Ukigeu geu wa Israel kuelekea makubaliano ya kusimamisha vita, kikwazo kwa Amani Gaza!

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
28,142
36,141
1. Yamekuwapo mazungumzo kwa azimio thabiti la makubaliano ya kusimamisha vita linaloendelea kujadiliwa kwa takribani miezi 2 sasa. Pendekezo hili likiwekwa mezani na Marekani, Qatar na Egypt kwa pamoja mbele ya HAMAS na Israel, mahasimu; wafikie makubaliano sasa.

HAMAS wayakataa mapumziko uchwara ya vita, Ramadhani

2. Mazungumzo yake yameendelea kwa kipindi chote bila kukoma, kwa maridhiano. Kutokea washiriki: "Israel na Marekani," dunia imekuwa ikihabarishwa: "kikwazo pekee kufikiwa makubaliano, ilikuwa HAMAS:"

IMG_20240508_073415.jpg


3. Kwamba kwa mujibu wa Marekani, Israel ilikwishafika bei. Kwamba ilikuwa lazima HAMAS waridhie au washurutishwe kuridhia. Ya kuwa mapendekezo yenyewe, yalikuwa makarimu mno kwao na Kwamba hawakuwa sababu yoyote ya kuendelea kukomaa au hata kuendelea kujadili!

IMG_20240508_014154.jpg


Blinken aitolea wito Hamas ikubali 'pendekezo la kusitisha vita Ghaza

3. Hata hivyo, siku zote kutokea: "Egypt, Qatar na HAMAS" washiriki wengine: wakiihabarisha dunia, "kikwazo pekee ilikuwa Israel." Kwamba wakati HAMAS ilisisitiza kupata uthibitisho kuelekea sitisho la vita la kudumu kama ulivyokuwa msingi wa azimio, Israel ilikuwa ikitaka vita kurejelewa baada ya mapumziko mafupi; bila shaka yenye malengo ya kupewa mateka wake tu!

IMG_20240506_043504 (1).jpg


10. Kwamba HAMAS hatimaye kapewa uthibitisho aliokuwa akiutaka: "Yaani kupata kuhakikishiwa kwa vita Kusimamishwa sasa?" Na kuwa msingi na shauri la makubaliano ni yale yale, na kwamba Israel ndiyo huyu sasa kageuza kibao? Akisema sasa wazi wazi kuwa yeye hakubali. Kwamba azimio alilokubali HAMAS ni laini mno?!

IMG_20240508_074423.jpg


11. Ama?! Huyu mitu, kumbe anajua hata anataka nini au hataki nini? Ya kwamba kumbe ndiyo maana hata analalama kutengwa na kutupwa pembeni kule 👉?!

IMG_20240508_074957.jpg


12. Si alikuwa akidai mpira uko kwa HAMAS?

IMG_20240508_055619.jpg


13. Hapa si ndipo kaurushiwa yeye sasa? akiucheza vilivyo "Kasongo Asumani" sasa, kila alipopata kuurushiwa?!
 
1. Yamekuwapo mazungumzo kwa azimio thabiti la makubaliano ya kusimamisha vita lililoendelea kujadiliwa kwa takribani miezi 2 sasa. Pendekezo hili likiwekwa mezani na Marekani, Qatar na Egypt kwa pamoja mbele ya HAMAS na Israel; mahasimu, wafikie makubaliano.

HAMAS wayakataa mapumziko uchwara ya vita, Ramadhani

2. Mazungumzo yake yameendelea kwa kipindi chote bila kukoma, kwa maboresho. Kutokea washiriki Israel na Marekani, dunia imekuwa ikihabarishwa: "kikwazo pekee kufikiwa makubaliano, ilikuwa HAMAS:"

View attachment 2984018

3. Kwamba kwa mujibu wa Marekani, Israel ilikwishafika bei. Kwamba ilikuwa lazima HAMAS waridhie au washurutishwe kuridhia. Ya kuwa mapendekezo yenyewe, yalikuwa makarimu mno kwao na hawakuwa na sababu yoyote ya kuendelea kukomaa au hata kuendelea kujadili!

