Upasuaji kwa wajawazito imekuwa kama lazima, ni kero kubwa

Mkuu kafanye research tena ....niko Hospital X ya serikali... Cesarean Section (C/S) tunazofanya kwa siku ni 30-40 na zote sio kua tumesema basi tuu tupasue zote zinafanyika kwa protocol...ninachotaka kusema hizi procedure wala sishabikii kabisa nazichukia sema ndio hivyo ni kazi
 
Leo hii ukienda hospitali za seriakali afu ndo ujauzito wa kwanza ukitoka upasuaji haujakuhusu basi mshukulu Mungu.

Enyi watu wa afya wahurumieni akina mama upasuaji usio wa lazima ni faida kwenu sawa., kwa kuwa mnapata posho na uzoefu pia ila madhara ni makubwa kwa wamama majumbani kwao.

UZOEFU WA UPASUAJI KWA MTU ASIYEHITAJI KUPASULIWA HII SIO HAKI KABISA.
wengine wanapasuliwa kwasababu ya pesa tu, ukizalisha kwa kupasuliwa unapata pesa nyingi zaidi. wengine ni complication zenye justification. wengine wameingiliwa kinyume hadi wanaona noma kupush ndio wanaomba wenyewe wapasuliwe. kuna mengi sana, tusilaumu tu, vingine ni muhimu kupasua kuokoa maisha.
 
Kwahiyo kujifungua mpaka kisu? Kuna siri nyingi nyuma ya wadada kutaka kujifungua kwa operation! Wengi hawana marinda kwa kuungiliwa kinyume na maumbile ya kwamba wakisukuma pressure inatoa "nnya" badala ya mtoto! Wengine hawataki kusikia maumivu/uchungu! Wengine tamaa ya hela ya operation, n.k! Hata hivyo operation sio nzuri kama unategemea kuzaa zaidi ya mara moja! Pia ulifanya tumbo kuwa kubwa! Tatu alama ya mshono uondoa mvuto wa mwonekano wa mwanamke!
Nimekuelewa pote ila hapo mwisho kwenye alama ya mshono napinga siku hizi wanashona vizuri sana alama inakua kwa mbali sana nimeshuhudia mara kadhaa, japo mshono ni mshono ila hazina alama kama zile tulizokuwa tunazijua
 
Kwahiyo kujifungua mpaka kisu? Kuna siri nyingi nyuma ya wadada kutaka kujifungua kwa operation! Wengi hawana marinda kwa kuingiliwa kinyume na maumbile ya kwamba wakisukuma pressure inatoa "nnya" badala ya mtoto! Wengine hawataki kusikia maumivu/uchungu! Wengine tamaa ya hela ya operation, n.k! Hata hivyo operation sio nzuri kama unategemea kuzaa zaidi ya mara moja! Pia ulifanya tumbo kuwa kubwa! Tatu alama ya mshono uondoa mvuto wa mwonekano wa mwanamke!
Wewe ulishawahi kubeba mimba na ukajifungua? Kama huijui mimba na huijui leba basi kaa kimya na uendelee kuwaombea wanawake wote wajifungue salama,

Halafu huo ujinga mnaolishana wa Marinda sijui nini inaonesha kabisa jinsi ugali na maharage ulivyoathiri Watanzania wengi hadi IQ zinakua ndogo.
 
Soma umuelewe vizuri.
Nimuelewe mtu ambaye sio daktari wala sio mwanamke, kapiga zake makande na uji anakuja kubeua humu halafu unataka nimuelewe nini labda,

Wiki ya jana tumepokea misiba minne ya watoto ambao mama zao walibisha kufanya upasuaji na kutaka kupush matokeo yake wamepoteza watoto, watoto wanne hao ni wa watu ninaowajua je kwengine vipi!? Huyu mmoja laiti angekua karibu yangu ningempiga makofi, mtoto ana kilo nne na nusu yeye anafosi kupush, madaktari wanamwambia apasuliwe anakataa matokeo yake kashindwa kupush mtoto kachelewa kutoka kafa na bado kachanwa chanwa kwa ujinga huo mnaolishana hapa eti ooh OP ni biashara, OP wanawake hawana marinda na ujinga ujinga mwingine
 
