under timer
JF-Expert Member
- Dec 25, 2021
- 267
- 384
- Thread starter
- #41
SawaKiuhalisia sio uzazi wa kwanza tu
SawaKiuhalisia sio uzazi wa kwanza tu
wengine wanapasuliwa kwasababu ya pesa tu, ukizalisha kwa kupasuliwa unapata pesa nyingi zaidi. wengine ni complication zenye justification. wengine wameingiliwa kinyume hadi wanaona noma kupush ndio wanaomba wenyewe wapasuliwe. kuna mengi sana, tusilaumu tu, vingine ni muhimu kupasua kuokoa maisha.Leo hii ukienda hospitali za seriakali afu ndo ujauzito wa kwanza ukitoka upasuaji haujakuhusu basi mshukulu Mungu.
Enyi watu wa afya wahurumieni akina mama upasuaji usio wa lazima ni faida kwenu sawa., kwa kuwa mnapata posho na uzoefu pia ila madhara ni makubwa kwa wamama majumbani kwao.
UZOEFU WA UPASUAJI KWA MTU ASIYEHITAJI KUPASULIWA HII SIO HAKI KABISA.
Sababu kubwa ni nini inakua Dr?Mkuu kafanye research tena ....niko Hospital X ya serikali... Cesarean Section (C/S) tunazofanya kwa siku ni 30-40 na zote sio kua tumesema basi tuu tupasue zote zinafanyika kwa protocol...ninachotaka kusema hizi procedure wala sishabikii kabisa nazichukia sema ndio hivyo ni kazi
Nimekuelewa pote ila hapo mwisho kwenye alama ya mshono napinga siku hizi wanashona vizuri sana alama inakua kwa mbali sana nimeshuhudia mara kadhaa, japo mshono ni mshono ila hazina alama kama zile tulizokuwa tunazijuaKwahiyo kujifungua mpaka kisu? Kuna siri nyingi nyuma ya wadada kutaka kujifungua kwa operation! Wengi hawana marinda kwa kuungiliwa kinyume na maumbile ya kwamba wakisukuma pressure inatoa "nnya" badala ya mtoto! Wengine hawataki kusikia maumivu/uchungu! Wengine tamaa ya hela ya operation, n.k! Hata hivyo operation sio nzuri kama unategemea kuzaa zaidi ya mara moja! Pia ulifanya tumbo kuwa kubwa! Tatu alama ya mshono uondoa mvuto wa mwonekano wa mwanamke!
Haya mambo sasa kwa asilimia kubwa utayakuta Private Hospital maana charges zina range mpaka 800K ..hiyo ni procedure fee bado gharama zingine za dawa n.k ..lakini pia kwa walengwa wenyewe bado wanataka sana hii C/S kama mdau hapo juu alivyosema... bila kujua madhara yake ya badae.Sababu kubwa ni nini inakua Dr?
Umemwelewa lakini alicho lenga?Kama wewe sio mtaalam wa afya na sio mwanamama basi nyamaza na uendelee kunywa wanzuki yako,
Acha sisi tushukuru vifo vya wamama na watoto vilivyopungua.
seriously!!?❤️It...,uko very smart cute✌️
Yeah we hujui tu....uzazi sikuhizi ni very complicated mkuuseriously!!?
Soma umuelewe vizuri.Kama wewe sio mtaalam wa afya na sio mwanamama basi nyamaza na uendelee kunywa wanzuki yako,
Acha sisi tushukuru vifo vya wamama na watoto vilivyopungua.
Wewe ulishawahi kubeba mimba na ukajifungua? Kama huijui mimba na huijui leba basi kaa kimya na uendelee kuwaombea wanawake wote wajifungue salama,Kwahiyo kujifungua mpaka kisu? Kuna siri nyingi nyuma ya wadada kutaka kujifungua kwa operation! Wengi hawana marinda kwa kuingiliwa kinyume na maumbile ya kwamba wakisukuma pressure inatoa "nnya" badala ya mtoto! Wengine hawataki kusikia maumivu/uchungu! Wengine tamaa ya hela ya operation, n.k! Hata hivyo operation sio nzuri kama unategemea kuzaa zaidi ya mara moja! Pia ulifanya tumbo kuwa kubwa! Tatu alama ya mshono uondoa mvuto wa mwonekano wa mwanamke!
