Ukigeu geu wa Israel kuelekea makubaliano ya kusimamisha vita, kikwazo kwa Amani Gaza!

1. Sina taabu na substance, nina taabu na ushabiki ndani ya andiko lako. Zingatia hapa Palestina ni mhanga tokea 1948 huko. Oct 7 haikutokea hewani, kuna historia yake labda kujitia hamnazo!

2. Kwamba Bibi anadhani hivyo sina taabu ila kuwa Kila mtu ata perceive hivyo? Labda awe mburula aina ya MK254, wewe na wa aina hiyo.

3. Kuhusu HAMAS na wahanga wote, hao majina yao yataandikwa vitabuni Kwa wino wa dhahabu. Pia daima mioyoni mwa wapenda haki wote popote walipo na hasa wapalestina:

"kama mashujaa kabisa ambao hawakuwa na chembe ya ubinafsi."

View attachment 2985028

4. Hebu watembelee hawa kujiridhisha kuhusiana na waisiraeli na Bibi na hasa kama wewe si mmoja wao; halafu utuletee mrejesho, ikikupendeza:

View attachment 2985029
View attachment 2985030

5. Legacy gani anaacha Bibi Kwa hao?

6. Kwa hakika kama kwako Bibi shujaa kabisa, wewe na kina MK254 mtakuwa ni wale wale:

Shivji: Chimbuko la wasiokuwa na Hoja au uthubutu wa Kuhoji, linalo ligharimu Taifa (Part 1)

7. Ila nisiache kusema, ushabiki ukiwamo wa Simba na Yanga, udini, watu au vyama kwao vijiweni!
Salalaleee pole sana tatizo historia yako unayoijua wewe kwa mzozo wa Israel/Palestine kwa ufahamu wako inaanza 1948 kwa hiyo kamwe hatuwezi kuwa na uelewa sawa, huu ni mgogoro wa mamia ya miaka nyuma ya hiyo 1948 na kwa taarifa yako mwisho wa mgogoro huo unajulikana maana ipo clear kabisaaaa narudia tena pole sana.
 
Salalaleee pole sana tatizo historia yako unayoijua wewe kwa mzozo wa Israel/Palestine kwa ufahamu wako inaanza 1948 kwa hiyo kamwe hatuwezi kuwa na uelewa sawa, huu ni mgogoro wa mamia ya miaka nyuma ya hiyo 1948 na kwa taarifa yako mwisho wa mgogoro huo unajulikana maana ipo clear kabisaaaa narudia tena pole sana.

1. Kwamba pole hiyo yakuhusu wewe mwenyewe, uioneje yarabi?

2. Tatizo la ujuaji liko hapa:

1664543999224~2.jpg


3. Mjuaji ni kama mfu tu:

F6kGqZLXMAATAgq.jpeg


4. Ufia dini? Watu kama wewe Xi anawaelewa mno!

5. Pole sana ndugu.

6. Shivji: Chimbuko la wasiokuwa na Hoja au uthubutu wa Kuhoji, linalo ligharimu Taifa (Part 1)

NB: Tumekuwa taifa la hivyo kuliko maelezo kwa sababu ya watu kama nyie.
 
Back
Top Bottom