View attachment 2984038

Blinken aitolea wito Hamas ikubali 'pendekezo la kusitisha vita Ghaza

3. Hata hivyo, siku zote, kutokea Egypt, Qatar na HAMAS: walikuwa wakiihabarisha dunia, kikwazo pekee ilikuwa Israel. Kwamba wakati HAMAS ilisisitiza kuelekea sitisho la vita la kudumu kama ulivyokuwa msingi wa azimio, Israel ilikuwa inataka vita kurejelewa kwa vita baada ya mapumziko mafupi tu!

View attachment 2984052

10. Kwamba HAMAS kapewa uthibitisho wa hoja zake ambalo ndilo lililokuwa nyongeza kwenye azimio alilokuwa akilipigania. "Yaani kupata kuhakikishiwa?" Na kuwa msingi na shauri la makubaliano ni lile lile? Na kwamba Israel ndiyo huyu sasa kageuza kibao akisema hakubali, azimio alilokubali HAMAS ni laini mno?!

View attachment 2984060

11. Huyu kumbe anajua hata anataka nini au hataki nini? Ya Kwamba hata analalama kutengwa?

View attachment 2984086

12. Si alikuwa akidai mpira uko HAMAS?

View attachment 2984097

13. Hapa si ndipo kaurushiwa yeye, Kasongo Asumani akiucheza kila aliporushiwa!
hamas ajipange upya Israel kagomea zigo hilo israel haifiki bei kizembezembe
 
1. Yamekuwapo mazungumzo kwa azimio thabiti la makubaliano ya kusimamisha vita lililoendelea kujadiliwa kwa takribani miezi 2 sasa. Pendekezo hili likiwekwa mezani na Marekani, Qatar na Egypt kwa pamoja mbele ya HAMAS na Israel; mahasimu, wafikie makubaliano.

HAMAS wayakataa mapumziko uchwara ya vita, Ramadhani

2. Mazungumzo yake yameendelea kwa kipindi chote bila kukoma, kwa maboresho. Kutokea washiriki Israel na Marekani, dunia imekuwa ikihabarishwa: "kikwazo pekee kufikiwa makubaliano, ilikuwa HAMAS:"

View attachment 2984018

3. Kwamba kwa mujibu wa Marekani, Israel ilikwishafika bei. Kwamba ilikuwa lazima HAMAS waridhie au washurutishwe kuridhia. Ya kuwa mapendekezo yenyewe, yalikuwa makarimu mno kwao na hawakuwa na sababu yoyote ya kuendelea kukomaa au hata kuendelea kujadili!

View attachment 2984038

Blinken aitolea wito Hamas ikubali 'pendekezo la kusitisha vita Ghaza

3. Hata hivyo, siku zote, kutokea Egypt, Qatar na HAMAS: walikuwa wakiihabarisha dunia, kikwazo pekee ilikuwa Israel. Kwamba wakati HAMAS ilisisitiza kuelekea sitisho la vita la kudumu kama ulivyokuwa msingi wa azimio, Israel ilikuwa inataka vita kurejelewa kwa vita baada ya mapumziko mafupi tu!

View attachment 2984052

10. Kwamba HAMAS kapewa uthibitisho wa hoja zake ambalo ndilo lililokuwa nyongeza kwenye azimio alilokuwa akilipigania. "Yaani kupata kuhakikishiwa?" Na kuwa msingi na shauri la makubaliano ni lile lile? Na kwamba Israel ndiyo huyu sasa kageuza kibao akisema hakubali, azimio alilokubali HAMAS ni laini mno?!

View attachment 2984060

11. Huyu kumbe anajua hata anataka nini au hataki nini? Ya Kwamba hata analalama kutengwa?

View attachment 2984086

12. Si alikuwa akidai mpira uko HAMAS?

View attachment 2984097

13. Hapa si ndipo kaurushiwa yeye, Kasongo Asumani akiucheza kila aliporushiwa!
But Hamas informed negotiators on Monday that not all of the 33 who would be freed in the first phase were still living, and that the remains of those who have died would be among the releases — a disclosure that surprised the Israelis.
 
But Hamas informed negotiators on Monday that not all of the 33 who would be freed in the first phase were still living, and that the remains of those who have died would be among the releases — a disclosure that surprised the Israelis.