Nimuelewe mtu ambaye sio daktari wala sio mwanamke, kapiga zake makande na uji anakuja kubeua humu halafu unataka nimuelewe nini labda,

Wiki ya jana tumepokea misiba minne ya watoto ambao mama zao walibisha kufanya upasuaji na kutaka kupush matokeo yake wamepoteza watoto, watoto wanne hao ni wa watu ninaowajua je kwengine vipi!? Huyu mmoja laiti angekua karibu yangu ningempiga makofi, mtoto ana kilo nne na nusu yeye anafosi kupush, madaktari wanamwambia apasuliwe anakataa matokeo yake kashindwa kupush mtoto kachelewa kutoka kafa na bado kachanwa chanwa kwa ujinga huo mnaolishana hapa eti ooh OP ni biashara, OP wanawake hawana marinda na ujinga ujinga mwingine
Pole.

Msiwe mnafanya kinyume na maumbile, kipindi cha ujauzito fuateni ushauri wa watalaam wa afya mtajifungua salama.
 
Nashukuru wale madaktari waliniokolea mwanangu atakam alivunja kioo na kutokea dirishani.
 
Kwahiyo kujifungua mpaka kisu? Kuna siri nyingi nyuma ya wadada kutaka kujifungua kwa operation! Wengi hawana marinda kwa kuingiliwa kinyume na maumbile ya kwamba wakisukuma pressure inatoa "nnya" badala ya mtoto! Wengine hawataki kusikia maumivu/uchungu! Wengine tamaa ya hela ya operation, n.k! Hata hivyo operation sio nzuri kama unategemea kuzaa zaidi ya mara moja! Pia ulifanya tumbo kuwa kubwa! Tatu alama ya mshono uondoa mvuto wa mwonekano wa mwanamke!
Mkuu hapo mwishoni uliyoyasema si kweli. Siku hizi operation sio kama zamani kovu lake ni mstari mdogo sana na limekaa mlalo sio wima kiasi kwamba haliharibu muonekano, upande wa kuwa na tumbo kubwa huo ni uzembe wa mama wala haihusiani na operation na pia mama anaweza kuzaa watoto mpaka 4 au 5 kwa operation za siku hizi
NB: Operation zinakera tu kwasababu zinamchukulia mama mida mwingi wa kurecover.
 
Wewe ulishawahi kubeba mimba na ukajifungua? Kama huijui mimba na huijui leba basi kaa kimya na uendelee kuwaombea wanawake wote wajifungue salama,

Halafu huo ujinga mnaolishana wa Marinda sijui nini inaonesha kabisa jinsi ugali na maharage ulivyoathiri Watanzania wengi hadi IQ zinakua ndogo.
Hv kweli wewe ni mhudumu wa afya? Maana unatoa majibu kama matusi
 
Nimuelewe mtu ambaye sio daktari wala sio mwanamke, kapiga zake makande na uji anakuja kubeua humu halafu unataka nimuelewe nini labda,

Wiki ya jana tumepokea misiba minne ya watoto ambao mama zao walibisha kufanya upasuaji na kutaka kupush matokeo yake wamepoteza watoto, watoto wanne hao ni wa watu ninaowajua je kwengine vipi!? Huyu mmoja laiti angekua karibu yangu ningempiga makofi, mtoto ana kilo nne na nusu yeye anafosi kupush, madaktari wanamwambia apasuliwe anakataa matokeo yake kashindwa kupush mtoto kachelewa kutoka kafa na bado kachanwa chanwa kwa ujinga huo mnaolishana hapa eti ooh OP ni biashara, OP wanawake hawana marinda na ujinga ujinga mwingine
Tunaitaji kutatua hii changamoto ya upasuaji isiwe kma utamaduni sasa haya matusi yako hayasaidii chochote, au wewe unafurah wenzio kupasuliwa kila leo kisa unaokoa vifo

Quote Reply
Report Edit
 
Back
Top Bottom