Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,548
- 51,570
Nipo Dar es Salaam, na kuna mvua + Mafuriko ila nafuatilia yanayoendelea uko China kwenye Beijing Auto Show ya mwaka 2024, ilioanza tar 25 April hadi 4 May.
Hii Beijing Auto Show kwa jina jingine inaitwa China Auto Show ndio show kubwa kulizo zote Duniani ya magari ambapo makampuni mbalimbali yanazindua nyuma vyao vya mwaka unaofuatia (au inayofuatia).
Maonesho aya yanafanyika kila baada ya miaka miwili. Kwahiyo, yaliopita yalikua 2022 na sasa tupo ya 2024.
Makampuni mbalimbali ya magari Duniani yanazindua magari na technology zao officially.
Toyota
Giant kutoka Japan kazindua gari mbili za umeme. Toyota bZ3X na bZ3C. Utatusamehe kwa majina ndio kaamua kuyaita ivo.
bZ3C ni crossover iliyotengenezwa kwa ushirikiano wa Toyota na Kampuni la Kichina linalofanya vizuri kwenye sekta ya magari ya umeme BYD.
Na huku gari la bZ3X lenyewe ni compact SUV ambalo Toyota wanasema "limetengenezwa kwaajili ya kulenga vijana wa generation Z kutoka China".
Magari yote mawili Toyota amesema yatakuja na Smart Drive Assistant System na yatakua na cockpit ya kisasa zaidi, sokoni yataingia mwaka huu 2024.
Hii Beijing Auto Show kwa jina jingine inaitwa China Auto Show ndio show kubwa kulizo zote Duniani ya magari ambapo makampuni mbalimbali yanazindua nyuma vyao vya mwaka unaofuatia (au inayofuatia).
Maonesho aya yanafanyika kila baada ya miaka miwili. Kwahiyo, yaliopita yalikua 2022 na sasa tupo ya 2024.
Makampuni mbalimbali ya magari Duniani yanazindua magari na technology zao officially.
Toyota
Giant kutoka Japan kazindua gari mbili za umeme. Toyota bZ3X na bZ3C. Utatusamehe kwa majina ndio kaamua kuyaita ivo.
bZ3C ni crossover iliyotengenezwa kwa ushirikiano wa Toyota na Kampuni la Kichina linalofanya vizuri kwenye sekta ya magari ya umeme BYD.
Na huku gari la bZ3X lenyewe ni compact SUV ambalo Toyota wanasema "limetengenezwa kwaajili ya kulenga vijana wa generation Z kutoka China".
Magari yote mawili Toyota amesema yatakuja na Smart Drive Assistant System na yatakua na cockpit ya kisasa zaidi, sokoni yataingia mwaka huu 2024.