Bila hela ya madafu ya tiharaei.Wanasema itaanzia £40,000/=
Tutasubiri ipoe ipoe mkuu
Xiaomi’s factory produces 40 electric cars every hour — or, one car in 76 seconds — without a single human worker.Aisee Mchina shikamoo.
Nchi za EU wameweka Sheria ngumu zaidi Kwa magari ya china yasitawale soko Lao la ndani maana wanajua hawatakuwa na ishu tena kwa magari Yao..Toyota na kampuni za Ulaya na Marekani wamechelewa sana kwenye EV
Mchina kwa sasa anatawala kwenye EV
Ni kweliNchi za EU wameweka Sheria ngumu zaidi Kwa magari ya china yasitawale soko Lao la ndani maana wanajua hawatakuwa na ishu tena kwa magari Yao..
Ufaransa wamefuta ushuru wa kuingiza magari ya umeme lkn Kwa magari ya china ni ngumu kuingiza ufaransa Hadi ukanunulie Spain na Italy ndipo uingize ufaransa.
Mchina ni balaa Kwa dunia yote
Chery ni balaa hii kampuni Wana ndinga zinatishaNi kweli
Tatizo wao wanazuia Mchina anazidi kuteka soko lanmataifa mengine mfano Latin America, South East Asia na Ulaya Mashariki
BYD wamefungua kiwanda Hungary
Chery wamefungua Thailand
Chery watafungua Spain
BYD watafungua kiwanda Mexico
Umeona mchezo unavyoenda
Au ata East Africa aisee. Wakiuza kwa bei rafiki kitu gani kujaribu.BYD, XIAOMI au kampuni yoyote ya magari ije pia iwekeze Tanzania aisee. Dah Xiaomi mbaya sana kwenye EV yaani najua kabisa Elon Musk kila akilala lazima aote gari za Xiaomi zikiwa zina mkimbiza 😂
Amazing..hawa jamaa wametuacha mbali sana sijui nchi zetu zitawezaje kufika kwenye tech kama hizi au hata kama upo mpango kwenda kwenye robotic manufacturingXiaomi’s factory produces 40 electric cars every hour — or, one car in 76 seconds — without a single human worker.
View attachment 2974804