1. Haipo shaka vita au mazungumzo ya maridhiano kama ilivyo siasa, nayo ni sayansi.
2. Izingatiwe sayansi siyo ya kila mtu, labda arts huko. Sayansi ya maridhiano, vita au siasa; huingii kichwa kichwa.
3. Tambo mbali mbali kwenye sayansi hii ndiyo kwao. Kisemwacho hadharani si lazima kuwa kile kisemwacho mezani, au hata kwenye mabaraza ya vita ya pande zote!
4. Kwamba ilikuwa inajulikana hadi mapema jana mistari myekundu HAMAS ilikuwa:
Mazungumzo ya kusimamisha vita Gaza, hati hati kukwama; Israel, HAMAS yupi ana hoja?
a) kukomeshwa vita kabisa (permanent ceasefire).
b) kuondoka kabisa kwa wavamizi Gaza (total IDF withdrawal).
c) kubadilishana kwa wafungwa wa pande zote mbili
d) kuanzishwa kwa mchakato wa kukomeshwa kabisa kwa vizuizi vyote vya msayuni Gaza.
e) kuanzishwa mchakato wa kuelekea wa kuanzishwa kwa taifa la Palestina na wa Gaza kurejea makwao.
5. Mstari mwekundu Israel ulikuwa vita kuendelea baada ya mapumziko mafupi.
6. Kwamba HAMAS kakubali, na hadidu za rejea ni hizi:
(Azimio lote kamili, kama lilivyo hapo post #2) kwa hakika mistari yote myekundu ya HAMAS imejibiwa; Israel kijasho chembamba!
7. Kwamba HAMAS kakubali azimio laini?
8. Azimio lipi laini sasa, wakati kwenye mazumgumzo tangia awali azimio ni moja, wakiwapo mashamusi wakuu wote nchi husika (Marekani, Israel, Egypt na Qatar)?
9. Kwamba HAMAS kawalambisha asali wenye mateka wao Gaza? "Atawaambia nini" Natenyahu, wakati hata mjengoni na hata majuu huko, wengine walitimba kabla yake? -- Prof. Jay. 😀
10. Ama kweli ngoma iko sawia kwao Natenyahu na Joe Biden; kwamba wakikaa nchale, na hata wakichimama, nchale!
11. Wakubali kusimamisha vita, Natenyahu anyonyolewe u PM. Wakatae kusimamisha vita, Biden anyonyolewe urais!
12. Ikumbukwe William Burns yupo ndani ya mazungumzo haya. Tofauti na zote, safari hii hakuna kurudi nyumbani hadi makubaliano "Israel - HAMAS" yafikiwe; kuona vita vinasimama ili kumpa Biden japo ka mstari ka maisha (a life line)!
2. Izingatiwe sayansi siyo ya kila mtu, labda arts huko. Sayansi ya maridhiano, vita au siasa; huingii kichwa kichwa.
3. Tambo mbali mbali kwenye sayansi hii ndiyo kwao. Kisemwacho hadharani si lazima kuwa kile kisemwacho mezani, au hata kwenye mabaraza ya vita ya pande zote!
4. Kwamba ilikuwa inajulikana hadi mapema jana mistari myekundu HAMAS ilikuwa:
Mazungumzo ya kusimamisha vita Gaza, hati hati kukwama; Israel, HAMAS yupi ana hoja?
a) kukomeshwa vita kabisa (permanent ceasefire).
b) kuondoka kabisa kwa wavamizi Gaza (total IDF withdrawal).
c) kubadilishana kwa wafungwa wa pande zote mbili
d) kuanzishwa kwa mchakato wa kukomeshwa kabisa kwa vizuizi vyote vya msayuni Gaza.
e) kuanzishwa mchakato wa kuelekea wa kuanzishwa kwa taifa la Palestina na wa Gaza kurejea makwao.
5. Mstari mwekundu Israel ulikuwa vita kuendelea baada ya mapumziko mafupi.
6. Kwamba HAMAS kakubali, na hadidu za rejea ni hizi:
(Azimio lote kamili, kama lilivyo hapo post #2) kwa hakika mistari yote myekundu ya HAMAS imejibiwa; Israel kijasho chembamba!
7. Kwamba HAMAS kakubali azimio laini?
8. Azimio lipi laini sasa, wakati kwenye mazumgumzo tangia awali azimio ni moja, wakiwapo mashamusi wakuu wote nchi husika (Marekani, Israel, Egypt na Qatar)?
9. Kwamba HAMAS kawalambisha asali wenye mateka wao Gaza? "Atawaambia nini" Natenyahu, wakati hata mjengoni na hata majuu huko, wengine walitimba kabla yake? -- Prof. Jay. 😀
10. Ama kweli ngoma iko sawia kwao Natenyahu na Joe Biden; kwamba wakikaa nchale, na hata wakichimama, nchale!
11. Wakubali kusimamisha vita, Natenyahu anyonyolewe u PM. Wakatae kusimamisha vita, Biden anyonyolewe urais!
12. Ikumbukwe William Burns yupo ndani ya mazungumzo haya. Tofauti na zote, safari hii hakuna kurudi nyumbani hadi makubaliano "Israel - HAMAS" yafikiwe; kuona vita vinasimama ili kumpa Biden japo ka mstari ka maisha (a life line)!