Nimuelewe mtu ambaye sio daktari wala sio mwanamke, kapiga zake makande na uji anakuja kubeua humu halafu unataka nimuelewe nini labda,Soma umuelewe vizuri.
Leo hii ukienda hospitali za seriakali afu ndo ujauzito wa kwanza ukitoka upasuaji haujakuhusu basi mshukulu Mungu.
Enyi watu wa afya wahurumieni akina mama upasuaji usio wa lazima ni faida kwenu sawa., kwa kuwa mnapata posho na uzoefu pia ila madhara ni makubwa kwa wamama majumbani kwao.
UZOEFU WA UPASUAJI KWA MTU ASIYEHITAJI KUPASULIWA HII SIO HAKI KABISA.
Pole.Nimuelewe mtu ambaye sio daktari wala sio mwanamke, kapiga zake makande na uji anakuja kubeua humu halafu unataka nimuelewe nini labda,
Wiki ya jana tumepokea misiba minne ya watoto ambao mama zao walibisha kufanya upasuaji na kutaka kupush matokeo yake wamepoteza watoto, watoto wanne hao ni wa watu ninaowajua je kwengine vipi!? Huyu mmoja laiti angekua karibu yangu ningempiga makofi, mtoto ana kilo nne na nusu yeye anafosi kupush, madaktari wanamwambia apasuliwe anakataa matokeo yake kashindwa kupush mtoto kachelewa kutoka kafa na bado kachanwa chanwa kwa ujinga huo mnaolishana hapa eti ooh OP ni biashara, OP wanawake hawana marinda na ujinga ujinga mwingine
Haya sawa mi naendelea na wanzuki yangu lakini...Kama wewe sio mtaalam wa afya na sio mwanamama basi nyamaza na uendelee kunywa wanzuki yako,
Acha sisi tushukuru vifo vya wamama na watoto vilivyopungua.
Mkuu hapo mwishoni uliyoyasema si kweli. Siku hizi operation sio kama zamani kovu lake ni mstari mdogo sana na limekaa mlalo sio wima kiasi kwamba haliharibu muonekano, upande wa kuwa na tumbo kubwa huo ni uzembe wa mama wala haihusiani na operation na pia mama anaweza kuzaa watoto mpaka 4 au 5 kwa operation za siku hiziKwahiyo kujifungua mpaka kisu? Kuna siri nyingi nyuma ya wadada kutaka kujifungua kwa operation! Wengi hawana marinda kwa kuingiliwa kinyume na maumbile ya kwamba wakisukuma pressure inatoa "nnya" badala ya mtoto! Wengine hawataki kusikia maumivu/uchungu! Wengine tamaa ya hela ya operation, n.k! Hata hivyo operation sio nzuri kama unategemea kuzaa zaidi ya mara moja! Pia ulifanya tumbo kuwa kubwa! Tatu alama ya mshono uondoa mvuto wa mwonekano wa mwanamke!
Hv kweli wewe ni mhudumu wa afya? Maana unatoa majibu kama matusiWewe ulishawahi kubeba mimba na ukajifungua? Kama huijui mimba na huijui leba basi kaa kimya na uendelee kuwaombea wanawake wote wajifungue salama,
Halafu huo ujinga mnaolishana wa Marinda sijui nini inaonesha kabisa jinsi ugali na maharage ulivyoathiri Watanzania wengi hadi IQ zinakua ndogo.
Nimuelewe mtu ambaye sio daktari wala sio mwanamke, kapiga zake makande na uji anakuja kubeua humu halafu unataka nimuelewe nini labda,
Wiki ya jana tumepokea misiba minne ya watoto ambao mama zao walibisha kufanya upasuaji na kutaka kupush matokeo yake wamepoteza watoto, watoto wanne hao ni wa watu ninaowajua je kwengine vipi!? Huyu mmoja laiti angekua karibu yangu ningempiga makofi, mtoto ana kilo nne na nusu yeye anafosi kupush, madaktari wanamwambia apasuliwe anakataa matokeo yake kashindwa kupush mtoto kachelewa kutoka kafa na bado kachanwa chanwa kwa ujinga huo mnaolishana hapa eti ooh OP ni biashara, OP wanawake hawana marinda na ujinga ujinga mwingine