaa wanacalculate kwa kuangalia bei ya hiyo gari mpya kwa sasa, wanatafuta deprecion, halafu ndo wanafanyia mahesabu hapo. Inasemekana gharama uliyonunulia hawahesabii. Hapo ndo pananitia uoga kidogo.Mkubwa sina uzoefu sana na hili ila nitajibu kutokana na nilivyosikia kwa wadau mbalimbali, kuwa gharama za kulitoa pale bandarini andaa mahela yanayokaribia hela ulonunulia au nusu ya bei ulonunulia, hope wengine watakuja kuongezea hapo wenye ujuzi zaidi
Mwenzenu ninataka kuagiza gari, but nataka the most fuel economical car kwa kuzingatia hali ya foleni nchini Tanzania. Sasa nina option hizi mbili. Mitsubishi Pajero Jr (cc 1100) ya 1995 CIF yake ni around 2000, Na nyingine ni Suzuki Kei (cc 660) ya mwaka 2050 CIF yake ni 2000.
Ninajua kwamba kutakuwa na ile dumping cost, but kwangu ni nafuu, kwa kuzingatia kwamba magari aina hii ya mwaka 2002 bei zake zipo juu sana. Sasa ninaomba mnishauri ipi kati ya hizi ni better? Pili kwa magari kama haya inaweza ikanigharimu bei gani kuyatoa pale bandarini? maana ile calculator ya TRA imenishinda kuitumia.
Nitashukuru sana kwa ushauri wenu.