under timer
JF-Expert Member
- Dec 25, 2021
- 267
- 384
Leo hii ukienda hospitali za seriakali afu ndo ujauzito wa kwanza ukitoka upasuaji haujakuhusu basi mshukulu Mungu.
Enyi watu wa afya wahurumieni akina mama upasuaji usio wa lazima ni faida kwenu sawa., kwa kuwa mnapata posho na uzoefu pia ila madhara ni makubwa kwa wamama majumbani kwao.
UZOEFU WA UPASUAJI KWA MTU ASIYEHITAJI KUPASULIWA HII SIO HAKI KABISA.
Enyi watu wa afya wahurumieni akina mama upasuaji usio wa lazima ni faida kwenu sawa., kwa kuwa mnapata posho na uzoefu pia ila madhara ni makubwa kwa wamama majumbani kwao.
UZOEFU WA UPASUAJI KWA MTU ASIYEHITAJI KUPASULIWA HII SIO HAKI KABISA.