1. Kwani kwenye vita si watu hufa kama ilivyokuwa kwenye ajali?

IMG_20240413_093337.jpg


2. Kwani wale watanzania, au wale wahanga 1,100+ Oct 7 Israel, au wale wapalestina 34,000+ waliugua malaria?

3. Madhara ya vita ni vifo ndiyo maana wanayo thawabu kuu mbinguni wanaopigania amani.
 
hamas ajipange upya Israel kagomea zigo hilo israel haifiki bei kizembezembe

1. Kwa hiyo waliokuwa wanahimiza zigo hili kuridhiwa walikuwa HAMAS?

IMG_20240413_104138.jpg


2. Au huku ndiko mnakoita kubadili "gia angani" kwenyewe?

IMG_20240508_014154.jpg


3. Si kuwa HAMAS kampiga mtu na mchumba wake bao la kisigino?

4. Israel kama aina za kina MK254, na mifia dini myenzao yaani ni Zero IQ !

5. Pelekeni wasomi kwenye mazumgumzo. Ukombozi hauwezi kuletwa na wajinga!

6. imhotep, Proved, Retired, JokaKuu, Economist, Allen Kilewella na wengine ufipa pale, kuelekea ukombozi kamili tutake, tusitake: tunayo ya kujifunza!

Habari ndiyo hiyo.
 
1. Kwani kwenye vita si watu hufa kama ilivyokuwa kwenye ajali?
Umenena vyema kwenye vita watu hufa kama ilivyokuwa kwenye ajali na ndiyo maana Israel anaendelea ua wapalestina na sasa yupo Rafah kuendelea kuua kama ambavyo wapalestina wanavyoua wayahudi yaani jino kwa jino na ndo maana Nyau hataki ceasefire kwa sasa ila mpalestina anaililia kwelikweli maana anaona wanavyofyekelewa mbali maelfu kwa maelfu
 
1. Yamekuwapo mazungumzo kwa azimio thabiti la makubaliano ya kusimamisha vita linaloendelea kujadiliwa kwa takribani miezi 2 sasa. Pendekezo hili likiwekwa mezani na Marekani, Qatar na Egypt kwa pamoja mbele ya HAMAS na Israel, mahasimu; wafikie makubaliano sasa.

HAMAS wayakataa mapumziko uchwara ya vita, Ramadhani

2. Mazungumzo yake yameendelea kwa kipindi chote bila kukoma, kwa maridhiano. Kutokea washiriki: "Israel na Marekani," dunia imekuwa ikihabarishwa: "kikwazo pekee kufikiwa makubaliano, ilikuwa HAMAS:"

View attachment 2984018

3. Kwamba kwa mujibu wa Marekani, Israel ilikwishafika bei. Kwamba ilikuwa lazima HAMAS waridhie au washurutishwe kuridhia. Ya kuwa mapendekezo yenyewe, yalikuwa makarimu mno kwao na Kwamba hawakuwa sababu yoyote ya kuendelea kukomaa au hata kuendelea kujadili!

View attachment 2984038

Blinken aitolea wito Hamas ikubali 'pendekezo la kusitisha vita Ghaza

3. Hata hivyo, siku zote kutokea: "Egypt, Qatar na HAMAS" washiriki wengine: wakiihabarisha dunia, "kikwazo pekee ilikuwa Israel." Kwamba wakati HAMAS ilisisitiza kupata uthibitisho kuelekea sitisho la vita la kudumu kama ulivyokuwa msingi wa azimio, Israel ilikuwa ilitaka vita kurejelewa kwa vita baada ya mapumziko mafupi Ili kupata mateka wake tu!

View attachment 2984052

10. Kwamba HAMAS hatimaye kapewa uthibitisho aliokuwa akiupigania: "Yaani kupata kuhakikishiwa? Na kuwa msingi na shauri la makubaliano ni lile lile? Na kwamba Israel ndiyo huyu sasa kageuza kibao akisema hakubali, azimio alilokubali HAMAS ni laini mno?!"

View attachment 2984060

11. Huyu kumbe anajua hata anataka nini au hataki nini? Ya Kwamba kumbe hata analalama kutengwa na kutupwa pembeni kule?!

