Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 1,199
- 2,865
Watu wana stress za maishaHv kweli wewe ni mhudumu wa afya? Maana unatoa majibu kama matusi
Watu wana stress za maishaHv kweli wewe ni mhudumu wa afya? Maana unatoa majibu kama matusi
Nakubali mkuuWatu wana stress za maisha
Mkuu nionyeshe na unitag picha ya mahali palipopasuliwa kupitisha mtoto kama hapaachi alama ya kupunguza mvuto wa muonekano wa mke! Kumbuka kunitag vinginevyo sitaona mbwangaliMkuu hapo mwishoni uliyoyasema si kweli. Siku hizi operation sio kama zamani kovu lake ni mstari mdogo sana na limekaa mlalo sio wima kiasi kwamba haliharibu muonekano, upande wa kuwa na tumbo kubwa huo ni uzembe wa mama wala haihusiani na operation na pia mama anaweza kuzaa watoto mpaka 4 au 5 kwa operation za siku hizi
NB: Operation zinakera tu kwasababu zinamchukulia mama mida mwingi wa kurecover.
Una uhakika gani unauzito alionao haukuhitaji upasuaji?Hat
Siongelei vifo bali upasuaji usio wa lazma, nielewe tafadhali
Ndo kilichobakKama unaona kero zalia nyumbani.
Unajuaje wewe kuwa sio wa lazima?Hat
Siongelei vifo bali upasuaji usio wa lazma, nielewe tafadhali
Mmh.....Unajuaje wewe kuwa sio wa lazima?
Mbona ni kazi rahisi tu, kabla hajapasuliwa ndugu wa karibu anaarifiwa ili aweze kujaza fomu ya ridhaa,
Wewe kama unaona ni kitu ambacho sio cha lazima, haulazimishi jaza fomu ya kukataa kufanyiwa upasuaji usio wa lazima ili kwamba lolote litakalompata mgonjwa wako na mtoto wao hawatahusik.
Angejua jinsi op inauma? Hakuna mtu anaipenda sema .hakuna anaetaka kufa au kupoteza mtotoKama wewe sio mtaalam wa afya na sio mwanamama basi nyamaza na uendelee kunywa wanzuki yako,
Acha sisi tushukuru vifo vya wamama na watoto vilivyopungua.
Mkuu, karibu sana hospital Tena kitengo cha akina mama ndo utaelewa maana yakeMmh.....
Mimi nilishuhudia,nurse midwife akimzuia dokta uchwara kuwa "Huyu si wa operation naweza msaidia akajifungua salama"
Dr uchwara akasusa"Akifa mama/mtoto utawajibika"
Yule nurse alipambana mama&mtoto wakatoka salama.
Jiulize ni wangapi wanapigwa visu isivyostahili?
Mbona previously wengi walijifungua salama tu bila operation?
Si kila mzazi ni wa operation!
Tuna madaktari wa hovyo sana siku hizi.
Tena wasio na uzoefu,na wamepewa dhamana kubwa.
Ambao kutibu mgonjwa tu mpaka wa google.
Hili nalo hulijui?
Una makasiriko sana utakua single mother wewe .una uchungu wa Op na kukimbiwaNimuelewe mtu ambaye sio daktari wala sio mwanamke, kapiga zake makande na uji anakuja kubeua humu halafu unataka nimuelewe nini labda,
Wiki ya jana tumepokea misiba minne ya watoto ambao mama zao walibisha kufanya upasuaji na kutaka kupush matokeo yake wamepoteza watoto, watoto wanne hao ni wa watu ninaowajua je kwengine vipi!? Huyu mmoja laiti angekua karibu yangu ningempiga makofi, mtoto ana kilo nne na nusu yeye anafosi kupush, madaktari wanamwambia apasuliwe anakataa matokeo yake kashindwa kupush mtoto kachelewa kutoka kafa na bado kachanwa chanwa kwa ujinga huo mnaolishana hapa eti ooh OP ni biashara, OP wanawake hawana marinda na ujinga ujinga mwingine
Popote ulipo dada Dream Queen chukua soda / bia kunywa malipo kwa mimi .Kama wewe sio mtaalam wa afya na sio mwanamama basi nyamaza na uendelee kunywa wanzuki yako,
Acha sisi tushukuru vifo vya wamama na watoto vilivyopungua.
Labda mama ako ndie singo mama, mimi ni mke na ni mama mwenye watoto kadhaa, wewe ambae hujawahi hata kutungisha mwanamke mimba ndie mwenye makasiriko, ukisoma michango ya wanaokandia op ni hawana hata watoto wa kusingiziwa wazee wa kupanda mnazi kwa mkonoUna makasiriko sana utakua single mother wewe .una uchungu wa Op na kukimbiwa
Karibu sana kaka Menemene, nimekunywa Pepsi Big hapa kwa mpembaPopote ulipo dada Dream Queen chukua soda / bia kunywa malipo kwa mimi .
Ujuaji ukiwazidi na wengi wao hawana hata hao wanawake wa kuwatungisha hizo mimba wanataka kutuchosha tu hapaAngejua jinsi op inauma? Hakuna mtu anaipenda sema .hakuna anaetaka kufa au kupoteza mtoto
Mkuu, karibu sana hospital Tena kitengo cha akina mama ndo utaelewa maana yake
Kuongezeka kwa idadi ya kujifungua kwa kisu ni mambo mengi yanachangia
1. Nimeona wamama wao wenyewe wakitaka kujifungua kwa kisu, ni vle hawataki complications za kusukuma, kutanua uke,...
2. Msukumo (presha) kubwa ambayo serikali inaweka kwenye huduma ya akina mama
Hii nchi ni Bora mgonjwa wa sukari afariki(hata kama imetokana na uzembe) kuliko mama/mtoto afariki wakati wa kujifungua. Kwahyo watu wa afya wanaona ni Bora kufanya operation kuliko kuhatarisha maisha ha mama/mtoto
3. Medical reasons Kwa ajili ya cesarian section kama mtoto kuwa mkubwa, presha/kifafa cha mimba, kisukari cha mimba,
4. Wamama wengi wanabeba mimba katika umri mkubwa ambayo ni risk ya kupata Post partum hemorrhage, Moja Kati ya sababu kubwa ya vifo vya akina mama, kwahyo kuepusha hayo, ni Bora kuzaa kwa kisu
5. Grand multiparity. Unakuta mama amezaa mara 8, misuli ya mji wa mimba imeshachoka. Kwahyo kusukuma inakua ni ngumu
6. Previous scar. Upasuaji wowote katika mji wa mimba mfano, kujifungua kwa operation, kuondolewa uvimbe...unaacha kovu(scar) kwnwye uterus(mji wa mimba) hivyo ni hatari sana mama kuja kujifungua kawaida maana mfuko utakua kwenye hatari ya kupasuka (uterine rupture. Na hvyo njia inayobaki ni kujifungua kwa kisu Tena na Tena