View attachment 2984086

12. Si alikuwa akidai mpira uko HAMAS?

View attachment 2984097

13. Hapa si ndipo kaurushiwa yeye, akiucheza vilivyo "Kasongo Asumani" kila aliporushiwa?!
Kumbe JF kuna watu dish limeyumba na channel hazisomi kabisa.
 
Umenena vyema kwenye vita watu hufa kama ilivyokuwa kwenye ajali na ndiyo maana Israel anaendelea ua wapalestina na sasa yupo Rafah kuendelea kuua kama ambavyo wapalestina wanavyoua wayahudi yaani jino kwa jino na ndo maana Nyau hataki ceasefire kwa sasa ila mpalestina anaililia kwelikweli maana anaona wanavyofyekelewa mbali maelfu kwa maelfu

1. Kumbe hawa wanaolilia ceasefire ni wapalestina?

IMG_20240507_040902.jpg


2. Kwamba hapo wanaitisha walioshikiliwa huko ajali iwaachie?

3. Tuendelee kusubiri bila shaka nyama ziko chini.
 
Hakuna cha ceasefire, wapelekeane moto mpaka kieleweke next time wataheshimiana!.
Hamas si ni vidume, wapambane waache kulialia.

Sasa hao vijike hapa:

IMG_20240508_014154.jpg


IMG_20240508_073415.jpg


walikuwa wamechoka kupelekewa moto walihitaji mapumziko?
 
Hapo hakuna ceasefire, Israel ameshachefukwa.
Hamas hawatakiwi tena kupatana na Israel hawapo ktk level hiyo ya kupatikana na Israel.
Only wanachotakiwa ni kukubaliana na matakwa ya Israel.
Hakuna tena option
 
Hapo hakuna ceasefire, Israel ameshachefukwa.
Hamas hawatakiwi tena kupatana na Israel hawapo ktk level hiyo ya kupatikana na Israel.
Only wanachotakiwa ni kukubaliana na matakwa ya Israel.
Hakuna tena option

1. Kwa hiyo hawa hapa ni Buza?

IMG_20240507_040902.jpg


2. Kwamba wewe hapo ndiyo unaongea tokea Tel Aviv siyo?

3. Ama kweli utakuwa kwenye Ile timu ya mabingwa wa dunia:

Shivji: Chimbuko la wasiokuwa na Hoja au uthubutu wa Kuhoji, linalo ligharimu Taifa (Part 1)

4. Waathirika wa awamu ya tano!
 
Hawa ni kama wewe tu mkuu,
Haupo peke yako

1. Hapana ndugu miye siwezi kuwa humo, vinginevyo huyu mwamba asingekuwa na maua yangu:

images.jpeg


2. Vile vile nisingechukua muda kuwakumbusha ndugu zangu kushindana kwa hoja vingevyo kishabiki shabiki jielekezeni:

"kwenye Simba na Yanga, ufia dini, ufia watu na ufia vyama; vijiweni huko ambako wengine hakutuhusu!"

JokaKuu, Allen Kilewella, Retired, imhotep, MK254, Mzee Kigogo na wale wengine:

3. Au nasema uongo ndugu zangu?
 
..wananchi wa kawaida wameanza kuichoka Israel.

1. Hata CCM ni hivyo hivyo:

IMG_20240508_160055.jpg


2. Spain walimu wameungana na wanafunzi kuipinga Israel.

3. Marekani wananchi wamemwagika mitaani kuungana na wanafunzi kuipinga Israel.

4. Tuwaongoze waungwana kujadili kwa hoja na wale wengine Kwa ushabiki wakabishane ya Simba, Yanga, udini, watu, vyama na mataifa yao vijiweni na maboda boda wenzao kina MK254 huko!
 
1. Hapana ndugu miye siwezi kuwa humo, vinginevyo huyu mwamba asingekuwa na maua yangu:

View attachment 2984656

2. Vile vile nisingechukua muda kuwakumbusha ndugu zangu kushindana kwa hoja vingevyo kishabiki shabiki jielekezeni:

"kwenye Simba na Yanga, ufia dini, ufia watu na ufia vyama; vijiweni huko ambako wengine hakutuhusu!"

JokaKuu, Allen Kilewella, Retired, imhotep, MK254, Mzee Kigogo na wale wengine:

3. Au nasema uongo ndugu zangu?
Hapa wewe ndio inaonekana unapenda ushabiki.
Ushabiki umekuzuia kujadili kitu kwa mizani sawa.
Hata twende
Unaamini kuwa Hamas walivamia Israel na kuteka ama kuua kila waliyemkuta mbele yao?

Unajua kabla ya Oktoba 7 kulikuwa kuna mazungumzo ya kuwafanya palestinians kupata taifa lao?

Je njia waliyotumia Hamas kuvamia na kuuwa ilikuwa ndio njia pekee na sahihi kwa muda huo?
Je aliyevamiwa kikawaida alipaswa afanye nini?
 
1. Yamekuwapo mazungumzo kwa azimio thabiti la makubaliano ya kusimamisha vita linaloendelea kujadiliwa kwa takribani miezi 2 sasa. Pendekezo hili likiwekwa mezani na Marekani, Qatar na Egypt kwa pamoja mbele ya HAMAS na Israel, mahasimu; wafikie makubaliano sasa.

HAMAS wayakataa mapumziko uchwara ya vita, Ramadhani

2. Mazungumzo yake yameendelea kwa kipindi chote bila kukoma, kwa maridhiano. Kutokea washiriki: "Israel na Marekani," dunia imekuwa ikihabarishwa: "kikwazo pekee kufikiwa makubaliano, ilikuwa HAMAS:"

View attachment 2984018

3. Kwamba kwa mujibu wa Marekani, Israel ilikwishafika bei. Kwamba ilikuwa lazima HAMAS waridhie au washurutishwe kuridhia. Ya kuwa mapendekezo yenyewe, yalikuwa makarimu mno kwao na Kwamba hawakuwa sababu yoyote ya kuendelea kukomaa au hata kuendelea kujadili!

View attachment 2984038

Blinken aitolea wito Hamas ikubali 'pendekezo la kusitisha vita Ghaza

3. Hata hivyo, siku zote kutokea: "Egypt, Qatar na HAMAS" washiriki wengine: wakiihabarisha dunia, "kikwazo pekee ilikuwa Israel." Kwamba wakati HAMAS ilisisitiza kupata uthibitisho kuelekea sitisho la vita la kudumu kama ulivyokuwa msingi wa azimio, Israel ilikuwa ilitaka vita kurejelewa kwa vita baada ya mapumziko mafupi Ili kupata mateka wake tu!

View attachment 2984052

10. Kwamba HAMAS hatimaye kapewa uthibitisho aliokuwa akiupigania: "Yaani kupata kuhakikishiwa? Na kuwa msingi na shauri la makubaliano ni lile lile? Na kwamba Israel ndiyo huyu sasa kageuza kibao akisema hakubali, azimio alilokubali HAMAS ni laini mno?!"

View attachment 2984060

11. Huyu kumbe anajua hata anataka nini au hataki nini? Ya Kwamba kumbe hata analalama kutengwa na kutupwa pembeni kule?!

View attachment 2984086

12. Si alikuwa akidai mpira uko HAMAS?

View attachment 2984097

13. Hapa si ndipo kaurushiwa yeye, akiucheza vilivyo "Kasongo Asumani" kila aliporushiwa?!
Na kuna mijinga humu inasema Hamas kakubali kusimamisha vita bada ya kuzidiwa 😄

Hawafahamu Hamas alikuwa anabembelezwa kila kukicha asimamishe vita na kwa masharti anayo taka Hamas sio Israel

Yani Israel ata pull out, watamjengea Gaza kama ilivyo kuwa mwanzo na misada itazidi kuingia kwa wingi sa nani aliye shindwa vita hi kama si US na Israel.

Hao walio kufa wanahaki zao huko kwa Mungu ni bora nife niko peponi kuliko niishi kwa adhabu duniani na sijui naenda wapi bada ya kufa.

Kifo hakikimbiliki wote tutakufa tu.
 
Back
Top Bottom